mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Bila kusita, namtangaza Mhandisi wa barabara ya Boko kupitia ununio kuwa hana kiwango cha kutengeneza barabara za karibu na ufukwe, au hana kiwango kabisa, nashangaa hawa waandisi wa Tanroad wanakagua nini, ikiwa tayari kuna mashimo madogo mengi na lami imeoshwa na mvua ya juzi ya masaa matatu. karibu na nguzo za kwenda zanzibar hapo unaweza kula mweleka mbaya sana kwani barabara ina manundu kama vichuguu vya babati. barabara inateleza sana.
Mheshiwa Magufuri sitanii nenda kajionee mwenyewe kabla hawajakomba vi-ela vyetu vya kodi na kukimbia.
Kwa wale wote wenye mataili vipara msidhubutu kupita huku hatuna ambulance za wagonjwa.
Mheshiwa Magufuri sitanii nenda kajionee mwenyewe kabla hawajakomba vi-ela vyetu vya kodi na kukimbia.
Kwa wale wote wenye mataili vipara msidhubutu kupita huku hatuna ambulance za wagonjwa.