King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,656
- 68,602
Eneo korofi kama pale mwenge mataa!
Mkandarasi anapata wapi usingizi wa kulala usiku?
Kwanini eneo lile asiwe anajenga usiku?
Kama hawezi kujenga usiku serikali na Tanroads!
Pelekeni maombi Lugalo Muombe Diversion ya kutumia njia ya mda kupitia jeshini hadi mlimani (Survey-mliman city) kwa magari yanayokwenda njia ya ubungo ili kupunguza Msongamano wakati wa ujenzi!
Yote kwa yote Mkandarasi aongeze nguvu afanye kazi usiku na mchana with no Excuse!
Tunaomia ni sisi, Nafahamu nyie viongozi mnapita na Ving'ora!
Mungu anawaona!
Tanzania kuna mambo mengi ya kipuuzi sana!! Kutoka Kawe kwenda Ubungo lazima upite mwenge ni ujinga ilitakiwa kuwe na barabara inayotoboa kambini MLALAKUWA hadi Mlimani City sio wote wajazane MAKONGO ROAD.