Mkapa: Kama kila Rais anakuja na mambo yake, hatuwezi yafikia maendeleo

he is ryt in some extent..ila shida ya nchi zetu hizi hatuna dira ya pamoja kama taifa badala yake ilani ya chama ndo inaongoza nchi..
 
JPM anaendeleza mengi waliyaacha wengine..na nyie ni mashahidi ndio maana huwa mnabeza na kusema ni miradi ya kikwete anayozindua..
Kilimo kwanza kilijifia na kikwete labda mtoa post hajui tu..walionufaika na ile program ni wapiga dili wachache..hakuna mkulima aliyenufaika...ushahidi upo wa kutosha..ulikuwa ni mradi wa wachache kupeana shavu..
Leo hii JPM anasimamia kuanzia yaliyoasisiwa na nyerere(kuhamia dodoma,stieglers gorge, kulinda rasilimali za madini na ufufuzi wa viwanda), mkapa ( uendelezaji wa viwanda vilivyobinafsishwa na ufufuzi wa mashirika ya umma kama atcl na ttcl), yaliyoanzishwa na jk( kukamilika kwa miundo mbinu ya barabara, uwanja wa ndege, hospitali ya mloganzila, ujenzi wa bandari bagamoyo na kuunganisha miji yote tanzania kwa kiwango cha lami)..
Lakini hakuishia hapo..kwenye kilimo JPM ameondoa tozo nyingi zilizokuwa zinambana mkulima..leo hii korosho inauzwa kwa kilo tsh 4700 kutoka tsh 1500..wakulima wa mkonge wameanza kunufaika na kilimo hicho..bado mikakati ni mingi ya kuhakikisha kilimo kinaenda mbele..uzuiaji wa uvuvi haramu ambao ulikuwa unahatarisha uwepo wa samaki kwa siku zijazo..
 
Rais Mstaafu Benjamin Mkapa ameshauri marais nchi za Afrika kuzingatia mambo yaliyofanywa na watangulizi wao, kama kila awamu itaanza upya au wakati mwingine kurudisha nyuma kabisa, kupata maendeleo itakuwa changamoto sana

Kila zama na kitabu chake sawa lakini haimanishi kitabu kilichotangulia hakina maana.

MY TAKE;

Kuachana na Kilimo kwanza tukaenda kwenye awamu ya Viwanda nadhani hapo tulikosea. Ndo maana hadi sasa hatuoni viwanda vilivyojengwa. Kuna Factories tu, just processing.

Kutokana na kwamba asilimia kubwa ya watanzania wanategemea kilimo, tungewawezesha nyenzo walime then tuwatafutie masoko ya nje, tufungue mipaka watu wauze mazao.

Viwanda ni Technolojia, tununue technolojia kwa kuwasomesha Watanzania kwanza. Huwezi anzisha kiwanda kwa kutegemea mzungu ufanikiwe.

Chuma cha Liganga tumeshindwa kuvuna, tutaweza kiwanda kweli?

Kikwete aliona mbali kuendeleza MKUKUTA na MKURABITA. Ni aibu kufufua viwanda vya Nyerere vilivyopitwa na Teknolojia. Majengo tuyabadilishie matumizi.

Tukae pembeni tuangalia huu mchezo unaochezwa kama utafanikiwa, tusijeambiwa tunamyumbisha mkuu au tunataka kumkwamisha.

Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa akizungumzia umuhimu wa serikali mpya katika nchi za Afrika kuendeleza yaliyokuwa yakifanywa na serikali iliyokuwa madarakani.

huyu naye ni wale wale tu!
 
Kuachana na Kilimo kwanza tukaenda kwenye awamu ya Viwanda nadhani hapo tulikosea. Ndo maana hadi sasa hatuoni viwanda vilivyojengwa. Kuna Factories tu, just
Utakua una MYOPIA wewe
Huyo Nkapa apumzike tu,yeye aliuza kila kitu,aliachana na mazuri yote ya baba wa Taifa
 
walionufaika na ile program ni wapiga dili wachache..hakuna mkulima aliyenufaika...ushahidi upo wa kutosha..ulikuwa ni mradi wa wachache kupeana shavu..
Watu walipiga sana pesa za ruzuku ya mbolea
Mkulima anasainishwa mbolea mifuko kumi anapata miwili
 
