Aliusaka ukatibu ilemela akaukosa,tuhuma zake zipo bayana,bora amewahi kuchana gwanda kabla hajachaniwa.
Huyu ndiye rafiki yake mkubwa yule Meya Feki wa Ilemela aliyefukuzwa Chadema.
Aliusaka ukatibu ilemela akaukosa,tuhuma zake zipo bayana,bora amewahi kuchana gwanda kabla hajachaniwa.
Kila hoja ya Chadema upo mmmmmmm
queen ni ajabu kwa watu wanaotumika yaani KUBWA JINGA kwa nini unapojiunga na chama chochote cha Siasa hauiti Press Conference lakini ukitoka unaita Press Conference je hao waandishi nao huwa wanajua wanachoitiwa au wao wanaenda tu sababu wanajua wanapata habari? Waulizeni hao wanaowaita kwamba mbona wakati unajiunga na kula posho zao haukutuita iweje mabaya yawe wakati unatoka lakini mazuri wakati umo unfaidi hauyasemi? Ni unafiki wa watu wazimaHivi siku hizi mtu ukihama chama chako kiwe ccm au chadema je, ni lazima uite waandishi wa habari? Au mimi ndio sielewi hizi siasa? naomba mnieleweshe.
Queen Esther
Tumia ID yako acha kuiga majina ya wenyewe
Mwajiri akiwa hajali maslahi ya wafanyakazi wake utakaa tu "hewala bwana mkubwa"?
Yaani watu wanapoteza muda kumjadili huyu tapeli.
Samson Boroyi Chacha nani asiyemjua? Kweli huyu tapeli ndio wa kuita waandishi eti anatangaza kujiengua? Habari zake za toka yuko Sunrise Secondary hadi Thaqaafa tutaziweka wazi ili watu wamtambue.
Hakika wanafiki, wazindiki na wasaliti CHADEMA si mahali pao salama hata siku 1..
Yaani watu wanapoteza muda kumjadili huyu tapeli.
Hivi siku hizi mtu ukihama chama chako kiwe ccm au chadema je, ni lazima uite waandishi wa habari? Au mimi ndio sielewi hizi siasa? naomba mnieleweshe.
Queen Esther
Samson Boroyi Chacha nani asiyemjua? Kweli huyu tapeli ndio wa kuita waandishi eti anatangaza kujiengua? Habari zake za toka yuko Sunrise Secondary hadi Thaqaafa tutaziweka wazi ili watu wamtambue.
Upepo umewakalia vibaya CDM yetu macho