Ndugu wana jamvi leo nakuja na mada hii ili nipate kuthibitishiwa. Mada ni kwamba, CCM wana uhakika wa kupoteza utawala wa nchi ifikapo 2015. Sasa ili kuhakikisha kwamba hilo halitokei(kupoteza utawala) ccm na serikali yao wakitumia idara ya Usalama wa Taifa na Vyombo vya Ulinzi ni kusuka zengwe ambalo litahakikisha mh. W. Slaa, F. Mbowe na viongozi kadhaa wa Chadema wanatiwa hatiani kabla ya 2015. Hili litafanya chadema wakose watu imara wa kushindana na ccm.
Aidha, kuna madai kwamba, mkakati wa pili wa ccm ni kuhakikisha kwamba iwapo chadema watashinda mwaka 2015; ccm wataanzishavurugu na machafuko nchini. Kupitia machafuko hayo watu kadhaa watauwawa (kama ilivyofanya Pemba chaguzi za nyuma). Kwa machafuko hayo, jumuiya ya kimataifa na Afrika watataka iwepo serikali ya mseto baina ya ccm na chadema. CCM watachukua urais na Chadema watapewa umakamu ama uwaziri mkuu. Kwa mfumo huo chadema itajiishia kimkakati kitabaki kuwa kama chama cha CUF huko Zanzibar.
CHANZO cha Taarifa hizi: Viongozi kadhaa wa taasisi za dini na kutoka Usalama wa nchi.
Aidha, kuna madai kwamba, mkakati wa pili wa ccm ni kuhakikisha kwamba iwapo chadema watashinda mwaka 2015; ccm wataanzishavurugu na machafuko nchini. Kupitia machafuko hayo watu kadhaa watauwawa (kama ilivyofanya Pemba chaguzi za nyuma). Kwa machafuko hayo, jumuiya ya kimataifa na Afrika watataka iwepo serikali ya mseto baina ya ccm na chadema. CCM watachukua urais na Chadema watapewa umakamu ama uwaziri mkuu. Kwa mfumo huo chadema itajiishia kimkakati kitabaki kuwa kama chama cha CUF huko Zanzibar.
CHANZO cha Taarifa hizi: Viongozi kadhaa wa taasisi za dini na kutoka Usalama wa nchi.