Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Kuna habari ambazo bado hazijathibitishwa kuwa kada wa ccm ambaye pia ni mjumbe wa NEC kwa muda mrefu yuko Uingereza kwa ajili ya kuhudhuria mkutano mkubwa wa Chadema utakaofanyika Reading tarehe 26/08/2012. Habari kutoka vyanzo vyetu vinasema mjumbe huyo kaamua kufanya hivyo kwa sababu amechoshwa na mambo mengi yanayofanywa na CCM kwa hiyo ameamua kuingia upinzani ili aweze kuwakosoa bila kuwa na hofu
MORE DETAILS TO COME..
UPDATES...
Hizi habari zimethibitishwa lakini mhusika ambaye tayari ameisha shika nyadhifa mbali mbali serikalini kaomba jina lake lisitajwe kwa sasa mpaka siku ya mkutano ambao utarekodiwa na video zitarushwa kwenye television mbali mbali Bongo
MORE DETAILS TO COME..
UPDATES...
Hizi habari zimethibitishwa lakini mhusika ambaye tayari ameisha shika nyadhifa mbali mbali serikalini kaomba jina lake lisitajwe kwa sasa mpaka siku ya mkutano ambao utarekodiwa na video zitarushwa kwenye television mbali mbali Bongo