Mkapa ataka kuimarishwa uhusiano kati ya Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la Umoja wa Afrika

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Rais mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa amesema kuna umuhimu wa kuimarisha uhusiano kati ya Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la Umoja wa Afrika ili kutatua migogoro iliyopo.

Rais mstaafu Mkapa ameyasema hayo jijini Dar es salaam wakati wa majumuisho ya kongamano la kikanda la viongozi wastaafu wa Afrika kuhusu nafasi ya Afrika katika mfumo wa amani na usalama ulimwenguni.
 
Viongozi wa Afrika wakitoka madarakani ndo wanaona nia njema iliyopo. Wakiwa madarakani hawataki kuingiliwa na UN ili waendelee na utawala wa mkono wa chuma. Ngoja tusubiri m/kiti wa huo umoja wao wa Afrika atasema nn
 
Rais mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa amesema kuna umuhimu wa kuimarisha uhusiano kati ya Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la Umoja wa Afrika ili kutatua migogoro iliyopo.

Rais mstaafu Mkapa ameyasema hayo jijini Dar es salaam wakati wa majumuisho ya kongamano la kikanda la viongozi wastaafu wa Afrika kuhusu nafasi ya Afrika katika mfumo wa amani na usalama ulimwenguni.
Mkapa anyamaze kabisa, he made history as one of the ruthless rulers with regard to opposition! . Kwake yeye Usalama ni kubaki madarakani madikiteita wa Africa. Mbona yupo kimya na haya yanayoendelea kwetu. Usalama wa raia wake against ukandamizaji wa demokrasia kwake huo sio usalama! usalama anamaanisha nini? Anyamaze kabisa.
 
Back
Top Bottom