Mkanda wa sauti kuhusiana na mauaji ya Mwandishi wa Habari, Jamal Kashoggi wavujishwa hadharani

Serikali nyingi huua. Mashirika mengi ya kijasusi huua. Tofauti itakuwa ni kwa kiasi gani na sababu zinazopelekea kuua.

Unaweza kukuta mambo ya kijinga jinga tu yanafanya mtu awekwe kwenye list ya kufa. Upuuzi ndo uko hapo.

Kuua na kutesa hutumika sana kutisha raia na wapinzani kwenye dunia ya tatu na huko Arabuni
 
Alafu USA ana mlaumu na kumwekea vikwazo Venezuela,eti wanakiuka haki za binadamu huku amemkumbatia Saudi Arabia.Sijui lini USA ataacha UNAFIKI.
Nasikia china naye siku hizi ni super power, si amuwekee vikwazo saudia ili ajifunze?! Na pia amkumbatie venezula ili apate unafuu wa uchumi ulioparaganyika. Kwan mpaka marekani tu?
 
Nasikia china naye siku hizi ni super power, si amuwekee vikwazo saudia ili ajifunze?! Na pia amkumbatie venezula ili apate unafuu wa uchumi ulioparaganyika. Kwan mpaka marekani tu?
Kwani nani anayeongoza kuhubiri haki za binadam kama sio US?

Analamika Rais wa Venezuela anakiuka haki za binadam,wakati kamkumbatia Israel anayempiga na kumwonea Palestina?

Analamika China wanakiuka haki za kibinadam,wakati anamkubatia Saudi Arabia aliye muua Kashoggi?

Analamika Syria kuwaua raia wake,wakati yy ktk operesheni zake za kijeshi kaua raia 24 kwa mujibu wa uchunguzi za BBC na mpaka wakamwekea vikwazo mmoja wa majaji wa mahakama ya kimataifa ya haki za kibinadamu,baada yakutaka uchunguzi ufanyike.

Hasa kama sio UNAFIKI ni nini? Unahubiri HAKI na sheria wakati ww,ukikosea hutaki kuhukumiwa kwa mujibu wa sheria.

Hata kama una mapenzi yako binafsi kwa USA,lkn USA ni MNAFIKI na ndio taifa linaloongoza kuleta machafuko katika nchi nyingine,kwa kigezo cha kutetea maslahi yao hawajali kwamba watamwaga damu kiasi gani.
 
Kwani nani anayeongoza kuhubiri haki za binadam kama sio US?

Analamika Rais wa Venezuela anakiuka haki za binadam,wakati kamkumbatia Israel anayempiga na kumwonea Palestina?

Analamika China wanakiuka haki za kibinadam,wakati anamkubatia Saudi Arabia aliye muua Kashoggi?

Analamika Syria kuwaua raia wake,wakati yy ktk operesheni zake za kijeshi kaua raia 24 kwa mujibu wa uchunguzi za BBC na mpaka wakamwekea vikwazo mmoja wa majaji wa mahakama ya kimataifa ya haki za kibinadamu,baada yakutaka uchunguzi ufanyike.

Hasa kama sio UNAFIKI ni nini? Unahubiri HAKI na sheria wakati ww,ukikosea hutaki kuhukumiwa kwa mujibu wa sheria.

Hata kama una mapenzi yako binafsi kwa USA,lkn USA ni MNAFIKI na ndio taifa linaloongoza kuleta machafuko katika nchi nyingine,kwa kigezo cha kutetea maslahi yao hawajali kwamba watamwaga damu kiasi gani.
Basi US ni mnafiki Kama unavyotaka, basi China afanye hayo naye si super power siku hizi! Kwan lazima mnafiki US afanye wakati kuna taifa lingine linalopenda haki na ni super power taifa la China!. China wamuadhibu saudia kwa vikwazo ili ajutie kosa lake.
 
Basi US ni mnafiki Kama unavyotaka, basi China afanye hayo naye si super power siku hizi! Kwan lazima mnafiki US afanye wakati kuna taifa lingine linalopenda haki na ni super power taifa la China!. China wamuadhibu saudia kwa vikwazo ili ajutie kosa lake.
China kafuata nini,Sijawahi kumsikia China akizungumzia swala la Kashoggi,zaidi ya baadhi ya nchi za Ulaya na baraza la Seneti la US ,wakiilaumu Saudi Arabia.

Ili dunia iwe salama lazima ukweli usemwe haijalishi amekosea mkubwa au mdogo.

Au ww umekasirika mimi kuikosoa US kwa evidence ambazo zipo wazi,tena nyingine zimefanyiwa tafiti na vyombo vyao vya habari.
 
Si bora hao waliozungumzia kuliko huyo aliyekaa kimya Kama kwa hakikutokea kitu!
China kafuata nini,Sijawahi kumsikia China akizungumzia swala la Kashoggi,zaidi ya baadhi ya nchi za Ulaya na baraza la Seneti la US ,wakiilaumu Saudi Arabia.

Ili dunia iwe salama lazima ukweli usemwe haijalishi amekosea mkubwa au mdogo.

Au ww umekasirika mimi kuikosoa US kwa evidence ambazo zipo wazi,tena nyingine zimefanyiwa tafiti na vyombo vyao vya habari.
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom