TANZIA Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo, Aboubakar Khamis Bakar afariki dunia mjini Zanzibar

Kwa uchungu mkubwa nawajulisha kuhusu msiba mkubwa tuliopata wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili Maalim Abubakar Khamis Bakar. Tangu walipompiga risasi chini ya miguu usiku wa tarehe 28/10/2020 hakuwa sawa mpaka mauti. Inna lillah waina ilaih raajiun.

Kiongozi wa Chama
Zitto Kabwe

 
Kwa uchungu mkubwa nawajulisha kuhusu msiba mkubwa tuliopata wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili Maalim Abubakar Khamis Bakar. Tangu walipompiga risasi chini ya miguu usiku wa tarehe 28/10/2020 hakuwa sawa mpaka mauti. Inna lillah waina ilaih raajiun.

Kiongozi wa Chama
Zitto Kabwe

Polisi wameua mtu wa 14 kutokana na uchaguzi wa Zanzibar.

Cc: Maria Sarungi.
 
Screenshot_20201111-113003_Chrome.jpg


Tazama media zetu zinaogopa hata kusema amekufa kwa kipigo
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom