Hivi umeshindwa kabisa kujadili bila matusi , Kashfa na Kejeli? Mnaidhalilisha zaidi CHADEMA huku mkidhani mnaitetea.
Hivi kuna mtu wa kujidharilisha zaidi yenu misukule mnaokataa katiba ya wananchi na kutokwa povu hapa kutetea katiba ya mainterahamwe kutoka mafichoni?