Ndugu wadau,
nimekuwa nikijiuliza juu ya hawa wananchi wanaojifanya wanamapinduzi kupitia vyama vya siasa, ni kwanini hawa wapinzania wasiunganishe nguvu na kuunda chama kimoja chenye sera, nia dhabiti na viongozi imara wenye kujua na kutafakari hatima ya nchi kwa mapana yake kama kweli ni wanamapinduzi? cha kushangaza sijapata jibu la hili swali katika angle hiyo badala yake nimeipata katika angle nyingine.
Kuna taarifa za kuaminika kutoka jikoni kuwa, chama tawala kinatumia nguvu nyingi sana, kisheria, kifedha na hata mbinu chafu kuhakikisha chama kikuu cha upinzani kinaanguka kabla 2015.
Vilevile kuna taarifa za kuaminika za ccm kuitumia CUF,kwa kuwapa pesa nyingi ili kuzunguka nchini kwa lengo hasa zauneutralize nguvu ya chadema, kuna haja gani sasa ya kuwa na vyama vya upinzania? mheshimwa Lipumba tumemuona, tumemuona Julius Mtatiro jangwani anatumia mda mwingi wa hotuba yake kuikandia chadema badala ya sera za chama chake, wameenda mbali sana ili kutimi mkakati wao fedhuri na kuazisha the same operation called VISION FOR CHANGES (V4C) pamoja na kuchangisha pesa kama wenzao wa chadema wanavyofanay.
Watanzania lazima tutambue kuwa, ukombozi wa nchi si kazi lelemama, ni kazi ngumu sana inayohitaji uvumilivu na nguvu ya ziada kwani tunapambana na watu wenye dola, walioingizwa kwa mfumo mgumu sana uliotengenezwa na mtu mwenye akili nyingi mwalimu nyerere!lakini hatutakiwa kukataa tamaa, pamoja na mbinu zao chafu hakika tutashinda! nchi kama hii yenye kila dalili zote mbaya dunia kuanzia kwenye elimu duni, afya ovyo, democrasia mbovu,haiwezekani kuwa vyama vya siasa 20! huu ni mpango maalumu wa ccm kuzorotesha mabadiliko!kazi yetu lazima tuimarishe vijana kisiasa ili wanakoenda wafanya kazi ya kuwafundisha wengine ili elimu ya urai iwafikie wengi kama kweli tuna nia ya dhati ya luleta mabadiliko!
nimekuwa nikijiuliza juu ya hawa wananchi wanaojifanya wanamapinduzi kupitia vyama vya siasa, ni kwanini hawa wapinzania wasiunganishe nguvu na kuunda chama kimoja chenye sera, nia dhabiti na viongozi imara wenye kujua na kutafakari hatima ya nchi kwa mapana yake kama kweli ni wanamapinduzi? cha kushangaza sijapata jibu la hili swali katika angle hiyo badala yake nimeipata katika angle nyingine.
Kuna taarifa za kuaminika kutoka jikoni kuwa, chama tawala kinatumia nguvu nyingi sana, kisheria, kifedha na hata mbinu chafu kuhakikisha chama kikuu cha upinzani kinaanguka kabla 2015.
Vilevile kuna taarifa za kuaminika za ccm kuitumia CUF,kwa kuwapa pesa nyingi ili kuzunguka nchini kwa lengo hasa zauneutralize nguvu ya chadema, kuna haja gani sasa ya kuwa na vyama vya upinzania? mheshimwa Lipumba tumemuona, tumemuona Julius Mtatiro jangwani anatumia mda mwingi wa hotuba yake kuikandia chadema badala ya sera za chama chake, wameenda mbali sana ili kutimi mkakati wao fedhuri na kuazisha the same operation called VISION FOR CHANGES (V4C) pamoja na kuchangisha pesa kama wenzao wa chadema wanavyofanay.
Watanzania lazima tutambue kuwa, ukombozi wa nchi si kazi lelemama, ni kazi ngumu sana inayohitaji uvumilivu na nguvu ya ziada kwani tunapambana na watu wenye dola, walioingizwa kwa mfumo mgumu sana uliotengenezwa na mtu mwenye akili nyingi mwalimu nyerere!lakini hatutakiwa kukataa tamaa, pamoja na mbinu zao chafu hakika tutashinda! nchi kama hii yenye kila dalili zote mbaya dunia kuanzia kwenye elimu duni, afya ovyo, democrasia mbovu,haiwezekani kuwa vyama vya siasa 20! huu ni mpango maalumu wa ccm kuzorotesha mabadiliko!kazi yetu lazima tuimarishe vijana kisiasa ili wanakoenda wafanya kazi ya kuwafundisha wengine ili elimu ya urai iwafikie wengi kama kweli tuna nia ya dhati ya luleta mabadiliko!