Kisambusa
Member
- Aug 8, 2022
- 27
- 16
Kwa masikitiko makubwa Tena Kwa huzuni kubwa Mzee Yasin Lema mkazi wa Hai Kilimanjaro na ambaye ni Mjumbe wa Kamati ya siasa ya CCM mkoa wa Kilimanjaro ameandaliwa/amejiandaa kuharibu majina ya wagombea uongozi ngazi ya wilaya kwenye kikao cha kupitisha majina mkoani kupitia kamati ya siasa ya Ccm ya mkoa.
Yasin Lema ni mtu muongeaji na mjuaji sana na anaonekana mtu mwenye busara ila ana majungu na roho mbaya hivyo ni muhimu CCM wakawa Nate makini kwenye vikao muhimu vya maamuzi.
Katika Hali ya kushangaza Yasin Lema pia ni mgombea kupitia Ccm wilaya ili akachaguliwe au kuteuliwa kuwa mjumbe wa kamati ya siasa ya Ccm mkoa wa Kilimanjaro 2022-2027.
Ili kuonyesha ukubwa wa cheo chake anazunguka nyumba Kwa nyumba na Katibu wa wazazi wilaya ya Hai kuhakikusha majina ya wajumbe yatakatwa au kubadilishiwa nafasi walizoomba na kupewa nafasi zingine ambazo wajumbe hawakuziomba.
Yasin Lema amekwenda mbali na kuhamasisha udini I viongozi wanaochaguliwa ngazi ya wilaya wawe wanatokana na dini yake.
Wengi wanamuonea huruma Yasin Lema kuhusu ulemavu wake wa mguu ila ukweli ni kiongozi hatari ndani na nje ya Ccm wilaya Hadi mkoa.
Tunashauri Yasin Lema alindwe na wamuepuke kuchaguliwa kuwa mjumbe wa kamati ya siasa mkoa kwani anavujisha Siri pia za chama Kwa Mdogo wake God bless Lema ambaye anatarajia kugombea ubunge kupitia chadema mwaka 2025.
Mengi mtaendelea kuyapokea kwani tuko nyuma yake kuwapa Yale yanayoendelea ila ninashauri mgombea kupitia Jimbo la HAI walio omba nafasi kwenye chama majina Yao yasibadilishiwe nafasi walizoomba iwapo litatokea utakuwa ni msimamo wa Yasin Lema na sio uamuzi wa kamati ya siasa ya CCM ya mkoa.
Katibu wa CCM Taifa soma ujumbe huu na fuatilia utakutana na ukweli wake bila kificho.
Yasin Lema ni mtu muongeaji na mjuaji sana na anaonekana mtu mwenye busara ila ana majungu na roho mbaya hivyo ni muhimu CCM wakawa Nate makini kwenye vikao muhimu vya maamuzi.
Katika Hali ya kushangaza Yasin Lema pia ni mgombea kupitia Ccm wilaya ili akachaguliwe au kuteuliwa kuwa mjumbe wa kamati ya siasa ya Ccm mkoa wa Kilimanjaro 2022-2027.
Ili kuonyesha ukubwa wa cheo chake anazunguka nyumba Kwa nyumba na Katibu wa wazazi wilaya ya Hai kuhakikusha majina ya wajumbe yatakatwa au kubadilishiwa nafasi walizoomba na kupewa nafasi zingine ambazo wajumbe hawakuziomba.
Yasin Lema amekwenda mbali na kuhamasisha udini I viongozi wanaochaguliwa ngazi ya wilaya wawe wanatokana na dini yake.
Wengi wanamuonea huruma Yasin Lema kuhusu ulemavu wake wa mguu ila ukweli ni kiongozi hatari ndani na nje ya Ccm wilaya Hadi mkoa.
Tunashauri Yasin Lema alindwe na wamuepuke kuchaguliwa kuwa mjumbe wa kamati ya siasa mkoa kwani anavujisha Siri pia za chama Kwa Mdogo wake God bless Lema ambaye anatarajia kugombea ubunge kupitia chadema mwaka 2025.
Mengi mtaendelea kuyapokea kwani tuko nyuma yake kuwapa Yale yanayoendelea ila ninashauri mgombea kupitia Jimbo la HAI walio omba nafasi kwenye chama majina Yao yasibadilishiwe nafasi walizoomba iwapo litatokea utakuwa ni msimamo wa Yasin Lema na sio uamuzi wa kamati ya siasa ya CCM ya mkoa.
Katibu wa CCM Taifa soma ujumbe huu na fuatilia utakutana na ukweli wake bila kificho.