Mjumbe wa Baraza Kuu CUF ajiuzulu; Awatuhumu viongozi wake ( UKAWA Effect)

Dada Juliana mambo vipi CCM kuna lolote jipya zaidi ya ishu za UKAWA? Mbona huleti taarifa za ziara ya Katibu Mkuu au wewe hiyo siyo kambi yako?
Swali la msingi kweli,nilitegemea hawa magamba waje na taarifa za kujenga chama ila kila kukicha UKAWA,hapa ndipo napoamini kifo cha ccm kimetimia..
 
Kwani wewe siku hizi umekuwa msemaji wa vyama vya upinzani?,maana kila jambo la upinzani likitokea wakwanza kuandika,mbona hayo ya CCM huandiki?
Nyota zao zinang'arishwa chadema uko ccm wamekufa,wanatamani kurudi ila wameshakuwa matapishi..
 
Mjumbe wa Baraza Kuu na Katibu wa CUF wilaya ya Lindi ndugu Abubakar Taher amejiuzulu nyadhifa zake katika chama hicho kuanzia leo tarehe 21st May 2014, kwa kile alichokieleza kuchoshwa na ubabe na uvunjaji wa katiba unaofanywa na Mwenyekiti wake Ambae pia ni Mbunge wa Lindi Mjini Salum Barwany pamoja na uongozi wa Juu wa Chama hicho.

Hatua hiyo imefikiwa baada ya kuwepo kwa mgogoro ndani ya Chama hicho hasa juu ya mwenendo wa Mwenyekiti huyo na viongozi wa Taifa wa Chama hicho. Miongoni mwa mambo ambayo Katibu huyo ameyataja ni pamoja na Uongozi wa Juu wa Chama hicho kupoteza muelekeo kwa kujiunga na Vyama vingine vya upinzani ambavyo tayari viliwatenga hapo kabla na kwamba kwa udhalilishaji na jeuri kubwa iliyoonyeshwa na viongozi wa Kambi ya upinzani bungeni haikuwa busara na ni kukosa msimamo na kujishushia hadhi kwa viongozi wakuu wa Chama hicho kuendelea kushirikiana na Chadema baada ya kejeli na udhalilishaji huo.

View attachment 159649katibu wa CUF Ndugu Abuubakar Taher aliyejiuzulu.


Tabia ya Viongozi wakuu wa Vyama vya upinzani kuhamishia na kujisahaulisha matatizo ya ndani ya vyama kwa kushirikiana na vyama vingine ambavyo navyo vinatumia mbinu ya muungano usio na Anuwani unaitwa UKAWA. Kwa tabia hii ya Viongozi wa juu wa Vyama vya siasa vya Upinzani kutumia UKAWA kama ngao ya kujihami na kujisahaulisha na Changamoto za ndani ya Vyama vyao itasababisha vyama hivyo kusambaratika kabisa.

Katika press yake aliyoifanya leo mjini Lindi Katibu huyo wa CUF ametamka kuwa "SIKU ZOTE KAZI YA UPINZANI NI KUKOSOA, KUKATAZA NA KUTOA SULUHISHO MBADALA NA BORA KATIKA KUSHUGHULIKIA MATATIZO NA CHANGAMOTO ZA MAENDELEO. LAKINI UPINZANI SASA UMEACHA KAZI YAKE, WAMEGEUKA VIBARAKA WA KUFANYA KAZI ZA MATAIFA YA NJE....."

Nami naungana na kauli yake hiyo kuwa UPINZANI wa nchi hii umeundwa na viongozi wajanja wajanja na watumia tumbo ambao hawaoni shida kuweka rehani amani ya Tanzania na hata kuhatarisha Utulivu na mshikamano tulionao kama Taifa, wanachochea ubaguzi, Udini, Ukabila na Utengano. Ni mabaya mno mawazo yao na dhamira zao.

