Mkanda Utanichafua meeen!!! tufunge mikanda kwenye magari

MKATA KIU

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
2,848
6,177
Heshima kwenu brothers and sisters..

Bado nina masikitiko kifo cha comedian anaenipa raha sana nikimuona as anapunguza sana stress kwa vicheko

Baada ya taarifa za vyombo vya habari as ajali ilivyotokea nimegundua sharobaro alikuwa ajafunga mkanda wakati anaendesha gari tena safari ndefu,, na kwa jinsi navyomjua swaga zake aligoma kufunga as "unajua bab mkanda utanichafua meeen"

Na imani angefunga mkanda asingetupwa nje wala kujigonga gonga na airbag ya harrier yake ingewai kumcover wakati gari inapata ajali..

So wadau wote mfunge mikanda hata kama inawachafua meeen...

Maana kwenye mabom gongo la mboto aliambiwa shharobaro lala chini mabomu yanalipuka akajib kuwa chini atachafuka meeeeen,, anaaambiwa tukimbie mabomu anasema ngoja ni kabath na kuvaaa supra meeeeen
 
Mwisho wa yte kufa kupo pale pale, vinginevyo dunia isingeweza kubalance.
Hiyo ni sawa blessing in disguise.
 
niko kwenye basi nikiangalia hivi kama wapo waliofunga mikanda ya magari basi hawazidi watatu sijui watanzania tuna matatizo gani..
 
Lakini kuna ukweli kwamba katika baadhi ya mabasi ya abiria mikanda huwa kama shoo ya kuwazuga matrafiki wapenda rushwa kwani inakuwa na kasoro kadhaa kama udogo kiasi cha kutoweza fungika, mibovu na michafu kweli kweli. Naona wahusika wa ukaguzi wazingatie haya na ,mamlaka husika ziweke 'standard' za mikanda katika magari ya umma.
 
Umeamua kumkejeli marehemu?

Siyo kashfa, kuna jinsi nyingi za kufikisha elimu kwa watu. Kama nimemuelewa vizuri ametaka tu kukumbusha umuhimu wa kufunga mikanda. Lugha ni sanaa, tafakari kabla ya kutoa maoni yako. Pole
 
Kwani hakufunga mkanda???...dah hiyo ilikua ni mistake kubwa sana kama ni kweli
 
wanasema kapata ajali, ajali aligonga mti, gari, ukuta ama? mkanda sio issue sana wangapi wanakufa na mikanda iko vifuani mwao?
 
Back
Top Bottom