Mkapa Help This Guy

Status
Not open for further replies.
hata sielewi wangu, ila kuna mtu "kamtilia ngumu". Nitawapa mfano. Katika sakata lile la vijana Ukraine nilipata nafasi ya kuzungumza na viongozi wengi wa CCM na wafanyabiashara wakubwa kutafuta suluhisho na msaada wao. Jibu moja nililopatiwa ni onyo ambao inaonekana lilikuwa limetolewa "do not get involved" na mmoja alisema kuwa ujumbe kwake ulikuwa na maana "kama utaingilia kati utakuwa unapingana na Ikulu". Wote wakasympathize lakini wote wakaomba kukaa pembeni wasionekane wanapingana na Rais...

So, huyu bwana ana stori, na stori yake nina hamu nayo kuisikia... Inanikumbusha kisa cha Rambo.. somebody tried to take him back where he came from.. but he kept returning (in the First Blood 1) Lakini Mwafongo naona alirudishwa na kufungiwa leash thus the metaphor "banda la mbwa" hata watoto wake hawataki kuwa naye karibu..
 
hata sielewi wangu, ila kuna mtu "kamtilia ngumu". Nitawapa mfano. Katika sakata lile la vijana Ukraine nilipata nafasi ya kuzungumza na viongozi wengi wa CCM na wafanyabiashara wakubwa kutafuta suluhisho na msaada wao. Jibu moja nililopatiwa ni onyo ambao inaonekana lilikuwa limetolewa "do not get involved" na mmoja alisema kuwa ujumbe kwake ulikuwa na maana "kama utaingilia kati utakuwa unapingana na Ikulu". Wote wakasympathize lakini wote wakaomba kukaa pembeni wasionekane wanapingana na Rais...

So, huyu bwana ana stori, na stori yake nina hamu nayo kuisikia... Inanikumbusha kisa cha Rambo.. somebody tried to take him back where he came from.. but he kept returning (in the First Blood 1) Lakini Mwafongo naona alirudishwa na kufungiwa leash thus the metaphor "banda la mbwa" hata watoto wake hawataki kuwa naye karibu..

MASIKINI MWAFONGO ENZI ZAKO HAKUKUWA NA UFISADIIIIIII

Godfrey Stalin Mwafongo.jpg
 
1. definately kuna mambo mengi yako nyuma ya habari nzima ya huyu bwana yaliyo sababisha hali yake kuwa hivyo

2. Kinachosikitisha sana ni watoto wake kumu-abandon baba yao........sijui ni Mola yupi wanayemuenzi
 
Kyela siyo Rungwe waungwana,huyu mzee anatoka wilaya moja na Mh.Mwakyembe na yule RC wa Mbeya ,tuwaulize hao waungwana kulikoni mnamwacha muasisi huyu akipoteza mwelekeo .

Ni sahihi kwa mtoa hoja kumuomba Ben Mkapa kujaribu kumkumbuka huyu ndg Mwafongo,he was his right hand man ktk maisha ya uanahabari. Sas Ben ni bodi memba wa Kiwira ambayo iko Kyela iko mpakani mwa Kyela na Rungwe.

Kwa kufahamu yalomsibu mzee huyu Anko Adam Lusekelo atafutwe na kutupatia latest za huyu mzawa mabaga kwa sasa
 
Wana JF nadhani kuna kitu tumesahau hapa.........!
Kwa IMANI yangu mimi,huyu Mzee ni kama MFANO kwetu sisi na wale wote waliosikia ama kusoma habari zake.
Kila mmoja hapa analeta sababu zake ambazo zote zina weza kua kweli kuanzania kuishi kwenye hari duni,kutelekezwa na watoto na hata wenzake aliofanya nae kazi.
Mfano huyu bwana angekua FISADI enzi zake asingeishi kwenye hari duni kiasi hicho,ila aliamua kua kama Nyerere(supposely) akashindwa kujilimbikizia kitakacho mfaa wakati huu,Sababu ikiwa labda aliona hakua na sababu ya kuhujumu uchumi after all wao ndio waliokuwa pioneers wa taifa hili 'fanya kazi kwa ajiri ya vizazi vijavyo na watoto wako na wajuuku pia'.Sasa hili pia ni somo kwetu ss ukipata madaraka unaweza "ule na uweke na cha kesho na uhujumi uchumi na taifa hili,ujari mustakabari wa familia yako tu,wengine wakafie mbele" kama wakina nanilihii.....!
Kua-abandoned na watoto pia ni somo uwezi jua,kama wat what was said can be true Wazee wetu wengi ULEVI na UZINZI umewafikisha pabaya kiasi watoto wametosheka nayo na kuamaua kuwaacha na mambo yako au watoto wamekosa ADABU na kuamua kumuacha mzee (jambo baya kabisa kibinadamu na hata vitabu vya dini vinaandika,kuhusu wazazi).
Nambo mengi mengine kuhusu huyu kijana wa zamani.
Somo ni VIPI WEWE UNAYAANGALIA MAISHA YAKE NA KULINGANISHA NA YAKO ILI UJUE UTAJISAIDIAJE NA KULITENDEA TAIFA HAKI ILI USIfikwe NA YALIYO MPATA
 
Kyela siyo Rungwe waungwana,huyu mzee anatoka wilaya moja na Mh.Mwakyembe na yule RC wa Mbeya ,tuwaulize hao waungwana kulikoni mnamwacha muasisi huyu akipoteza mwelekeo .

Ni sahihi kwa mtoa hoja kumuomba Ben Mkapa kujaribu kumkumbuka huyu ndg Mwafongo,he was his right hand man ktk maisha ya uanahabari. Sas Ben ni bodi memba wa Kiwira ambayo iko Kyela iko mpakani mwa Kyela na Rungwe.

Kwa kufahamu yalomsibu mzee huyu Anko Adam Lusekelo atafutwe na kutupatia latest za huyu mzawa mabaga kwa sasa

Nafikiri tumeambiwa alizaliwa Kyela lakini anaishi Rungwe. Kama mwandishi
anasoma hapa basi mwambie huyu mzee akamwone prof. Mwandosya, nina uhakika atamsaidia.

Kwenda kwa Dr. Mwakyembe au Mwakipesile ni kupoteza muda, hawatamsaidia, ni wasanii.

Vinginevyo kama kungelikuwa na njia za kuwasiliana naye, wengine pia tungejitahidi kumwunganisha na watu wanaoweza kumsaidia.

Tafadhali mwandishi kama unaweza toa info zaidi.

Siasa za Nyerere zilikuwa haziruhusu watu hata kufuga kuku, kwahiyo mtu ambaye mwanzoni alichokuwa anajua ni kazi tu za ofisini ni ngumu sana uzeeni kuanza mambo ya biashara.
 
tatizo nadhani hawa watu walipokuwa madarakani hawakuchangamkia tenda.. Wangekuwa wajanja wangekuwa wanajitengenezea vitripu, viwarsha, na visemina vya hapa na pale... But I have an idea.. kuna mtu ana contact zake..?

Mwanakijiji,

Unatakiwa kuwa fair, wangechangamkia tenda vipi wakati enzi hizo kwa kiongozi, hata kufuga kuku ilikuwa ni makosa?

System ili paly part kubwa sana kuwalemaza hawa wazee wetu. Walichapa kazi kwa nguvu zote lakini ilipofikia muda wa kuacha kazi, basi system ikawatupa.
 
hata sielewi wangu, ila kuna mtu "kamtilia ngumu". Nitawapa mfano. Katika sakata lile la vijana Ukraine nilipata nafasi ya kuzungumza na viongozi wengi wa CCM na wafanyabiashara wakubwa kutafuta suluhisho na msaada wao. Jibu moja nililopatiwa ni onyo ambao inaonekana lilikuwa limetolewa "do not get involved" na mmoja alisema kuwa ujumbe kwake ulikuwa na maana "kama utaingilia kati utakuwa unapingana na Ikulu". Wote wakasympathize lakini wote wakaomba kukaa pembeni wasionekane wanapingana na Rais...

