Eshacky
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 962
- 243
Hii serikal yetu inajikanganya yenyewe,leo naibu wazir wa elimu kwenye kipindi cha MIAKA 50 YA UHURU NA MAENDELEO KTK ELIMU chanel 10 amesema kigezo muhimu cha kupata mkopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu ni kuwa na div.1 au div.2 then ndo wanaangalia wale wenye div.3 na wakachagua course zenye vipaumbele, wakat huo huo bodi ya mikopo wanasema kigezo cha ufaulu kimefutumwa kwa mwanafunz kupata mkopo. TUMUAMINI NAN? MNATUCHANGANYA!!!!