Mkakati wa kuwavua ubunge wabunge wa CHADEMA wafichuliwa

Ndio wanatamba kwamba lazima watawang'oa.sasa ni juu yetu sisi wananchi je tutakaa tukiumia na kuchuruzika machozi kwa dhuluma inayofanywa na CCM,serikali yake na Usalama wa Taifa chini ya kiongozi mzandiki Raisi aliyepo,yeye anauhakika gani kwamba wananchi watakubaliana na hali hiyo hivi wameona hasira za wananchi wa Arusha au ndio ule msemo wao wanaosema watakasirika halafu yataisha,hatutakubali kamwe kuacha nchi yetu nzuri na amani ikavurugwa na hawa viwavi waroho wa madaraka kama CCM na Usalama wa Taifa


Nadhani wana mifano hai pale dhuluma inapokithiri wanajua nini kinatokea embu ona huyo Jaji aliyehukumu kesi ya Lema amejitia doa mpka siku ya kufa kwake anaonekana Jaji Mhuni,mzurumaji,asiye na akili anayepelekeshwa kama boya ni aibu tupu ametapakaza usoni ,akipita Arusha atazomewa , akirudi Sumbawanga hakuna atakayemuheshimu sijui ataficha wapi uso wake
 
Wanapoteza muda kudhibiti CDM ambayo inaungwa mkono na wananchi wengi badala ya kutumia nguvu hiyo kutatua matatizo yanayoikabili TZ kwama vile mfumuko wa bei, upungufu wa walimu, upungufu wa dawa hospitalini nk. Kamwe hawataweza kuzuia nguvu ya umma mwaka 2015. Wapambanaji tusitishwe na vitisho vya magamba aka CCM.
 
Kifo tayari kimeshakuja kwa magamba ni sawa unapochinja ng'ombe akakujerui tuu. Majaji nchini hawafiki 1000, wabunge wa ccm hawafiki 1000, mawaziri hawafiki 100 raisi ni 1 LAKINI wananchi ni zaidi ya milioni 30 sasa tutajua ni nani mshindi katika haya makundi ya wananchi na watawala a.k.a mafisadi.
Kwanza kuwavua ubunge wana wachukulia muda wa kukaa bungeni na waje kufanya kazi kwa wananchi nchi nzima na kuongoza maandamano ambayo spika hata walaumu kwamba wamekacha vikao vya bunge.
 
Nakubaliana na wale wote wanaosema JK na chama chake watasababisha vita ndani ya nchi hii, maana anatumia dola kudhulumu haki za wananchi. Sasa haki ikikosekana mahakamani nini kitafuata? bila shaka ni vita
 
Heri ya Pasaka wana JF,
Kuna mkakati maalumu wa kuwavua ubunge wabunge wengine wanne wa CDM, lengo ni moja tu kupunguza nguvu ya chama.
Ni wazi kuwa kesi zote za wabunge wa CDM wamepewa majaji ambao sio waozefu na ndio wameteuliwa juzijuzi, kwa hyo wana maagizo maalumu kutoka ikulu.
Wabunge wanaotajwa kuvuliwa kwa vyovyote vile ni Lissu ambaye pamoja na mashahidi wa upande wa wadai kushindwa kuthibisha madai bado Jaji anashinikiza kesi iendelee.
Mwingine ni Mnyika ambae Jaji Upendo Msuya ameonyesha kuwa tayar ana yake kichwani kwa sababu yy na mdai ni marafiki sana na pia hata wakili wa upande wa wadai wamewahi kufanya kazi pamoja na Jaji. Lingine kubwa ni kuwa Jaji huyo ni kilaza sana kwenye kesi za uchaguzi na hana hukumu hata moja ya mambo hayo.
Opulikwa wa meatu na Mbasa wa Biharamulo pia wanatajwa kuwa wanavuliwa Ubunge.
Lengo: Lissu, Mnyika na Lema hawatakiwi kuwepo Bungeni wakati wa katiba mpya kutokana na misimamo yao
Source: watu waaminifu kwenye system

Well said.

Hii kitu au mkakati huu uko wazi kabisa. BAADA YA CCM KUSHINDWA KWENYE BALLOT BOX SASA WAMEAMUA KUTUMIA MAHAKAMA KUINYANG'ANYA CHADEMA USHINDI KWA LAZIMA! Na hii yote ni kutaka kupunguza nguvu na kasi ya CDM kujijenga na kujiimarisha kisiasa tunapokaribia Uchaguzi Mkuu 2015. Hiyo ndiyo picha kwa all Great Thinkers to be noted!

