mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,169
Yanauzwa wapiSerikali ihamasishe matumizi ya makaa ya mawe majumbani.
Yanauzwa wapiSerikali ihamasishe matumizi ya makaa ya mawe majumbani.
Matumizi ya gas yanataka uangalifu sanaNyumba za watu zitaungua
Kama unatumia mtungi mkubwa ni vizuri ufunge nje (usiweke ndani) kwa ajili ya tahadhari.Nyumba za watu zitaungua
Acheni unafki,haito tokea cku binadamu akamaliza msitu eti kwa ajili ya mkaa tu,wameanza kutumia mababu na mababu mbona haujesha??Allah ameweka balance kati ya supply and demand.
Ni kweli kabisa hiyo gesi ya mtwara mpaka iingizwe kwenye mitungi labda baada ya miaka 100Kitambo gas yetu tunayoisikia kila siku kwenye midomo ya wanasiasa wakipigia kampeni ikianza kujazwa kwenye mitungi ya gas kwa matumizi ya nyumbani hapo kidogo tunaweza pata unafuu lakini sio kutegemea orxy,lakegas,mihane haya makampuni ya nje washushe bei. Ni ndoto
Makadirio ya Food and Agriculture organization yanaonyesha uzalishaji wa tani milion 30.6 za mkaa kwa mwaka barani Africa. Miti inayoangushwa kutengeneza mkaa wote huo ni kiasi gani? Maeneo mengi kaskazini mwa Dar miti imeisha. Ukuwa barabarani kuanzia Segera kuelekea Dar hasa nyakati za usiku hewa imejaa harufu ya mkaa kutoka kwenye matanuru ya kutengeneza mkaa. Hali ni mbaya sana completely out of control.Acheni unafki,haito tokea cku binadamu akamaliza msitu eti kwa ajili ya mkaa tu,wameanza kutumia mababu na mababu mbona haujesha??Allah ameweka balance kati ya supply and demand.