Ni heri mtu UFE ila mawazo yako yawe hai (kama Mwalimu Nyerere) kuliko kuwa hai huku mawazo yako yamekufa (kama Mheshimiwa TUNDU)

UKAWA utawatoa roho ndg zangu
 
Mtu mwenyewe mbona kachoka kama mgonjwa wa homa ya dengu
Mjumbe wa Baraza Kuu na Katibu wa CUF wilaya ya Lindi ndugu Abubakar Taher amejiuzulu nyadhifa zake katika chama hicho kuanzia leo tarehe 21st May 2014, kwa kile alichokieleza kuchoshwa na ubabe na uvunjaji wa katiba unaofanywa na Mwenyekiti wake Ambae pia ni Mbunge wa Lindi Mjini Salum Barwany pamoja na uongozi wa Juu wa Chama hicho.

Hatua hiyo imefikiwa baada ya kuwepo kwa mgogoro ndani ya Chama hicho hasa juu ya mwenendo wa Mwenyekiti huyo na viongozi wa Taifa wa Chama hicho. Miongoni mwa mambo ambayo Katibu huyo ameyataja ni pamoja na Uongozi wa Juu wa Chama hicho kupoteza muelekeo kwa kujiunga na Vyama vingine vya upinzani ambavyo tayari viliwatenga hapo kabla na kwamba kwa udhalilishaji na jeuri kubwa iliyoonyeshwa na viongozi wa Kambi ya upinzani bungeni haikuwa busara na ni kukosa msimamo na kujishushia hadhi kwa viongozi wakuu wa Chama hicho kuendelea kushirikiana na Chadema baada ya kejeli na udhalilishaji huo.

View attachment 159649katibu wa CUF Ndugu Abuubakar Taher aliyejiuzulu.


Tabia ya Viongozi wakuu wa Vyama vya upinzani kuhamishia na kujisahaulisha matatizo ya ndani ya vyama kwa kushirikiana na vyama vingine ambavyo navyo vinatumia mbinu ya muungano usio na Anuwani unaitwa UKAWA. Kwa tabia hii ya Viongozi wa juu wa Vyama vya siasa vya Upinzani kutumia UKAWA kama ngao ya kujihami na kujisahaulisha na Changamoto za ndani ya Vyama vyao itasababisha vyama hivyo kusambaratika kabisa.

Katika press yake aliyoifanya leo mjini Lindi Katibu huyo wa CUF ametamka kuwa "SIKU ZOTE KAZI YA UPINZANI NI KUKOSOA, KUKATAZA NA KUTOA SULUHISHO MBADALA NA BORA KATIKA KUSHUGHULIKIA MATATIZO NA CHANGAMOTO ZA MAENDELEO. LAKINI UPINZANI SASA UMEACHA KAZI YAKE, WAMEGEUKA VIBARAKA WA KUFANYA KAZI ZA MATAIFA YA NJE....."

Nami naungana na kauli yake hiyo kuwa UPINZANI wa nchi hii umeundwa na viongozi wajanja wajanja na watumia tumbo ambao hawaoni shida kuweka rehani amani ya Tanzania na hata kuhatarisha Utulivu na mshikamano tulionao kama Taifa, wanachochea ubaguzi, Udini, Ukabila na Utengano. Ni mabaya mno mawazo yao na dhamira zao.

Ni heri mtu UFE ila mawazo yako yawe hai (kama Mwalimu Nyerere) kuliko kuwa hai huku mawazo yako yamekufa (kama Mheshimiwa TUNDU)
 
Ametumia uhuru na haki yake ya msingi, uzuri wake tumemjua akuwa mwanaharakati, watu kama walikuwepo toka enzi za kina che-guevara na fidel Castro, na kazi yao huwa ndio hiyo, tamaa!!!! Nitamuona wa maana kama ataendelea na harakati za kupambana na mkoloni nje ya ukawa,CDM na cuf, ila akianzisha tena vita na ukawa, cdm na cuf kama mtoa maada basi naye tutamuita msaliti,mnafiki,na muoga.
 