So, huyu bwana ana stori, na stori yake nina hamu nayo kuisikia... Inanikumbusha kisa cha Rambo.. somebody tried to take him back where he came from.. but he kept returning (in the First Blood 1) Lakini Mwafongo naona alirudishwa na kufungiwa leash thus the metaphor "banda la mbwa" hata watoto wake hawataki kuwa naye karibu..

CO SIGN na kwa sababu jamaa yuko bitter na he has nothing to lose hivyo anaweza ku spill beans ile mbaya

MTAFUTE
 
nyerere alikuwa na huruma sana na wasaidizi wake waliomtumikia kwa uadilifu..bado nakumbuka siku alipoenda ukonga ,,..akamkuta MZEE OPIO,,anakaa kwenye nyumba ya mbavu za mbwa..na huku ana kuharusi ..machozi yalimtoka akasema hawa ndio waliokua wakihubiri ujamaa kwa maneno na kwa matendo...wasitelekezwe!!!
alimuonea huruma akampa pesa hundi kubwa tu...,gari lake binafsi [dicovery landrover]..na akasaidia vijana wake kupata ajira...

sasa sijui kama viongozi wa sasa wanawakumbuka watu waliofanya kazi kwa uadilifu ....wenye hali mbaya!!zaidi wameuzianna majumba na kuwaacha!!!
 
nyerere alikuwa na huruma sana na wasaidizi wake waliomtumikia kwa uadilifu..bado nakumbuka siku alipoenda ukonga ,,..akamkuta MZEE OPIO,,anakaa kwenye nyumba ya mbavu za mbwa..na huku ana kuharusi ..machozi yalimtoka akasema hawa ndio waliokua wakihubiri ujamaa kwa maneno na kwa matendo...wasitelekezwe!!!
alimuonea huruma akampa pesa hundi kubwa tu...,gari lake binafsi [dicovery landrover]..na akasaidia vijana wake kupata ajira...

sasa sijui kama viongozi wa sasa wanawakumbuka watu waliofanya kazi kwa uadilifu ....wenye hali mbaya!!zaidi wameuzianna majumba na kuwaacha!!!

Aliye karibu na hao wakubwa wetu,awape mifano hii ya Nyerere na hao waadirifu.tusisubiri mpaka wafe ndio twende msibani na RISALA ndefu na ubani mnene.
 
Mkapa amsaidie huyu jamaa wakati Mkapa mwenyewe kakumbuka kwao baada ya kupata urais.

Kwa macho yangu nimeona Joseph Sinde Warioba akijenga nyumba kwao wakati akiwa waziri mkuu lakini kabla ya hapo alijisahau.

Ndio kuna watu walikuwa waaminifu lakini wengi wao walijisahau kujenga kwao au sehemu walizoishi.
 
Mwanakijiji,

Unatakiwa kuwa fair, wangechangamkia tenda vipi wakati enzi hizo kwa kiongozi, hata kufuga kuku ilikuwa ni makosa?

Najua watu wamemlaumu Nyerere kwa mengi lakini hili la kuzuia "hata kufuga kuku" is the extreme of all! Maana sisi wafuga kuku wa enzi hizo tunaliona halina msingi. Nakumbuka jinsi tulivyokuwa tunanunua vifaranga toka Zambia na kule Moshi..

System ili paly part kubwa sana kuwalemaza hawa wazee wetu. Walichapa kazi kwa nguvu zote lakini ilipofikia muda wa kuacha kazi, basi system ikawatupa.

Nadhani kuna "kaukweli" fulani hapo..
 
Mkapa amsaidie huyu jamaa wakati Mkapa mwenyewe kakumbuka kwao baada ya kupata urais.

