Mkakati wa CCM kuiua CHADEMA kwa kuitumia CUF na fitina chafu

luckman

JF-Expert Member
Oct 11, 2010
1,211
371
Ndugu wadau,

nimekuwa nikijiuliza juu ya hawa wananchi wanaojifanya wanamapinduzi kupitia vyama vya siasa, ni kwanini hawa wapinzania wasiunganishe nguvu na kuunda chama kimoja chenye sera, nia dhabiti na viongozi imara wenye kujua na kutafakari hatima ya nchi kwa mapana yake kama kweli ni wanamapinduzi? cha kushangaza sijapata jibu la hili swali katika angle hiyo badala yake nimeipata katika angle nyingine.

Kuna taarifa za kuaminika kutoka jikoni kuwa, chama tawala kinatumia nguvu nyingi sana, kisheria, kifedha na hata mbinu chafu kuhakikisha chama kikuu cha upinzani kinaanguka kabla 2015.

Vilevile kuna taarifa za kuaminika za ccm kuitumia CUF,kwa kuwapa pesa nyingi ili kuzunguka nchini kwa lengo hasa zauneutralize nguvu ya chadema, kuna haja gani sasa ya kuwa na vyama vya upinzania? mheshimwa Lipumba tumemuona, tumemuona Julius Mtatiro jangwani anatumia mda mwingi wa hotuba yake kuikandia chadema badala ya sera za chama chake, wameenda mbali sana ili kutimi mkakati wao fedhuri na kuazisha the same operation called VISION FOR CHANGES (V4C) pamoja na kuchangisha pesa kama wenzao wa chadema wanavyofanay.

Watanzania lazima tutambue kuwa, ukombozi wa nchi si kazi lelemama, ni kazi ngumu sana inayohitaji uvumilivu na nguvu ya ziada kwani tunapambana na watu wenye dola, walioingizwa kwa mfumo mgumu sana uliotengenezwa na mtu mwenye akili nyingi mwalimu nyerere!lakini hatutakiwa kukataa tamaa, pamoja na mbinu zao chafu hakika tutashinda! nchi kama hii yenye kila dalili zote mbaya dunia kuanzia kwenye elimu duni, afya ovyo, democrasia mbovu,haiwezekani kuwa vyama vya siasa 20! huu ni mpango maalumu wa ccm kuzorotesha mabadiliko!kazi yetu lazima tuimarishe vijana kisiasa ili wanakoenda wafanya kazi ya kuwafundisha wengine ili elimu ya urai iwafikie wengi kama kweli tuna nia ya dhati ya luleta mabadiliko!
 
Ndugu wadau,

nimekuwa nikijiuliza juu ya hawa wananchi wanaojifanya wanamapinduzi kupitia vyama vya siasa, ni kwanini hawa wapinzania wasiunganishe nguvu na kuunda chama kimoja chenye sera, nia dhabiti na viongozi imara wenye kujua na kutafakari hatima ya nchi kwa mapana yake kama kweli ni wanamapinduzi? cha kushangaza sijapata jibu la hili swali katika angle hiyo badala yake nimeipata katika angle nyingine.

Kuna taarifa za kuaminika kutoka jikoni kuwa, chama tawala kinatumia nguvu nyingi sana, kisheria, kifedha na hata mbinu chafu kuhakikisha chama kikuu cha upinzani kinaanguka kabla 2015.

Vilevile kuna taarifa za kuaminika za ccm kuitumia CUF,kwa kuwapa pesa nyingi ili kuzunguka nchini kwa lengo hasa zauneutralize nguvu ya chadema, kuna haja gani sasa ya kuwa na vyama vya upinzania? mheshimwa Lipumba tumemuona, tumemuona Julius Mtatiro jangwani anatumia mda mwingi wa hotuba yake kuikandia chadema badala ya sera za chama chake, wameenda mbali sana ili kutimi mkakati wao fedhuri na kuazisha the same operation called VISION FOR CHANGES (V4C) pamoja na kuchangisha pesa kama wenzao wa chadema wanavyofanay.

Watanzania lazima tutambue kuwa, ukombozi wa nchi si kazi lelemama, ni kazi ngumu sana inayohitaji uvumilivu na nguvu ya ziada kwani tunapambana na watu wenye dola, walioingizwa kwa mfumo mgumu sana uliotengenezwa na mtu mwenye akili nyingi mwalimu nyerere!lakini hatutakiwa kukataa tamaa, pamoja na mbinu zao chafu hakika tutashinda! nchi kama hii yenye kila dalili zote mbaya dunia kuanzia kwenye elimu duni, afya ovyo, democrasia mbovu,haiwezekani kuwa vyama vya siasa 20! huu ni mpango maalumu wa ccm kuzorotesha mabadiliko!kazi yetu lazima tuimarishe vijana kisiasa ili wanakoenda wafanya kazi ya kuwafundisha wengine ili elimu ya urai iwafikie wengi kama kweli tuna nia ya dhati ya luleta mabadiliko!

mimi nadhani ni vizuri CUF waendelee na kufuata ya CDM ili kusaidia kuindoa CCM vizuri, sasa kama CUF watapita kwa watanzania na kuwaeleza CDM ni mbaya itasaidia zaidi kuchukua kura za CUF maana watanzania wa leo sio wa jana. jambo jingine CUF wakiichafua CDM, nawashauri CDM wapite kabla na baada ya wao kupita na kuwaonyesha wananchi mizani watakayotumia kupima kati ya CCM, CUF na CDM ni yupi wa kukabidhiwa nchi.
 
