Kaisome ilani ,inaonekana unakurupuka Sana
Unalinganisha nini hapo kati ya hiyo bandari na hiyo bohari ya madawa na ndege.Uwanja wa ndege wa chato bohari kuu ya madawa na madege yaliyonunuliwa kwa keshi nayo yalikuwamo kwenye ilani?
Utasaga meno wewe na mkeo.Hiyo bandari kuna watu watasaga meno baadae penye uhai,acha wazile kwa sasa ila huko mbele watazitapika tu
Kadiri muda unavyo kwenda tutaona mengi.Huu mkanganyiko wa kauli za hawa viongozi waandamizi wa chama na serikali kuhusu bandari ya Bagamoyo inaonyesha kuna madudu sana ndani ya terms of contract,na hii inatokana na baadhi ya viongozi wachache waliolenga kujinufaisha na mradi huo .
Rejea jinsi dharura iliyotumika kupitisha miswaada hiyo na idadi ya wabunge waliotumika kufanya ufedhuli huu,idadi walikuwa ni sitini tu kati ya wabunge mia tatu.
Mzee Mangula anasema bandari haimo kwenye ilani ,bali ilani inataja ujenzi wa gati tu. je nini tofauti ya gati na bandari?
Wanaopanga kujinufaisha na huu mradi kwa kuliingizia Taifa hasara kama ni kweli, wajue kwamba tutawadai wao pia tutakidai kizazi chao kwa gharama yoyote ile warudishe walichopora
Magufuli Airport International,nimali ya Watanganyika haidaiwi na chochote, Bandari ya Bagamoyo itakuwa mali ya Nani?kuwa mzalendo, inawezekana leo una nafasi,kumbuka uzao wako.Bandari ya Bagamoyo ikikamilika haiwezi kuwa 'White elephant' tena itatupunguzia na foleni Mandela Rd.
'White elephant' ni ile Chato International Airport ya Magufuli.
Hiyo lease ikiisha Bandari ya Bwagamoyo inakuwa mali yetu kwa asilimia mia moja.Magufuli Airport International,nimali ya Watanganyika haidaiwi na chochote, Bandari ya Bagamoyo itakuwa mali ya Nani?kuwa mzalendo, inawezekana leo una nafasi,kumbuka uzao wako.
Hakuna lolote yatapiga pesa na yataenda kutubu na kutoa sadakaHuu mkanganyiko wa kauli za hawa viongozi waandamizi wa chama na serikali kuhusu bandari ya Bagamoyo inaonyesha kuna madudu sana ndani ya terms of contract,na hii inatokana na baadhi ya viongozi wachache waliolenga kujinufaisha na mradi huo .
Rejea jinsi dharura iliyotumika kupitisha miswaada hiyo na idadi ya wabunge waliotumika kufanya ufedhuli huu,idadi walikuwa ni sitini tu kati ya wabunge mia tatu.
Mzee Mangula anasema bandari haimo kwenye ilani ,bali ilani inataja ujenzi wa gati tu. je nini tofauti ya gati na bandari?
Wanaopanga kujinufaisha na huu mradi kwa kuliingizia Taifa hasara kama ni kweli, wajue kwamba tutawadai wao pia tutakidai kizazi chao kwa gharama yoyote ile warudishe walichopora
Jamaa wamejitungia sheria za kutoshitakiwa mileleSio kwa nchi hii,,, NARUDIA
Sio kwa nchi hii,, watu watapiga pesa kama kawa na deni litabaki kwa nchi na hata likitokea lolote wao watakuwa zao ulaya na familia zao.
Mkuu kama ni kuwadai inapaswa tuwadai sasa wakati tunayo hiyo nafasi, baaadae nafasi inaweza isiwepo!Wanaopanga kujinufaisha na huu mradi kwa kuliingizia Taifa hasara kama ni kweli, wajue kwamba tutawadai wao pia tutakidai kizazi chao kwa gharama yoyote ile warudishe walichopora
Wapumbavu watakuchosha tu,imekwisha gundulika huo mradi umejaa utapeli na walitegemea JPM atakaa kimya utekelezwe kirahisirahisi hivyo
Unamsikitikia kwa lipi wakati yeye hakusikitikii? Maana inawezekana hata hakujui na hatakaa akujue.Namsikitikia Sana Hangaya kaingizwa mkenge na Msoga gang,itamugharimu Sana.
Mangula anajua kabisa Chama kilikosea kumpitisha Mrundi kushika hatamu!Toa mifano ya awamu nyingine ya uongozi wa nchi yetu!sio hii iliopita ya Mrundi!!!Mkumbusheni mzee Mangula kwamba:-
-ujenzi wa daraja la Busisi
- kuhamisha wanyama kwenda kuanzisha hifadhi ya Burigi
-ununuzi wa ndege
-ukusanyaji wa tozo
-n.k
Vyote hivi havikuwemo/havimo kwenye ilani ya ya uchaguzi ya ccm.
Jana Mu7 angetua wapiUwanja wa ndege wa chato bohari kuu ya madawa na madege yaliyonunuliwa kwa keshi nayo yalikuwamo kwenye ilani?