papaayenga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 765
- 501
Naomba kuuliza kwa wale wanao tengeneza free app. Wanapo zituma kama vile YouTube au katika website nyingine huwa wanalipia katika hizo site? Na kama wanalipia wawo hupataje kipato kwa kaziyao hiyo wakati wawo huzitangaza kuwa ni app. za bure?
Pia mtu binafsi anapo upload clip yake YouTube au sehemu nyingine huyo mwenye clip hiyo hufaidika vipi kwa watu kuitazima maana takuta kila clip inaorodha ya idadi ya watu walio ipitia hii inasaidia nini?
Pia kupeleka clips huko YouTube na kwingineko huwa kunahiaji kibali au leseni?
Tafadhali naomba watu wenye elimu na hili jambo wanifahamishe. Kama hulifahamu utakuwa muungwana ukikaa kimya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia mtu binafsi anapo upload clip yake YouTube au sehemu nyingine huyo mwenye clip hiyo hufaidika vipi kwa watu kuitazima maana takuta kila clip inaorodha ya idadi ya watu walio ipitia hii inasaidia nini?
Pia kupeleka clips huko YouTube na kwingineko huwa kunahiaji kibali au leseni?
Tafadhali naomba watu wenye elimu na hili jambo wanifahamishe. Kama hulifahamu utakuwa muungwana ukikaa kimya.
Sent using Jamii Forums mobile app