Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
ni bora sana wewe umeliona hilo,kuna serikali zingine ni mkono wa chuma wala huwezi kuiongea hiyo serikali au viongozi wake vibaya lakini cha kupendeza hao hao viongozi wako mbele kwa maslahi ya taifa na wananchi, hivyo hata ukiwa huwa pendi itakulazimu tu uwapende kwani wanakuletea na kukusaidia karibu kila kitu.
Sasa sisi serikali yetu hata kutoa tu huduma za mhimu kabisa kama umeme, maji,chakula etc ni kazi , sasa mambo gani watakayooyaweza?
Sasa sisi serikali yetu hata kutoa tu huduma za mhimu kabisa kama umeme, maji,chakula etc ni kazi , sasa mambo gani watakayooyaweza?
Tatizo la hawa watu nguvu zote wanamalizia kwenye mikakati ya kijinga badala ya kutatua matatizo ya wananchi, mapimbi kweli yani hayajui hata kula na kipofu