Hii ndiyo taarifa sahihi huu ya uamuzi wa kujizulu

katibu wa Chama cha wananchi (CUF) wilaya ya Lindi mjini, Abubakar Taher ametangaza kujivua nyadhifa alizonazo, ikiwemo uenyekiti wa tawi la Gulf manispaa ya Lindi kwa madai mbalimbali, yakiwemo Uvunjwaji wa katiba ya Chama hicho unaofanywa na Mwenyekiti wake ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Lindi Mjini Salum Barwany

Akizungumza katika Ofisi za Klabu ya waandishi wa Habari Lindi liyopo mitaa ya Karume na Eliet, Abubakar Taher amesema amechukuwa maamuzi hayo kutokana na sababu tatu ikiwemo ukiukwaji wa maamuzi pamoja na Ubinafsi usiofuata Katiba.

Sababu zingine ni kukosekana kwa uendeshaji mzuri wa Chama nje ya matakwa ya kikatiba, kanuni na taratibu, huku akitaja ubinafsi na umimi na jeuri zilizotawala kwa baadhi ya viongozi wanaotaka kusikilizwa wao pekee huku Mhe Barwany akiongoza kwa uvunjaji wa Katiba.

Katibu huyo kabla ya kuacha ukatibu, alikuwa na nyazifa mbalimbali zikiwemo za uenyekiti wa tawi la Gulf na mjumbe wa mkutano mkuu wa Taifa, na mjumbe wa mkutano mkuu wa kata ya Makonde.

"Nikiwa na akili timamu na bila ya kushawishiwa na kwa kufuata katiba ya Chama, kwa hiyari yangu nimeamua kujiondoa katika nyazifa zote za uongozi ndani ya Chama kuanzia mei 20 mwaka huu uongozi ambao nimedumu nao kwa miaka 15"Alisema Taher.

Aidha,akasema kwa sasa anaendelea kuwa mwanachama wa kawaida, sanjari na kutekeleza matakwa ya kikatiba ya Chama chao na atakuwa mstari wa mbele kufikia malengo ya Chama chao wakati wowote.

Aidha Taher ametoa mfano wa ukiukwaji huo ni pamoja na Kumvua Uanachama Kinyume na Utaratibu Diwani wa kata ya Makonde Manispaa ya Lindi, Abdallah Khatau huku akijua kuwa kwa Mujibu wa katiba Barwany na kamati ya Utendaji haina mamlaka hayo ya kumvua uanachama kiongozi alieteuliwa kuwaongoza wananchi baada ya kupigiwa kura.
 
Mjumbe wa Baraza Kuu na Katibu wa CUF wilaya ya Lindi ndugu Abubakar Taher amejiuzulu nyadhifa zake katika chama hicho kuanzia leo tarehe 21st May 2014, kwa kile alichokieleza kuchoshwa na ubabe na uvunjaji wa katiba unaofanywa na Mwenyekiti wake Ambae pia ni Mbunge wa Lindi Mjini Salum Barwany pamoja na uongozi wa Juu wa Chama hicho.

Hatua hiyo imefikiwa baada ya kuwepo kwa mgogoro ndani ya Chama hicho hasa juu ya mwenendo wa Mwenyekiti huyo na viongozi wa Taifa wa Chama hicho. Miongoni mwa mambo ambayo Katibu huyo ameyataja ni pamoja na Uongozi wa Juu wa Chama hicho kupoteza muelekeo kwa kujiunga na Vyama vingine vya upinzani ambavyo tayari viliwatenga hapo kabla na kwamba kwa udhalilishaji na jeuri kubwa iliyoonyeshwa na viongozi wa Kambi ya upinzani bungeni haikuwa busara na ni kukosa msimamo na kujishushia hadhi kwa viongozi wakuu wa Chama hicho kuendelea kushirikiana na Chadema baada ya kejeli na udhalilishaji huo.

View attachment 159649katibu wa CUF Ndugu Abuubakar Taher aliyejiuzulu.


Tabia ya Viongozi wakuu wa Vyama vya upinzani kuhamishia na kujisahaulisha matatizo ya ndani ya vyama kwa kushirikiana na vyama vingine ambavyo navyo vinatumia mbinu ya muungano usio na Anuwani unaitwa UKAWA. Kwa tabia hii ya Viongozi wa juu wa Vyama vya siasa vya Upinzani kutumia UKAWA kama ngao ya kujihami na kujisahaulisha na Changamoto za ndani ya Vyama vyao itasababisha vyama hivyo kusambaratika kabisa.

