Mwalimu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,581
- 1,069
Leo asubuhi nilikuwa nataka kununua vocha ya vodacom na muuzaji akaniambia bado sh 100. Nikamuuliza kulikoni, akaniambia vodacom wamepandisha gharama kwa sh 100 na hiyo ni kwa vocha za aina zote. Naomba kama kuna mdau yoyote mwenye taarifa zaidi kuhusu hii ishu atusaide tafadhali.