Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
Wadau salaam!
Katika Taasisi yeyote ya kisiasa ya kidemokrasia,mawasiliano/taarifa zina nguvu isiyokuwa ya kawaida.Ushirikishwaji wa wananchi wa level zote huongeza nguvu hiyo mara dufu.Kwa sababu hiyo basi, kwa kadiri taasisi ya siasa inavyozidi kuwa na taarifa/ za kutosha na za kuaminika ndivyo taasisi husika inavyopata nguvu zaidi na kinyume chake.Kwa kadiri wananchi wanavyoweza kuwa na taarifa za kutosha na kuaminika juu ya taasisi husika, ndivyo taasisi inavyozidi kupata nguvu na kinyume chake.Kadhalika kwa jinsi taasisi inavyo washirikisha wadau zaidi na zaidi ndivyo inavyopata mawazo mengi zaidi na kadiri inavyopata mawazo mengi zaidi ndivyo inavyoimarika zaidi na kinyume chake.
CHADEMA kama taasisi ya kisiasa inaonekana kulitambua hilo na hivyo kubuni mbinu mbalimbali za mawasiliano kuhakikisha taarifa zinazotoka kwenye chama zinafikia umma na zinazotoka katika umma zinafikia chama n.k.Nitaeleza kwa kifupi mbinu zinazotumika zaidi kwa sasa faida zake na changamoto zake.
1. Huwawezesha Viongozi wa chama kufikisha taarifa/ mawazo yao/msimamo wa chama kwa umma.
2. Mtizamo wa mmiliki wa chombo cha habari huweza kusababisha taarifa isitolewe.
3. Mfumo huu huwezesha taarifa/ maoni kwenda kwa upande mmoja tu; yaani kutoka juu (kwa viongozi kwenda chini)
4. Njia hii hufikisha taarifa kwa watu wachache tu katika umma ambao wanavifikia vyombo husika.
5. Mbinu hii haishirikishi umma kwa namna yeyote.
2. Umma humuona msemaji/kiongozi na hivyo kupata hamasa zaidi.
3. Kunakuwa na mawasiliano kutoka kwa pande zote kutoka kwa kiongozi na kwa umma kupitia maswali.
1.Muda wa mikutano unakuwa unabanwa mno hivyo kuleta ugumu kwa umma kuuliza maswali na kutoa ushauri.
2. Kwa kawaida umma huwajibika kuuliza ndani ya topic iliyozungumziwa tu!
3.Idadi ya wahudhuriaji wa mikutano ni ndogo kuliko wasiohudhuria.
4.Kuna aina ya watu hata kama wana maswali au ushauri hawawezi kutoa kwenye mikutano ya hadhara.
2. Huonesha mshikamano miongoni mwa wadau.
3. Huonesha hisia za wadau.
2.Mikimiki ya maandamano wakati fulani husababisha fujo na hivyo kuwa kero kwa baadhi ya watu.
3.Maandamano wakati fulani huingiliwa na kusababisha vifo na hasara.
4. Watanzania wengi bado wanatazama maandamano kama kitendo cha fujo kutofuata taratibu na kitu cha hatari kwa washiriki.
D. MITANDAO YA KIJAMII
FAIDA.
1.Ni mfumo wa haraka sana wa kufikishia watu taarifa.
2. Taarifa huuenda kwa pande zote mbili; yaani kutoka kwa chama kwenda kwa umma na kutoka kwa umma kwenda kwa chama.
Kama ambavyo tumeona mbinu zinazotumiaka hapo juu, pamoja na faida zake bado zina changamoto kubwa ambazo ni ngumu kuzikabili, hiyo basi ipo haja ya kutumia mbinu ya tano ambayo inaweza kuwa na mafanikio makubwa sana hasa katika kipindi hiki ambapo kuna maendeleo makubwa ya teknolojia.
"UTUMIAJI WA SIMU ZA MKONONI."
NAMNA YA KUTEKELEZA.
Unaweza kuundwa mfumo ambao utaweza kupata namba za simu za wanachama na wapenzi wote(ikibidi watu wote wazima), namba hizo zitatunzwa kwenye mfumo maalum.Inapotokea kuna jambo lolote la kutolea taarifa, ofisi yenye namba hizo iatuma taarifa kwa namba zote.Inapotokea mdau yeyote ana mawazo au taarifa yeyote anaweza kuituma kwenye ofisi inayo dhibiti mawasilianfisi hiyo itakuwa na wajibu wa kupokea kuchambua na kujibu maswali na ushauri utakaotolewa na yeyote.