Mawazo mgando kweli yaani wameona M4C nao wakaja na V4C Prof uwezo wako wa kufikili umeishia apo kweli?
 
Mbichi na mbivu huwa ni tofauti siku zote, na genuine from counterfeit will never be the same. Big up CDM, it is getting rough
 
Pigana na ccm kwa hoja, achana na Cuf. Wananchi wanapaswa kumjua adui yao wa kwanza, naye ni ccm. Tusipojiingiza katika malumbano ya hovyo na CuF, ambacho kimeandaliwa kimkakati kuimaliza CDM, basi vita yetu itakuwa na manufaa. Tuwaache wafu wawazike wafu wenzao, tusitumie muda wetu vibaya. Kuijadili CuF ni matumizi mabaya ya rasilimali muda.
 
CUF ni kambi ndogo ya CCM kama walivyo wakuu wa wilaya ni waajiriwa wa serikali ila wanafanya kazi za CCM.
 
Watatumia mbinu gani mbadala maanake cuf kwishiney ushahidi igunga 2010 kura 11,000
alipofunga ndoa tu 2011 hapo igunga kura CUF walipata kura 2,000....pamoja na kusaidiwa helkopta na pesa
watu wa sasa sio wa jana wafanye wafanyalo upepo upo cdm ...weeeee unafikiri mchezo mpaka mzee mzima kusema liwalo na liwe
 
Mawazo mgando kweli yaani wameona M4C nao wakaja na V4C Prof uwezo wako wa kufikili umeishia apo kweli?

Angekuwa na akili asingekubali kuolewa na Magamba, alafu bado anapita mitaani akijitapa kuwa na yeye ni mpinzani huku fedha za kuandaa mikutano anapewa na magamba. Matope matupu.
 
nani ana mpango na uamsho tz?

Wananchi wengi bado wamelala, kwahiyo wana uamsho hufanya kazi ya kuwaamsha walio lala. kama unakubaliana na mimi basi pia utakubali kuwa uamsho Tz unahitajika kwa sana. Karibu kwenye sera na sio kwenye visasi na mauwaji.
 
Ndugu wadau,

nimekuwa nikijiuliza juu ya hawa wananchi wanaojifanya wanamapinduzi kupitia vyama vya siasa, ni kwanini hawa wapinzania wasiunganishe nguvu na kuunda chama kimoja chenye sera, nia dhabiti na viongozi imara wenye kujua na kutafakari hatima ya nchi kwa mapana yake kama kweli ni wanamapinduzi? cha kushangaza sijapata jibu la hili swali katika angle hiyo badala yake nimeipata katika angle nyingine.

Kuna taarifa za kuaminika kutoka jikoni kuwa, chama tawala kinatumia nguvu nyingi sana, kisheria, kifedha na hata mbinu chafu kuhakikisha chama kikuu cha upinzani kinaanguka kabla 2015.

Vilevile kuna taarifa za kuaminika za ccm kuitumia CUF,kwa kuwapa pesa nyingi ili kuzunguka nchini kwa lengo hasa zauneutralize nguvu ya chadema, kuna haja gani sasa ya kuwa na vyama vya upinzania? mheshimwa Lipumba tumemuona, tumemuona Julius Mtatiro jangwani anatumia mda mwingi wa hotuba yake kuikandia chadema badala ya sera za chama chake, wameenda mbali sana ili kutimi mkakati wao fedhuri na kuazisha the same operation called VISION FOR CHANGES (V4C) pamoja na kuchangisha pesa kama wenzao wa chadema wanavyofanay.

Watanzania lazima tutambue kuwa, ukombozi wa nchi si kazi lelemama, ni kazi ngumu sana inayohitaji uvumilivu na nguvu ya ziada kwani tunapambana na watu wenye dola, walioingizwa kwa mfumo mgumu sana uliotengenezwa na mtu mwenye akili nyingi mwalimu nyerere!lakini hatutakiwa kukataa tamaa, pamoja na mbinu zao chafu hakika tutashinda! nchi kama hii yenye kila dalili zote mbaya dunia kuanzia kwenye elimu duni, afya ovyo, democrasia mbovu,haiwezekani kuwa vyama vya siasa 20! huu ni mpango maalumu wa ccm kuzorotesha mabadiliko!kazi yetu lazima tuimarishe vijana kisiasa ili wanakoenda wafanya kazi ya kuwafundisha wengine ili elimu ya urai iwafikie wengi kama kweli tuna nia ya dhati ya luleta mabadiliko!

Umenena sawa kabisa ila ni bahati mbaya maamuzi ya CUF hawakufanya at the right time tayari walishachelewa wameamka saa 12alfajiri kutafuta shuka wakati mbu wamekunywa damu hadi kuvimbewa.
CDM walichanga karata vema kwa sasa wanakula bonus biashara kwishasiku mingi.Walidhani ni chama cha msimu na sasa wanahaha kufuta nacho hakikamatiki, kiko mioyoni mwa watanzania
 
Ccm na serekali yake maji yamewafika shingoni. Propaganda za udini, ukabila. Ukanda. Chama cha mauaji zimeshindikana sasa wameamua kutumia CcmB. Watanzania sio maboya tunazielewa siasa za maji taka za ccm na cuf. Wataumbuka mchana kweupe pe,?
 
Back
Top Bottom