Baada ya mheshimiwa Rais Samia kutoa mwelekeo wa taifa kuhusu mapambano ya Corona zimeibuka hoja nyingi sana hasa kuhusu hizi chanjo.
Jana nilipata nafasi ya kumtembelea rafiki yangu hapa Morogoro. Nilichokisikia sikuamini. Watumishi wengi wa kada moja iliyopewa kipaumbele cha kupata hawataki chanjo.
Magufuli alipanda mizizi Fulani kwa Watanzania kuhusu namna ya kujilinda na Corona na watu wakaamini hata kama siyo njia sahihi.
Nashauri mizizi hii ivunje kwanza ili watu wafuate kauli ya mheshimia rais Samia.
Juzi baada ya Gwajima kutoa Yale matamko ndio yameongeza hamasa na kuwa reference ya watu wanao kataa chanjo.
Mimi,wewe na yule tunawajibu wa kupambana na Corona
Jana nilipata nafasi ya kumtembelea rafiki yangu hapa Morogoro. Nilichokisikia sikuamini. Watumishi wengi wa kada moja iliyopewa kipaumbele cha kupata hawataki chanjo.
Magufuli alipanda mizizi Fulani kwa Watanzania kuhusu namna ya kujilinda na Corona na watu wakaamini hata kama siyo njia sahihi.
Nashauri mizizi hii ivunje kwanza ili watu wafuate kauli ya mheshimia rais Samia.
Juzi baada ya Gwajima kutoa Yale matamko ndio yameongeza hamasa na kuwa reference ya watu wanao kataa chanjo.
Mimi,wewe na yule tunawajibu wa kupambana na Corona