2. Mfumo huu utaufanya umma ujisikie unathaminiwa.
3. Mfumo huu utawezesha kukika kwa taarifa kwa watu wengi kwa wakati mmoja kuliko mfumo mwingine wowote ule.
4.Mfumo huu unawez kukiwezesha chama kuwa na taarifa/mawazo mengi zaidi kuliko mfumo wowote ule mwingine
5.Mfumo huu utakuwa unatumia gharama kidogo sana.
6.Mfumo huu utakuwa na ufanisi wa ajabu sana wakati wa uchaguzi.
CHANGAMOTO.
1. Zoezi la kupata namba za simu za watu wote ni gumu hivyo linahitaji watu waliojitoa kweli
2.Watu wengine watatumia mfumo huu kuleta usumbufu, kutuuma taarifa za kuudhi, kukatisha tamaa n.k
Kwa ujumla mfumo/mbinu hii ya tano ya mawasiliano na ushirikishaji itakuwa safi kabisa na ikitumika vizuri inaweza kuleta matunda zaidi ya inavyoweza kufikiriwa.Ni vyema mbinu hii ikatumika 2014/2015.Uzuri ni kwamba kwa sasa karibu nusu ya watanzania wana simu. Ikumbukwe kwamba chama mbadala ni lazima kioneshe ubunifu kila mara ili kuonesha umbadala wake kweli. Kuboresha kila mara ni muhimu.CHADEMA wasipoitumia fursa hii, wengine watachukua fursa na kwenda zao!.
Katika Taasisi yeyote ya kisiasa ya kidemokrasia,mawasiliano/taarifa zina nguvu isiyokuwa ya kawaida.Ushirikishwaji wa wananchi wa level zote huongeza nguvu hiyo mara dufu.Kwa sababu hiyo basi, kwa kadiri taasisi ya siasa inavyozidi kuwa na taarifa/ za kutosha na za kuaminika ndivyo taasisi husika inavyopata nguvu zaidi na kinyume chake.Kwa kadiri wananchi wanavyoweza kuwa na taarifa za kutosha na kuaminika juu ya taasisi husika, ndivyo taasisi inavyozidi kupata nguvu na kinyume chake.Kadhalika kwa jinsi taasisi inavyo washirikisha wadau zaidi na zaidi ndivyo inavyopata mawazo mengi zaidi na kadiri inavyopata mawazo mengi zaidi ndivyo inavyoimarika zaidi na kinyume chake.
CHADEMA kama taasisi ya kisiasa inaonekana kulitambua hilo na hivyo kubuni mbinu mbalimbali za mawasiliano kuhakikisha taarifa zinazotoka kwenye chama zinafikia umma na zinazotoka katika umma zinafikia chama n.k.Nitaeleza kwa kifupi mbinu zinazotumika zaidi kwa sasa faida zake na changamoto zake.
(A.)MIKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI.
FAIDA ZA MBINU HII.
FAIDA ZA MBINU HII.
1. Huwawezesha Viongozi wa chama kufikisha taarifa/ mawazo yao/msimamo wa chama kwa umma.
CHANGAMOTO
1.Wanahabari hufikisha taarifa kulingana na mitizamo yao juu ya taarifa yenyewe.
2. Mtizamo wa mmiliki wa chombo cha habari huweza kusababisha taarifa isitolewe.
3. Mfumo huu huwezesha taarifa/ maoni kwenda kwa upande mmoja tu; yaani kutoka juu (kwa viongozi kwenda chini)
4. Njia hii hufikisha taarifa kwa watu wachache tu katika umma ambao wanavifikia vyombo husika.
5. Mbinu hii haishirikishi umma kwa namna yeyote.
(B). KUTUMIA MIKUTANO YA HADHARA.
FAIDA YA MBINU HII.
1. Huwezesha kufikia kundi kubwa la watu kwa wakati mmoja.FAIDA YA MBINU HII.
2. Umma humuona msemaji/kiongozi na hivyo kupata hamasa zaidi.
3. Kunakuwa na mawasiliano kutoka kwa pande zote kutoka kwa kiongozi na kwa umma kupitia maswali.
CHANGAMOTO.
