Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
kumekuwepo na mkanganyiko juu ya wino gani(kalamu gani/bluu au nyeusi) inayotumika katika kujaza fomu ya mkopo baada ya kuprint. Msaada jamani kwa anayefahamu kwani wengine wanasema black pen ndo official ktk ujazaji fomu yeyote!