Mkakati wa CHADEMA Kugomea Viti Maalumu ni 'Political Maneuver' isiyokuwa na tija yoyote

Siamini kuwa ndiyo unajifunza kufanya uchambuzi...

Ningekuwa mwalimu wako na umeandika essay hii juu ya jambo hili, ningekupa alama 10% out of 100%..

Unaonekana huna data wala facts juu ya jambo hili. Wewe unachokiona mbele yako ni "viti maalumu" tu...

Mbona huichambui hoja ya CHADEMA ya kutofanya hivyo "hiyo mapema..?"

Huwezi kutamka kuwa, "Mimi sitafanya ushirika wa jambo lolote na wewe mpaka utakaponiomba msamaha" halafu wakati huo huo nikikuletea ugali na chips unazifakamia kama mjinga fulani vile...

Na wewe mimi nakushauri jambo moja, kuwa, siku zote katika maisha yako uwe na msimamo na principles..

Usiyumbishwe na chochote katika jambo au kitu chochote unachokiamini...

Lazima uamue kuwa moto au baridi. Kamwe usiwe vuguvugu ama nataka - sitaki..

Maandiko yanatuambia kuwa NDIYO yetu na iwe NDIYO kweli na SIYO yetu iwe SIYO kweli kweli...

CHADEMA wanaamini na wameshatoa TAMKO hadharani na dunia nzima imesikia na kuona kuwa, uchaguzi mkuu wa 2020 Tanzania ulikuwa BATILI na hivyo hawatambui matokeo yake...!!

Sasa ukiwa na akili na ufahamu timamu utawezaje kuteua wabunge wa viti maalumu kwa matokeo ya uchaguzi usioutambua wala kuukubali...??

Sasa wewe unasema "wangeteua viti maalumu mapema, huu mgogoro usingekuwepo" inaonesha kuwa umetoka usingizini, hujui kinachoendelea na ukaamua kujiandikia tu bila kuwa facts ya unachokiandika...!!
 
Siamini kuwa ndiyo unajifunza kufanya uchambuzi...

Ningekuwa mwalimu wako na umeandika essay hii juu ya jambo hili, ningekupa alama 10% out of 100%..

Unaonekana huna data wala facts juu ya jambo hili. Wewe unachokiona mbele yako ni "viti maalumu" tu...

Mbona huichambui hoja ya CHADEMA ya kutofanya hivyo "hiyo mapema..?"

Huwezi kutamka kuwa, "Mimi sitafanya ushirika wa jambo lolote na wewe mpaka utakaponiomba msamaha" halafu wakati huo huo nikikuletea ugali na chips unazifakamia kama mjinga fulani vile...

Na wewe mimi nakushauri jambo moja, kuwa, siku zote katika maisha yako uwe na msimamo na principles..

Usiyumbishwe na chochote katika jambo au kitu chochote unachokiamini...

Lazima uamue kuwa moto au baridi. Kamwe usiwe vuguvugu ama nataka - sitaki..

Maandiko yanatuambia kuwa NDIYO yetu na iwe NDIYO kweli na SIYO yetu iwe SIYO kweli kweli...

CHADEMA wanaamini na wameshatoa TAMKO hadharani na dunia nzima imesikia na kuona kuwa, uchaguzi mkuu wa 2020 Tanzania ulikuwa BATILI na hivyo hawatambui matokeo yake...!!

Sasa ukiwa na akili na ufahamu timamu utawezaje kuteua wabunge wa viti maalumu kwa matokeo ya uchaguzi usioutambua wala kuukubali...??

Sasa wewe unasema "wangeteua viti maalumu mapema, huu mgogoro usingekuwepo" inaonesha kuwa umetoka usingizini, hujui kinachoendelea na ukaamua kujiandikia tu bila kuwa facts ya unachokiandika...!!

Huna sababu ya kutoa povu jingi. Jukwaa lipo; unaweza kuandika analysis yako mwenyewe itakayokufurahisha. Mimi sikulenga kukufurahisha!

Blind followers wa CDM mna short memory. Migomo ya wapinzani haijaanza leo. Utamaduni wa migomo na kutokutambua matokeo ya uchaguzi vipo tangu uchaguzi wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi ulipofanyika. Ukiangazia mgomo mmoja baada ya mwingine, utagundua kuwa mara nyingi Upinzani umeumia zaidi ya kunufaika na hiyo migomo.

Albert Einstein defined the word insanity in the following manner:

“Doing the same thing over and over again and expecting different results.”
 
Kwa nini sisi CCM tunahangaika na masuala ya CHADEMA, kama wamegomea viti maalumu si juu yao. Hawa ndio walitucheleweshea maendeleo kwa kupinga pinga kila kitu, acha wakae nje tujenge nchi. They are useless and full of drama.
 
