mozila firefox
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 899
- 1,761
Daaah poleni ndugu zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa inasema alipigwa risasi ya mguu na baada ya siku kadhaa mauti imemfika, hiyo covid imetoka wapi? acha unaa chief!Covid bado ipo
Mnafiki wewe !!!Kama siyo risasi za Polisi ni covid-19 itamaliza watu.
Acha unafiki wako !!!!Covid bado ipo
Wewe unajua bila shaka kwa undani chanzo cha kifo cha huyu Mzee !!!Zanzibar mna nini lakini?Inakuaje kila uchaguzi mnaletewa askari wageni wanakuja wanaua ndugu zenu nanyi mnakubali tu?
Mpe vidonge vyake huyo mwizi wa Kura za wananchi !!!!Taarifa inasema alipigwa risasi ya mguu na baada ya siku kadhaa mauti imemfika, hiyo covid imetoka wapi? acha unaa chief!
Ahsante !!!R.I.P
Nenda Aboubakar
wasalimie wale 13 waliotumbuliwa
Na wale wa january 2001 wote wambie Zanzibar itakuwa Nchi huru siku moja watesi wetu tunawajua
Mnafiki mkubwa wewe !!!Zanzibar mna nini lakini?Inakuaje kila uchaguzi mnaletewa askari wageni wanakuja wanaua ndugu zenu nanyi mnakubali tu?
Kwa uchungu mkubwa nawajulisha kuhusu msiba mkubwa tuliopata wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili Maalim Abubakar Khamis Bakar. Tangu walipompiga risasi chini ya miguu usiku wa tarehe 28/10/2020 hakuwa sawa mpaka mauti. Inna lillah waina ilaih raajiun.
Kiongozi wa Chama
Zitto Kabwe
R.I .PR.I.P Mwakilishi...
Polisi wameua mtu wa 14 kutokana na uchaguzi wa Zanzibar.Kwa uchungu mkubwa nawajulisha kuhusu msiba mkubwa tuliopata wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili Maalim Abubakar Khamis Bakar. Tangu walipompiga risasi chini ya miguu usiku wa tarehe 28/10/2020 hakuwa sawa mpaka mauti. Inna lillah waina ilaih raajiun.
Kiongozi wa Chama
Zitto Kabwe
Ukweli mchungu!Mn
Mnafiki mkubwa wewe !!!
Wameeneza idadi ya watu 14!Hizi damu zitawatesa kama mkapa zilivyomtesa mpaka kutubu dakika za mwisho za uhai wake!Wewe unajua bila shaka kwa undani chanzo cha kifo cha huyu Mzee !!!
Ipo au haipo?Acha unafiki wako !!!!