Ni andiko la ovyo kabisa.
Bila shaka uwezo wako wa kuona mambo hauzidi umbali wa mita 2. Kama wote wangekuwa na fikra za kiopuuzi kama hizo zako, bila shaka Afrika isingepata uhuru. Ubaguzi wa rangi usingeisha Afrika Kusini.
Hivi unajua Mandela alipewa offer ngapi za kushiriki katika serikali ya weupe lakini alikataa? Unajua Jaramogi Odinga alipewa options ngapi za kushiriki kwenye madaraka ya weupe Kenya lakini alikataa?
Mandela alikaa jela zaidi ya miaka 20. Akina Sisulu, Mzee Mbeki (mwanaye alikuja kuwa Rais) walipigania haki za weusi kwa zaidi ya miaka 40, na wengine hawakuweza hata kuiona Afrika Kusini ya usawa kwa wote.
Wewe kwa vile huna maono, ukiona mtu hakupata anachokipigania ndani ya miaka 5, basi kwa fikra zako duni unadhani amepoteza.
Haijalishi itachukua miaka 10, au hata 20, Tanzania ni lazima ibadilike, itoke kwenye utawala wa kishetani wa leo na kuingia kwenye utawala wa kistaarabu. Tunaweza kuiona au tusiione Tanzania ya namna hiyo lakini ndoto zetu kwa kuwa ni sahihi, zitadumu na zitashinda. Uovu hauwezi kudumu milele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka uwezo wako wa kuona mambo hauzidi umbali wa mita 2. Kama wote wangekuwa na fikra za kiopuuzi kama hizo zako, bila shaka Afrika isingepata uhuru. Ubaguzi wa rangi usingeisha Afrika Kusini.
Hivi unajua Mandela alipewa offer ngapi za kushiriki katika serikali ya weupe lakini alikataa? Unajua Jaramogi Odinga alipewa options ngapi za kushiriki kwenye madaraka ya weupe Kenya lakini alikataa?
Mandela alikaa jela zaidi ya miaka 20. Akina Sisulu, Mzee Mbeki (mwanaye alikuja kuwa Rais) walipigania haki za weusi kwa zaidi ya miaka 40, na wengine hawakuweza hata kuiona Afrika Kusini ya usawa kwa wote.
Wewe kwa vile huna maono, ukiona mtu hakupata anachokipigania ndani ya miaka 5, basi kwa fikra zako duni unadhani amepoteza.
Haijalishi itachukua miaka 10, au hata 20, Tanzania ni lazima ibadilike, itoke kwenye utawala wa kishetani wa leo na kuingia kwenye utawala wa kistaarabu. Tunaweza kuiona au tusiione Tanzania ya namna hiyo lakini ndoto zetu kwa kuwa ni sahihi, zitadumu na zitashinda. Uovu hauwezi kudumu milele.
Sent using Jamii Forums mobile app