Watu walipiga sana pesa za ruzuku ya mbolea
Mkulima anasainishwa mbolea mifuko kumi anapata miwili
Watoto hawajui..enzi za jk ilikuwa ni kupiga tu..walipata raha sana..only 10% ndio ilienda kwa wakulima kama ushahidi..
Hela ya tasaf yenyewe wamepiga balaa..
Jk hakuwa na muda wa kufatilia hayo mambo..hata akijua wamepiga anawaonea aibu kuwaambia asije akawakwaza..huyu wa sasa yeye anakutia ndani straight..wala hata hakuonyi
 
Alipoitwa ikulu pamoja na wastaafu wengine kwann hakumwambia hili?? Hebu muacheni afanye aonavyo vema
Ndivyo tulivyo
Alishawajibu kwakutolea mfano wa nchi ya marekani,alisema"Obama hamwingilii Trump,Bali anaachwa aongoze hadi amalize muda wake wa uongozi ndipo ataambiwa kama aliongoza vizuri au vibaya"
Ali
 
Rais Mstaafu Benjamin Mkapa ameshauri marais nchi za Afrika kuzingatia mambo yaliyofanywa na watangulizi wao, kama kila awamu itaanza upya au wakati mwingine kurudisha nyuma kabisa, kupata maendeleo itakuwa changamoto sana

Kila zama na kitabu chake sawa lakini haimanishi kitabu kilichotangulia hakina maana.

MY TAKE;

Kuachana na Kilimo kwanza tukaenda kwenye awamu ya Viwanda nadhani hapo tulikosea. Ndo maana hadi sasa hatuoni viwanda vilivyojengwa. Kuna Factories tu, just processing.

Kutokana na kwamba asilimia kubwa ya watanzania wanategemea kilimo, tungewawezesha nyenzo walime then tuwatafutie masoko ya nje, tufungue mipaka watu wauze mazao.

Viwanda ni Technolojia, tununue technolojia kwa kuwasomesha Watanzania kwanza. Huwezi anzisha kiwanda kwa kutegemea mzungu ufanikiwe.

Chuma cha Liganga tumeshindwa kuvuna, tutaweza kiwanda kweli?

Kikwete aliona mbali kuendeleza MKUKUTA na MKURABITA. Ni aibu kufufua viwanda vya Nyerere vilivyopitwa na Teknolojia. Majengo tuyabadilishie matumizi.

Tukae pembeni tuangalia huu mchezo unaochezwa kama utafanikiwa, tusijeambiwa tunamyumbisha mkuu au tunataka kumkwamisha.

Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa akizungumzia umuhimu wa serikali mpya katika nchi za Afrika kuendeleza yaliyokuwa yakifanywa na serikali iliyokuwa madarakani.

Mleta mada acha unazi, umsilishe maneno Nkapa classmate wangu.
 
Anasema kila dhama zina kitabu chake sio kila anayeingia madarakani anaonekana kuwa yeye ndio kafanya hapana hata waliopita walifanya yao ambayo yalionekana kuwa mazuri
 
Vision 2025 ina vitu gani ndani yake? Ilishafutwa au bado tumo kwenye mpangilio huo? Je, viwanda vilikuwemo na vilipangwa muda gani?

Kwa hakika hakuna kiongozi yeyote anayeweza kufuata nyayo za kiongozi aliyeondoka katika mambo mbali mbali, kama kiutekelezaji na mtindo wa utekelezaji huo. Kinachotakiwa ni mwelekeo usibadilishwe sana bila ya kuwepo na sababu maalum.

Kwangu mimi kuna vitu ambavyo vilitakiwa kuwa kwenye mpango wa kudumu. Vitimizwe na serikali zote bila ya kuondolewa kwenye "Odhora Muhimu" ya Taifa. Elimu na Kilimo vilistahili na bado vinastahili kupewa umuhimu huo katika kila budget yetu ya kila mwaka.

Duuh! Toka Azimio la Arusha lianze mpaka leo ni miaka 52. Bado slogan hiyo hiyo? Umesahau Afya pia.
Elimu na Kilimo vilistahili na bado vinastahili kupewa umuhimu huo katika kila budget yetu ya kila mwaka.
 
Kwani sisi wakati tunasema tunahitaji katiba mpya yenye dira ya taifa ambayo inavipengere ambavyo ni rigid kiasi kwamba hakuna wa kuchezea zaidi ya kuboresha tu,yeye alikuwa wapi?
 
