Mkakati huu ccm miaka mia madarakani

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
14,075
15,912
Ni muda sasa chadema inaonekana imekosa sterling mzuri wa mikakati kipindi cha miaka ya 2005-12 chadema ilikuwa ipo vizuri sana kwa kuwa na mikakati ya kujenga chama pasipo kutegemea majina au mtu ahame chama apewe nafasi,tujiulize kipindi hichoy hakuna viongozi waliotoka vyama tofauti wakajiunga chadema?jibu wapo ila mikakati ilikua sahihi ya kutokupenyeza virusi ndani ya chama hawakupewa hata nafasi ya ulinzi wa ofisi,lakini leo chadema imechoka ubunifu hakuna,
labda chadema ndio inapita kwenye mkondo wa nccr na tlp ambazo mpaka sasa chalii,
kwa mkakati huu mahanga,sumaye,mnawapa zawadi za vyeo tena mjini badala ya kuangalia wapi mlikosa kura mpo eneo la dar es salaam ambako tayari chama kimeota mizizi wanamawazo gani mapya,kama ni hesabu za kuitoa ccm kwa mkakati wa sumaye na mahanga ccm miaka mia madarakani,lazima wazalishwe vijana wengine kama zitto,mnyika,mdee,kafulila na wengineo kwani hao walitoka wapi mpaka hawapatikani wengine mkakati ni kuvizia ccm?namnukuu sumaye tunataka kuitoa ccm kwa kuanzia ngazi ya shina wakati,kazi kubwa ilishafanywa na operation sangara.
Somo ni vipi zitapatikana kura milion 4 maana duni kaondoka na milion 2 zake,sioni dalili kwa watanzania kucheza tena kamari kwa lowassa kupata ml 2 nyingine!
 
Sasa hao wazee wakina Sumaye na Lowasa akili zao zimeshachoka walikuwa viongozi hakuna walichofanya zaidi ya ufisadi ndio tegemeo la Chadema unategemea nini
 
Kwa sasa gear zimejam, hazibadiliki angani wala nchi kavu. Dereva wawili wameshikilia usukani ni mwendo msobe msobe.
Halafu mtu anasema kwa sasa hatufanyi siasa za harakati anapigiwa makofi, Tanzania Chama cha Upinzani bila siasa za harakati ndiyo kimepotea.
 
lazima wapatikane mbadala sumaye tulimuona akijiunga nccr hakusema sababu ya kuhama ghafla nccr kwenda chadema!
 
Kwa sasa gear zimejam, hazibadiliki angani wala nchi kavu. Dereva wawili wameshikilia usukani ni mwendo msobe msobe.
Halafu mtu anasema kwa sasa hatufanyi siasa za harakati anapigiwa makofi, Tanzania Chama cha Upinzani bila siasa za harakati ndiyo kimepotea.
Wamekuta tayari gorofa limesimama,hawajui aliejenga msingi alikutana na dhahama gani.
 
Utawala huu unaanza kukomoa mpaka wanyonge, wewe mwl.akatwe mshahala pindi dawati linapovunjika
Halafu unaelewa kabisaaa kati ya sekta za wanyonge wanaofanya kazi ya kujitolea.
Itafuata kitu hapa, ajari ikitokea trafiki anakatwa mshala
Mgonjwa akifa dokta anakatwa mshahara
Mtoto akifeli mwalimu anakatwa tena

Hapa tuendako sijui hizi ni dalili za mwanzo kuonyesha yawezekana atakua rais wa kwanza kuongoza kipindi kimoja
 
Utawala huu unaanza kukomoa mpaka wanyonge, wewe mwl.akatwe mshahala pindi dawati linapovunjika
Halafu unaelewa kabisaaa kati ya sekta za wanyonge wanaofanya kazi ya kujitolea.
Itafuata kitu hapa, ajari ikitokea trafiki anakatwa mshala
Mgonjwa akifa dokta anakatwa mshahara
Mtoto akifeli mwalimu anakatwa tena

Hapa tuendako sijui hizi ni dalili za mwanzo kuonyesha yawezekana atakua rais wa kwanza kuongoza kipindi kimoja
bado huyo anaesababisha hayo akienda kule atapewa uenyekiti
 
Back
Top Bottom