Mimi napenda kutoa tahadhari tu kwa VIONGOZI WOTE WA CCM NA SERIKALI YAO KUWA MCHEZO WANAOUCHEZA UTAKUJA KULIGHARIMU TAIFA HILI. TUMEONA MADUDU YALIYOFANYIKA KWENYE HUKUMU YA LEMA HAPO ARUSHA MJINI. KUWA JAJI AMETOA HUKUMU KWA MAELEKEZO MAALUMU TOKA JU HUKU AKIACHA MASWALI MENGI KULIKO MAJIBU. CCM/SERIKALI WAJUE KUWA TANZANIA YA LEO SIYO ILE YA MIAKA YA 60s na 70! PEOPLE HAVE REALLY CHANGED.NA KAMA SERIIKALI INATAKA KUWAFANYA WATANZANIA NI MAZEZETA BASI WAENDELEE NA HUU UJINGA. HAKIKA NCHI ITALIPUKA MOTO NA HAKUNA ATAKAYE WEZA KUUZIMA!!!!!

Tuantaka Mahakama zitende haki kwa Watanzania wote bila kujali itikadi zao za kivyama,kidini.kijinsia au kikabila! Kuna hukumu ya Jimbo la Uchaguzi Segerea tunaisubiri kwa hamu. Kulingana na ushahidi uliotolewa mpaka sasa kwa upande wa Mlalamikaji Fred Mpendazoe dhidi ya Makongoro Mahanga mizani inaelemea kwa Mahanga kuwa alishinda katika mazingira ya wizi na udanganyifu! Sasa Watanzania wanangojea hiyo tarehe 2 Mei Jaji atahitimishaje hukumu hiyo. Watu wanajua sheria wataangalia itakuwaje. Je, Mahanga ataruhusiwaa kuendelea na Ubunge simply because ni kutoka CCM na ni Waziri? Au sheria itasimama kama MSUMENO?????Tutajua siku hiyo.

Wasalaaamu.
 
Wananchi itabidi tuandamane kuipinga mahakama sasa. Kama wasimamizi wa uchaguzi wanaboronga na kuwapora wagombea na hatimaye kuwaambia walalamikaji waende mahakamani, na mahakamani wanasema ukate rufaa. Tutaenda hadi wapi?

Tukiona haki haitendeki tunaingia Barabarani na sidhani kama kuna jeshi litakalozuia hili jambo.. wao waendelee tu keweka maisha ya Majaji na mashahidi rehani..
 
Well said.

Hii kitu au mkakati huu uko wazi kabisa. BAADA YA CCM KUSHINDWA KWENYE BALLOT BOX SASA WAMEAMUA KUTUMIA MAHAKAMA KUINYANG'ANYA CHADEMA USHINDI KWA LAZIMA! Na hii yote ni kutaka kupunguza nguvu na kasi ya CDM kujijenga na kujiimarisha kisiasa tunapokaribia Uchaguzi Mkuu 2015. Hiyo ndiyo picha kwa all Great Thinkers to be noted!

Mimi napenda kutoa tahadhari tu kwa VIONGOZI WOTE WA CCM NA SERIKALI YAO KUWA MCHEZO WANAOUCHEZA UTAKUJA KULIGHARIMU TAIFA HILI. TUMEONA MADUDU YALIYOFANYIKA KWENYE HUKUMU YA LEMA HAPO ARUSHA MJINI. KUWA JAJI AMETOA HUKUMU KWA MAELEKEZO MAALUMU TOKA JU HUKU AKIACHA MASWALI MENGI KULIKO MAJIBU. CCM/SERIKALI WAJUE KUWA TANZANIA YA LEO SIYO ILE YA MIAKA YA 60s na 70! PEOPLE HAVE REALLY CHANGED.NA KAMA SERIIKALI INATAKA KUWAFANYA WATANZANIA NI MAZEZETA BASI WAENDELEE NA HUU UJINGA. HAKIKA NCHI ITALIPUKA MOTO NA HAKUNA ATAKAYE WEZA KUUZIMA!!!!!

Tuantaka Mahakama zitende haki kwa Watanzania wote bila kujali itikadi zao za kivyama,kidini.kijinsia au kikabila! Kuna hukumu ya Jimbo la Uchaguzi Segerea tunaisubiri kwa hamu. Kulingana na ushahidi uliotolewa mpaka sasa kwa upande wa Mlalamikaji Fred Mpendazoe dhidi ya Makongoro Mahanga mizani inaelemea kwa Mahanga kuwa alishinda katika mazingira ya wizi na udanganyifu! Sasa Watanzania wanangojea hiyo tarehe 2 Mei Jaji atahitimishaje hukumu hiyo. Watu wanajua sheria wataangalia itakuwaje. Je, Mahanga ataruhusiwaa kuendelea na Ubunge simply because ni kutoka CCM na ni Waziri? Au sheria itasimama kama MSUMENO?????Tutajua siku hiyo.