1.Muda wa mikutano unakuwa unabanwa mno hivyo kuleta ugumu kwa umma kuuliza maswali na kutoa ushauri.
2. Kwa kawaida umma huwajibika kuuliza ndani ya topic iliyozungumziwa tu!
3.Idadi ya wahudhuriaji wa mikutano ni ndogo kuliko wasiohudhuria.
4.Kuna aina ya watu hata kama wana maswali au ushauri hawawezi kutoa kwenye mikutano ya hadhara.
C. MAANDAMANO.
FAIDA.
1.Huibua hamasa kwa ummaFAIDA.
2. Huonesha mshikamano miongoni mwa wadau.
3. Huonesha hisia za wadau.
CHANGAMOTO.
1. Watanzania wengi hawapendi mikikimiki hivyo wanaosalia majumbani ni wengi kuliko wanaoshiriki maandamano.
2.Mikimiki ya maandamano wakati fulani husababisha fujo na hivyo kuwa kero kwa baadhi ya watu.
3.Maandamano wakati fulani huingiliwa na kusababisha vifo na hasara.
4. Watanzania wengi bado wanatazama maandamano kama kitendo cha fujo kutofuata taratibu na kitu cha hatari kwa washiriki.
D. MITANDAO YA KIJAMII
FAIDA.
2. Taarifa huuenda kwa pande zote mbili; yaani kutoka kwa chama kwenda kwa umma na kutoka kwa umma kwenda kwa chama.
CHANGAMOTO.
1. Watumiaji wa mtandao tanzania ni wachache mno.
Kama ambavyo tumeona mbinu zinazotumiaka hapo juu, pamoja na faida zake bado zina changamoto kubwa ambazo ni ngumu kuzikabili, hiyo basi ipo haja ya kutumia mbinu ya tano ambayo inaweza kuwa na mafanikio makubwa sana hasa katika kipindi hiki ambapo kuna maendeleo makubwa ya teknolojia.
"UTUMIAJI WA SIMU ZA MKONONI."
Unaweza kuundwa mfumo ambao utaweza kupata namba za simu za wanachama na wapenzi wote(ikibidi watu wote wazima), namba hizo zitatunzwa kwenye mfumo maalum.Inapotokea kuna jambo lolote la kutolea taarifa, ofisi yenye namba hizo iatuma taarifa kwa namba zote.Inapotokea mdau yeyote ana mawazo au taarifa yeyote anaweza kuituma kwenye ofisi inayo dhibiti mawasilianfisi hiyo itakuwa na wajibu wa kupokea kuchambua na kujibu maswali na ushauri utakaotolewa na yeyote.
FAIDA.
1.Mfumo huu utawafanya wanachama/umma ujisikie kuwa karibu sana na chama na hivyo kujihisi kama wao ndio chama chenyewe.
2. Mfumo huu utaufanya umma ujisikie unathaminiwa.
3. Mfumo huu utawezesha kukika kwa taarifa kwa watu wengi kwa wakati mmoja kuliko mfumo mwingine wowote ule.
4.Mfumo huu unawez kukiwezesha chama kuwa na taarifa/mawazo mengi zaidi kuliko mfumo wowote ule mwingine
5.Mfumo huu utakuwa unatumia gharama kidogo sana.
6.Mfumo huu utakuwa na ufanisi wa ajabu sana wakati wa uchaguzi.
CHANGAMOTO.
2.Watu wengine watatumia mfumo huu kuleta usumbufu, kutuuma taarifa za kuudhi, kukatisha tamaa n.k
Kwa ujumla mfumo/mbinu hii ya tano ya mawasiliano na ushirikishaji itakuwa safi kabisa na ikitumika vizuri inaweza kuleta matunda zaidi ya inavyoweza kufikiriwa.Ni vyema mbinu hii ikatumika 2014/2015.Uzuri ni kwamba kwa sasa karibu nusu ya watanzania wana simu. Ikumbukwe kwamba chama mbadala ni lazima kioneshe ubunifu kila mara ili kuonesha umbadala wake kweli. Kuboresha kila mara ni muhimu.CHADEMA wasipoitumia fursa hii, wengine watachukua fursa na kwenda zao!.