Umeandika kama mtu asiyeelewa chochote kuhusu uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba mwaka 2020

Taratibu; utanielewa tu utakapotinga 2025 bila kuona matunda yoyote ya hizi useless political maneuvers za chama chako!
 
Kwamba CHADEMA na ACT waendelee tu kukubaliana na ungese huu tuliona 27 na 28 Okt 2020? Mbona sikuelewi. Labda akina Halima Mdee wanakuelewa.

Albert Einstein defined the word insanity in the following manner:

“Doing the same thing over and over again and expecting different results.”

Endeleeni; mtaelewa mtakapotinga 2025 bila kuona mafanikio yoyote ya hizi useless political maneuvers za chama chenu!
 
Unamaanisha wewe sio muidlamu Ila unaupinga Muislamu kea mambo yake mengi, kumbe bandiko lako limeongozwa na CHUKI, Ni bora ungesema huna chama. Ila sawa mbogamboga.

Hatua ya kwanza ya uislamu ni kukubaliana na misingi ya uislamu.

Hili sio darasa la kujifunza tofauti iliyopo kati ya maneno hate na objection!
 
Kama huna chama mambo ya chadema na wewe wapi na wapi? Kwani usidili na serikali yako ambayo maamuzi yake yana direct athari kwenye maisha yako.

Kuna tofauti kati ya kutokuwa na chama na kutoathirika na mwenendo wa chama!
 
Mbona unalia sana, wewe ni mshauri wa hao Covid-19 au wewe ni nani hasa? Ok tusema wewe unataka chadema ifanyeje ili moyo wako uwe na amani? Maelezo mengi lakimi pumba tupu, kwanini usiwashauri hao Covid-19 chama cha kuhamia kuliko kupoteza muda wako na CDM

Mimi sijalia; nawakumbusha wapinzani juu ya makosa yao ya nyuma ambayo kwayo wameshindwa kujifunza na kunufaika nayo. Kama kawaida mtatinga 2025 mkiwa na score ya zero.

Bahati mbaya sikuandika kukufurahisha wewe. Jukwaa lipo; ukitaka kujifurahisha, andika analysis yako mwenyewe isiyokuwa pumba tupu!
 
Umewaelimisha vizuri sana. Wenye akili wamekuelewa sana. Wale wengine wanaomsikiliza na kumuamini muathirika wa traumatic brain injury tuwaache waendelee na ndoto zao!
 
Yaani umebugi BIG TIME.
Maamuzi ya vyama vya upinzani, hasa CHADEMA , huko nyuma ni wazi yamewasaidia. CHADEMA wamekuwa wakiongeza viti vya ubunge na idadi ya kura za urais, consistently kwa chaguzi zote, at the expense of ccm. Graph ilivurugwa na umafia wa Magufuli , na sio ushindi halali.

Ushindi wa 99% serikali za mitaa 2019 wala sio ushindi. Kutumia polisi, kuengua wagombea, maafisa wa uchaguzi kukimbia ofisi, ndio "mikakati" ya ushindi ya ccm. Huu wa 2020 nao mambo ni yaleyale. Kama unahesabu huo ni ushindi, basi una matatizo.

Kugoma kwa CHADEMA kuteua wabunge viti maalum ilikuwa mkakati mzuri sana. Umetoa fursa kwa ccm kujikaanga kwa operesheni mbovu kabisa, in desperation. Swali la msingi ni kwa nini ccm is so desperate CHADEMA waweke hao wabunge, hadi kufikia ccm wenyewe "kuwasaidia" CHADEMA kuwaweka?
 
Yaani umebugi BIG TIME.
Maamuzi ya vyama vya upinzani, hasa CHADEMA , huko nyuma ni wazi yamewasaidia. CHADEMA wamekuwa wakiongeza viti vya ubunge na idadi ya kura za urais, consistently kwa chaguzi zote, at the expense of ccm. Graph ilivurugwa na umafia wa Magufuli , na sio ushindi halali.

Ushindi wa 99% serikali za mitaa 2019 wala sio ushindi. Kutumia polisi, kuengua wagombea, maafisa wa uchaguzi kukimbia ofisi, ndio "mikakati" ya ushindi ya ccm. Huu wa 2020 nao mambo ni yaleyale. Kama unahesabu huo ni ushindi, basi una matatizo.

Kugoma kwa CHADEMA kuteua wabunge viti maalum ilikuwa mkakati mzuri sana. Umetoa fursa kwa ccm kujikaanga kwa operesheni mbovu kabisa, in desperation. Swali la msingi ni kwa nini ccm is so desperate CHADEMA waweke hao wabunge, hadi kufikia ccm wenyewe "kuwasaidia" CHADEMA kuwaweka?
UMEELEWEKA VYEMA SANA
 
Back
Top Bottom