Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Ili kuonyesha kuwa maji yamewafikia shingoni Mkapa jana ameingia kwenye fani ya wanabongofleva na kuanza kushuka mashairi,Mkapa aliyeonekana kuwa na hasira na kuongea pumba nyingi na uongo mwingi,huku akitoa data zisizo za kweli kuhusu maisha ya watanzania na kudai kuwa Kikwete ameweza kutekeleza ahadi zake zaidi ya mara tatu au nne ,akiwa anaonekana kuwa na pressure alikuwa anashangiliwa na watu waliovalisha mitshirt ya chama chao.Anafikiri kabisa kuwa watanzani ni majuha wasiojua level ya maisha yao wenyewe
ila jibu atalipata leo kwenye masanduku
ila jibu atalipata leo kwenye masanduku