Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
😀😀duh waja mna mambo. Mnamsimanga Marehemu
😀😀duh waja mna mambo. Mnamsimanga Marehemu
Njaa ndiyo ilikuwa inamfanya abwabwaje,baada ya kupata uteuzi ulishawahi kumsikia tena?Kweli huyu mzee alikuwa anaongea ni balaa,km anafoka vile.Rest easy mzee
Huyu na magu nan anasemwa vby? Mbona sijaona baya lolote hapa? Zaid ya kucheka tu .inaonekana hamjawah msikia akiongea..hebu mtupishe🙃Ngoja ninyakaze maana wengine mnajulikana
Uyu sio njaa ndo asili yake mkuu ..si aliongea hata baada ya matokeo mkuu?Njaa ndiyo ilikuwa inamfanya abwabwaje,baada ya kupata uteuzi ulishawahi kumsikia tena?
We naye..akiongea misuli shingo inamkakamaa😏Kwa hiyo aliongea sana mpaka na roho ikatoka baada ya misuli kumalizika?
Alikuwaga Mwanaharakati mzuri sana, namkumbuka kwa michango yake kwenye midahalo mbalimbali hasa ule wa Katiba Mpya. Pumzika kwa Amani baba.Mwanaharakati Renatus Mkinga afariki, alikuwa mjumbe wa bodi ya Tasac iliyovunjwa na mama Samia mwezi uliopita.
Source: TPA
=========
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA Bw Renatus Mkinga amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili usiku wa kuamkia tarehe 25 Mei, 2021. Atakumbukwa kwa Mchango wake katika maendeleo ya Sekta ya Bandari. Apumzike kwa Amani.
Huo ulikuwa ni wasifu wa marehemu lazima usemwe wengine wajueduh waja mna mambo. Mnamsimanga Marehemu
Huyu mzee waliwai KUPIGA 100million bahat nasibuView attachment 1799079mimi kila nikmuona najikuta nacheka.jaman..yaan huyu mtikila akasome...alikua fyatu kuliko neno lenyewe!dah🤣
VideosHuyu dingi ilikuwa akipewa nafasi ya kuongea kwenye chombo cha habari au mdahalo, ni lazima ataropoka kuhusu issue ya Deep green, Meremeta au Richmond. Hata kama mada itakuwa ni mechi ya Simba na Yanga, mzee mkinga ataropoka hizo issue.
Ishu sio ulabu, ishu Ni "mashine ya kusaga"Mbona watu wame like sana post yangu ya mimi kula ulabu na mwendazake?
Mzee wa Kapirimposhi-zambiaAlikuwa mwanaharakati tu
Ova
Jamaa zamani alikuwa migrationMzee wa Kapirimposhi-zambia
dah mzee namkumbuka akiongeaga hadi waandishi wa habari wanamkwepa anayvotema cheche za mate mdomoniMwanaharakati Renatus Mkinga afariki, alikuwa mjumbe wa bodi ya Tasac iliyovunjwa na mama Samia mwezi uliopita.
Source: TPA
=========
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA Bw Renatus Mkinga amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili usiku wa kuamkia tarehe 25 Mei, 2021. Atakumbukwa kwa Mchango wake katika maendeleo ya Sekta ya Bandari. Apumzike kwa Amani.
26/5/2022Pole yao sana wafiwa...