Wasalaaamu.

Naunga mkono hii hoja asimia 100%, tena hao CCM wakumbuke kuwa cheo ni dhamana, na wao ni binaadamu wa kawaida tu. Wasije wakawachefua wananchi, tukakosa amani.
 
Naunga mkono hii hoja asimia 100%, tena hao CCM wakumbuke kuwa cheo ni dhamana, na wao ni binaadamu wa kawaida tu. Wasije wakawachefua wananchi, tukakosa amani.

Hi Fredrick Sanga,

Asante kwa kuliona hili na kuniunga mkono. Huu ndiyo ukweli. Tusikubali CCM na serikali yake watuyumbishe. Uamuzi wa Wananchi(KURA) lazima uheshimiwe. Maana kuna haja gani ya kuwa na Chaguzi za Rais,Wabunge,Madiwani n.k. kama KURA ZA WANANCHI HAZIHESHIMIWI kwa vile tu aliyeshinda ni toka chama pinzani???Huu ujinga wa CCM wa kuendelea kuwa kwenye mawazo na ulevi wa Chama Kimoja LAZIMA UKOMESHWE na hasa tunapojiandaa kwenda kwenye mchakato wa kutoa MAONI YA MUUNDO WA KATIBA MPYA. LAZIMA WATANZANIA NA WAPENDA HAKI WOTE WAHAKIKISHE SHERIA NA KANUNI ZA KIPUMBAVU ZINAZOWALINDA WATAWALA/MADIKTETA ZINAFUTILIWA MBALI.
 
Makamanda mfa maji haachi kutapatapa!CCM inaelekea mwisho dats y inatapatapa!CDM inaelekea kuchukua nchi hivi karibuni!Tukomae na magamba mwanzo mwisho!NGUVU YA UMMA HAIJAWAI KUSHINDWA
 
maaaamae...
hivi inakua je wana die watu kama akina kanumba na ilihali mafedhuli wanazidi kutanua na kutafuna mali ya watanganyika kinyemela?????????
i wish nao waanze ku rest in peace bana hata tule ubwabwa wao japo nao utakua wa wizi
 
CCM na Majaji wote wanawaza kwa kutumia makalio. Haiwezekani mtu anakaa chumbani na mkewe wanashauriana upumbavu then anampigia jaji, ati ebwanaee hiyo kesi pindua pindua CDM wakose nguvu bungeni!
Upumbavu mtupu! wanafikiri CDM ni bungeni tu!
Kwa taarifa yenu Magamba CDM ipo nje ya bunge, bungeni ni sehemu ndogo tu ya uwakilishi!
Mwaka huu watakiona cha moto hawa magamba!
 
hawa majaji waliodakuliwa kama ndoa za mikeka ni janga la mabadiliko. Ni kizingiti tayari dhidi ya mategemeo ya mabadiliko. Huu ni ushahidi wa teuzi za kila kitu na utawala wa kiflaume.
 
Kufahamu mahali hao majaji wanakoishi pamoja na nyendo zao kisha kuwapa somo mmoja baada ya mwingine watakapoona wanatokomea watafuata taratibu, kanuni, sheria na haki katika maamuzi yao.


Maana wanajifanya vichwa vya panzi hawa maji. Hakika wanastahili adhabu kali kama somo na fundisho kwa wengine.
 
Wakati wao wanahangaika mkakati wa kuwapunguza wabunge wa CDM, kwa upande mwingine wananchi kwa kushurikiana na CDM wamekamilisha mkakati wa kuiondoa CCM madarakani kabla ya 2015 kama hawaamini wajaribu kuowaongeza Lisu, Mnyika na kama wawili kutoka kanda ya ziwa kwenye list ya wabunge wa wananchi kama Lema.....

Kazi itakuwa imeisha.
Kweli mkuu hiyo itakuwa blessing in a disguise, maana hao makamanda watatumiwa na chama kupiga kampeini na kuwaelimisha wananchi, kuhusu katiba mpya, ufisadi, wizi, dhuluma ya mali zetu ili Watanzania watoe hukumu ya haki 2015 kwenye uchaguzi mkuu!!!!!!!!! VIVA CDM VIVA DEMOKRASIA NA HAKI!!!!

 
Back
Top Bottom