MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,848
- 6,177
Heshima kwenu brothers and sisters..
Bado nina masikitiko kifo cha comedian anaenipa raha sana nikimuona as anapunguza sana stress kwa vicheko
Baada ya taarifa za vyombo vya habari as ajali ilivyotokea nimegundua sharobaro alikuwa ajafunga mkanda wakati anaendesha gari tena safari ndefu,, na kwa jinsi navyomjua swaga zake aligoma kufunga as "unajua bab mkanda utanichafua meeen"
Na imani angefunga mkanda asingetupwa nje wala kujigonga gonga na airbag ya harrier yake ingewai kumcover wakati gari inapata ajali..
So wadau wote mfunge mikanda hata kama inawachafua meeen...
Maana kwenye mabom gongo la mboto aliambiwa shharobaro lala chini mabomu yanalipuka akajib kuwa chini atachafuka meeeeen,, anaaambiwa tukimbie mabomu anasema ngoja ni kabath na kuvaaa supra meeeeen
Bado nina masikitiko kifo cha comedian anaenipa raha sana nikimuona as anapunguza sana stress kwa vicheko
Baada ya taarifa za vyombo vya habari as ajali ilivyotokea nimegundua sharobaro alikuwa ajafunga mkanda wakati anaendesha gari tena safari ndefu,, na kwa jinsi navyomjua swaga zake aligoma kufunga as "unajua bab mkanda utanichafua meeen"
Na imani angefunga mkanda asingetupwa nje wala kujigonga gonga na airbag ya harrier yake ingewai kumcover wakati gari inapata ajali..
So wadau wote mfunge mikanda hata kama inawachafua meeen...
Maana kwenye mabom gongo la mboto aliambiwa shharobaro lala chini mabomu yanalipuka akajib kuwa chini atachafuka meeeeen,, anaaambiwa tukimbie mabomu anasema ngoja ni kabath na kuvaaa supra meeeeen