aspen
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 501
- 165
wana jf wenzangu ningependa tuchangie kipindi cha mkapa aliweza kudhibiti mfumuko wa bei ,shilingi ilikuwa strong dhidi ya dola na nchi haikuwa na misukosuko mengi kama kugoma goma ovyo kwa wtumishi wa sekta za uma na binafsi na maandamano isiyo na mikomo mbona hali sasa siyo shwari kulikoni kwa nini asisaidie hata kwa ushauri tu je waliyounda serikali yake si wapo na wanauzoefu tu au wanapenda kuona kikwete kufeli kwenye uongozi