Katika press yake aliyoifanya leo mjini Lindi Katibu huyo wa CUF ametamka kuwa "SIKU ZOTE KAZI YA UPINZANI NI KUKOSOA, KUKATAZA NA KUTOA SULUHISHO MBADALA NA BORA KATIKA KUSHUGHULIKIA MATATIZO NA CHANGAMOTO ZA MAENDELEO. LAKINI UPINZANI SASA UMEACHA KAZI YAKE, WAMEGEUKA VIBARAKA WA KUFANYA KAZI ZA MATAIFA YA NJE....."

Nami naungana na kauli yake hiyo kuwa UPINZANI wa nchi hii umeundwa na viongozi wajanja wajanja na watumia tumbo ambao hawaoni shida kuweka rehani amani ya Tanzania na hata kuhatarisha Utulivu na mshikamano tulionao kama Taifa, wanachochea ubaguzi, Udini, Ukabila na Utengano. Ni mabaya mno mawazo yao na dhamira zao.

Ni heri mtu UFE ila mawazo yako yawe hai (kama Mwalimu Nyerere) kuliko kuwa hai huku mawazo yako yamekufa (kama Mheshimiwa TUNDU)

Sera ya ujamaa na kujitegemea ndio chanzo cha umasikini wa mtanzania, ni sera ambayo iliigwa kutoka urusi na china na ikasimamiwa na mwalimu nyerere, kutosimamiwa kisawasawa kwa hii sera ndio kumetufikisha hapa, kwa kufeli kwa ujamaa tanzania ndio totally failure ya mwalimu nyerere, nenda kausome ujamaa Vizuri halafu urudi kwa mwalimu nyerere...

Tukirudi kwenye maada, huyo jamaa wa cuf ametumia haki yake ya msingi kama wewe nasikia ulikuwa CDM,,, sasa sijui kwa nini alikuwa cuf au wewe ulikuwa cdm halafu tena urudi CCM... Sababu za mtu kuwa mpinzani kwa tanzania wote tunazijua, utendaji mbovu wa watawala ambao umefanya nchi iwe masikini ndo chanzo cha sisi kuwa wapinzani wa utawala na kupigania kubadili mfumo/utawala, sijui wewe na huyo mlitumia sababu gani kuwa wapinzani,, mimi binafsi nina mambo yangu na ninaingiza zaidi ya 5mil kwa mwezi, nalipa kodi zaidi ya 1mil kwa mwezi, sasa inatia uchungu hii kodi inavyochezewa,umasikini wa ndugu zangu watanzania huku watawala wakichezea rasilimali za wote, hii ndio iliyonifanya mimi niwe mpinzani.. Sasa huyo na wewe mna sababu zenu, iweje muwe wapinzani kwa sababu ya ukombozi halafu mtuambie leo mko CCM, kwani watanzania wameshakombolewa???? Hizi ni alama za unafiki dada, leo wamoto kesho baridi, mara uvuguvugu huu ni unafiki dada,, siju ni lini ccm imebadilika mpaka tukaamua kuiunga mkono au maslahi binafsi??
Kama umeamua kuwa mwanaharakati sio lazima uwe CUF, CDM au ukawa!! Unaweza ukawa mtoa elimu ya uraia na kufanya watu wajitambue dada!!!

Kila la heri huko mliko, tutaacha hizi harakati siku mtanzania atakaponufaika na kila kinachotokana na mali asili yetu, shule, elimu, matibabu, miundombinu itakapo kuwa bora, watu watakapoacha kutumia mali ya umma vibaya, ufisadi, rushwa vitakapokoma...
tufanye kazi kwa bidii tuache unyonyaji,unafiki na kujipendekeza...
 
Safari ya ukombozi ndi ndefu na ina makwazo mengi sana.
Tulianza kuwang'oa wasaliti ndani ya CHADEMA.
Sasa tunaenda kuwang'oa kwenye vyama vya upinzani.
Ikifika 2015 tutakuwa clean kabisa na Tanganyika yetu

sasa kwenye hii ndoa we ni mke wa nani?
 
Back
Top Bottom