Kwa macho yangu nimeona Joseph Sinde Warioba akijenga nyumba kwao wakati akiwa waziri mkuu lakini kabla ya hapo alijisahau.

Ndio kuna watu walikuwa waaminifu lakini wengi wao walijisahau kujenga kwao au sehemu walizoishi.

kuhusu Mwafongo
Pamoja na teknolojia ya mawasiliano ilivyo sasa......yaani huyu jamaa kweli kashindwa kuwasiliana na old buddies wake?..............au ndio ule usemi........utaenda kinyume na Ikulu?.........something is wrong somewhere na huyu jamaa

kuhusu Warioba
.......alijenga ukweni kwanza.
.......ana nyumba yake pale Mikocheni B........ya kawaida sana
 
Nyerere alikuwa mtu mmoja tu, hata kama Nyerere alikuwa na nguvu za kifalme bado watu waliondoa wafalme huko Ufaransa.

Nyerere atalaumiwa, lakini Watanzania wote ambao walikuwa na uwezo lakini hawakufanya / hawafanyi kitu kukataa UStalini (ironically this guy is suffering from Stalinism and his name is Stalin, go figure!) wanabeba lawama.
 
Nyerere alikuwa mtu mmoja tu, hata kama Nyerere alikuwa na nguvu za kifalme bado watu waliondoa wafalme huko Ufaransa.

Nyerere atalaumiwa, lakini Watanzania wote ambao walikuwa na uwezo lakini hawakufanya / hawafanyi kitu kukataa UStalini (ironically this guy is suffering from Stalinism and his name is Stalin, go figure!) wanabeba lawama.

Weye inaonekana hulijui vizuri Linyerere...
 
Najua watu wamemlaumu Nyerere kwa mengi lakini hili la kuzuia "hata kufuga kuku" is the extreme of all! Maana sisi wafuga kuku wa enzi hizo tunaliona halina msingi. Nakumbuka jinsi tulivyokuwa tunanunua vifaranga toka Zambia na kule Moshi..

Mwanakijiji,

Naona unachanganya mambo hapa, ukisema nyie mlikuwa mnafuga kuku, inabidi pia useme kama wazee wako walikuwa na wadhifa serikalini?

Waliokuwa wanakatazwa biashara yoyote ni viongozi na wala sio kila mtu.

Hapa tunaongelea watu waliokuwa na nyadhifa serikali na wala sio watu wa kawaida.
 
...In Dar, he joined the Daily News and Sunday News as a sub-editor, a job he lost in circumstances that he declined to disclose...
Binafsi (pengine na wengine hapa) ninatatizwa na hiyo sentenso kwenye 'quote'. Ni kitu gani kilimfukuzisha kazi ambacho yeye, kama binadamu mwenye hisia na utashi, anashindwa kuweka wazi mpaka leo ambapo TZ imebadilika na kuwa nchi ya MAFISADI?

Mkuu Mwkjj, nakuaminia mzee, mtafue huyo aweke wazi maana tunaweza kuwa tunahangaika kumbe ni uzembe wake na wala sio system. I'm doubting for fellow with Diploma in Journalism from Canada attained in 1960s ashindwe kwenda Mbeya mjini kuulizia kibarua kwenye vyombo vyenye wawakilishi Mbeya.
 
Najua watu wamemlaumu Nyerere kwa mengi lakini hili la kuzuia "hata kufuga kuku" is the extreme of all! Maana sisi wafuga kuku wa enzi hizo tunaliona halina msingi. Nakumbuka jinsi tulivyokuwa tunanunua vifaranga toka Zambia na kule Moshi..


Nyerere sipendi siasa zake lakini waliopo DSM aliwawekea vitu vingi tu. Nyumba za Magomeni, Ilala, Kinondoni Zilijengwa na National Housing C na ziliuzwa kwa mikopo nafuu mpaka watu wenye kazi za utalishi waliweza kukopa.

Swali huyu jamaa alikuwa wapi?
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom