Katika kikao kilchomalizika cha NEC ya CCM mjini Dodoma inasemekana mzee Mkapa alitumia mbinu zake za kiuongozi kumshawishi Mkiti Kikwete kuzima hoja za gamba baada ya wajumbe kuanza kuchangia wakiongozwa na mtuhumiwa mkuu Lowasa. EL alitumia fursa hiyo kujibu tuhuma juu yake na kuhoji uhalali wa nape na chiligati kumlaumu.
Sumaye alifuati kwa kusympathize na lowasa na kuomwomba mkiti ikibainika lowasa yuko safi, Nape na chiligati wafanywajeeee??
Baada ya hapo idadi ya wazungumzaji iliongezeka na ndipo mzee mkapa alipomshtua Kikwete kuimaliza hoja hiyo na kuendelea na nyingine jambo ambalo kikwete alilifanya.
Inatoa picha gani? Mzee mkapa yaelekea bado imara ndani ya ccm haswa kipindi hiki ambacho mwenyekiti kikwete hasomeki na hana msimamoo. Hii inatoa mwelekeo kuwa mzee mkapa atakuwa na ushawishi sana kwa kikwete kwenye kinyanganyiro cha mgombea wao 2015.
Je wanaotarajia kugombea urasi ndani ya CCM 2015, mkapa natumai ni kete muhimu ya kuwasaidia ushindi.
Pia hata EL sasa amengamua umuhimu wa kumtumia mzee mkapa katika kujisafisha dhidi ya kampeni ya gamba.
Swali: kwa nini mkapa amekuwa bado na ushawishi kiasi hicho kwa mkiti kikwete anayeeleweka kuwa jeuri na mjanja mjanja?
Sumaye alifuati kwa kusympathize na lowasa na kuomwomba mkiti ikibainika lowasa yuko safi, Nape na chiligati wafanywajeeee??
Baada ya hapo idadi ya wazungumzaji iliongezeka na ndipo mzee mkapa alipomshtua Kikwete kuimaliza hoja hiyo na kuendelea na nyingine jambo ambalo kikwete alilifanya.
Inatoa picha gani? Mzee mkapa yaelekea bado imara ndani ya ccm haswa kipindi hiki ambacho mwenyekiti kikwete hasomeki na hana msimamoo. Hii inatoa mwelekeo kuwa mzee mkapa atakuwa na ushawishi sana kwa kikwete kwenye kinyanganyiro cha mgombea wao 2015.
Je wanaotarajia kugombea urasi ndani ya CCM 2015, mkapa natumai ni kete muhimu ya kuwasaidia ushindi.
Pia hata EL sasa amengamua umuhimu wa kumtumia mzee mkapa katika kujisafisha dhidi ya kampeni ya gamba.
Swali: kwa nini mkapa amekuwa bado na ushawishi kiasi hicho kwa mkiti kikwete anayeeleweka kuwa jeuri na mjanja mjanja?