JPM anaendeleza mengi waliyaacha wengine..na nyie ni mashahidi ndio maana huwa mnabeza na kusema ni miradi ya kikwete anayozindua..
Kilimo kwanza kilijifia na kikwete labda mtoa post hajui tu..walionufaika na ile program ni wapiga dili wachache..hakuna mkulima aliyenufaika...ushahidi upo wa kutosha..ulikuwa ni mradi wa wachache kupeana shavu..
Leo hii JPM anasimamia kuanzia yaliyoasisiwa na nyerere(kuhamia dodoma,stieglers gorge, kulinda rasilimali za madini na ufufuzi wa viwanda), mkapa ( uendelezaji wa viwanda vilivyobinafsishwa na ufufuzi wa mashirika ya umma kama atcl na ttcl), yaliyoanzishwa na jk( kukamilika kwa miundo mbinu ya barabara, uwanja wa ndege, hospitali ya mloganzila, ujenzi wa bandari bagamoyo na kuunganisha miji yote tanzania kwa kiwango cha lami)..
Lakini hakuishia hapo..kwenye kilimo JPM ameondoa tozo nyingi zilizokuwa zinambana mkulima..leo hii korosho inauzwa kwa kilo tsh 4700 kutoka tsh 1500..wakulima wa mkonge wameanza kunufaika na kilimo hicho..bado mikakati ni mingi ya kuhakikisha kilimo kinaenda mbele..uzuiaji wa uvuvi haramu ambao ulikuwa unahatarisha uwepo wa samaki kwa siku zijazo..
Hahahaha zero brain
 
Mkuu, kwa Ilani tu, mbona CCM iko vizuri sana. Kwenye utekelezaji sasa...mh!

Kwa mifano michache. Katika Ilani ya CCM ya Uchaguzi Mkuu Mwaka 2015:
1. Uk 72-77: Ilani inazungumzia nishati na uzalishaji wa umeme, ikiainisha aina, namna na maeneo ya uzalishaji na ufuaji. Hakuna hata sehemu moja iliyozungumzia mradi wa Stiegler's Gorge.
2. Uk 100-52 (h) (i) (ii) Wasichana wote wa Elimumsingi wanaoacha shule kwa sababu ya kupata ujauzito wataendelea na masomo;

Laiti kama tungekuwa na uwezo wa kutekeleza tunayopanga kikamilifu..."enewei" niishie tu hapa wandugu.
Waulize wafanya biashara kama Businsss plan yao inaendana na biashara wanayo endesha.

Ilani ni kama Business Plan. Ni mwongozo tu utekelezaji wake unaweza ukawa vingine kulingana na manzingira na Technology. Usiwe Autist!
 
Kajidai kuwatafsiria alichosema Rais Mwinyi, halafu kawalisha matango pori.

Mwinyi hakusema “Kila Serikali na kitabu chake”

Imagine huyu mtu alikuwa Rais!
 
Honestly, kwenye Sera ya viwanda naona tumekosea Sanaa... Tuna Nia nzuri ila tunaifanya kwa njia isiyo sahihi tusipo kuwa makini tutajikuta viwanda tuna achieve -0% huku tukiua kabisa kilimo.
Sizioni jitihada za kukuza viwanda Tanzania unless tuendelee na vyerehani 3 tukiite kiwanda. Viwanda ni uwekezaji mkubwa wa watu na technology sioni jitihada hata Moja kwenye haya... Technology ni gharama je wizara husika imepatiwa fungu gani mpaka Sasa???
Ni mazingira gani rafiki tumeyaweka kwa wawekezaji mpaka Sasa ukilinganisha na kasi tulokua nayo miaka 3-5 nyuma???

Dunia ya Sasa ni ya win win situation je Sera ya viwanda iloyopo ina msaidiaje muwekezaji awe mzawa au mgeni???

Leo hi mtanzania akitaka kufungua kiwanda kidogo (naongelea mtanzania wa chini mwenye wazo na mtaji kiduchu) itamgharimu kiasi gani....??
Angalia wanna CCM wenzangu wote tunaopigia kelele viwanda ni % ndogo Sana tunaijua hata Sera yenyewe.

TUSISHANGILIE TU KISA BABA KANUNUA SET ZA HOT POT ZA LAKI 3 ILIHALI HATUJALA TANGU JANA.....
 
Back
Top Bottom