Mjukuu wangu Mhere Mwita nimeona nyota njema kwako

Mhere Mwita

JF-Expert Member
Jan 24, 2012
235
1,275
0c97bd1a0f438fafa6adb239140610c3.jpg


Leo nimekutana na Bibi kizee anaweza kuwa na miaka kati ya 85-90 kaniambia hivi kwa lugha ya kisukuma, "kijana Wangu Mhere Mwita Mimi nimezeeka niona Mengi sana nimeona jua likichanua nimeona jua likizama nimeona kiangazi nimeona masika nimeona ukame nimeona mafuliko Kijana Wangu ninaomba Mikono yako niitemee mate"

Nikamwambia ; "sawa Bibi" nikampa mikono Akatema mate akasema maneno haya kwenye mikono yangu "nimeona nyota njema kwako utaitwa mfalme, Watu watasimama pembeni kukuona ukipita usiwadharau simama uwape mikono, mjukuu Wangu na baya lolote lisikupate lirudi kwa hao waliletao uishi miaka kama yangu kwa Neema ya Mungu".

Alipomaliza kuongea Mimi nikachukua mikono yangu nikapaka mate yake usoni kwangu ili nionyesha unyenyekevu na heshima kwake. Bibi akaenda zake.

Ninaomba niwaulize Bibi ameona Nyota Ya nini inakuja kwangu. Na je nilikosea kufuta mate yake usoni kwake.
 
0c97bd1a0f438fafa6adb239140610c3.jpg


Leo nimekutana na Bibi kizee anaweza kuwa na miaka kati ya 85-90 kaniambia hivi kwa lugha ya kisukuma, "kijana Wangu Mhere Mwita Mimi nimezeeka niona Mengi sana nimeona jua likichanua nimeona jua likizama nimeona kiangazi nimeona masika nimeona ukame nimeona mafuliko Kijana Wangu ninaomba Mikono yako niitemee mate"

Nikamwambia ; "sawa Bibi" nikampa mikono Akatema mate akasema maneno haya kwenye mikono yangu "nimeona nyota njema kwako utaitwa mfalme, Watu watasimama pembeni kukuona ukipita usiwadharau simama uwape mikono, mjukuu Wangu na baya lolote lisikupate lirudi kwa hao waliletao uishi miaka kama yangu kwa Neema ya Mungu".

Alipomaliza kuongea Mimi nikachukua mikono yangu nikapaka mate yake usoni kwangu ili nionyesha unyenyekevu na heshima kwake. Bibi akaenda zake.

Ninaomba niwaulize Bibi ameona Nyota Ya nini inakuja kwangu. Na je nilikosea kufuta mate yake usoni kwake.
Mkuu Mhere Mwita, umeharibu!.

Next time ukikutana na vitu kama hivyo ni kushukuru tuu Mungu na usimwambie mtu unless inner close ones tuu. Usikute huyu Bi Kizee wala sio bibi Kizee wa kweli bali ni malaika wa Mungu amekuja under the disguise of Bibi Kizee ili kukupima unyenyekevu wako, hayo aliyokuambia ni maneno ya unabii uliotayarishiwa.

Kitendo cha kuja kuhadithia humu ndio umeharibu!. Kuna mambo ukitabiriwa na kunyamaza ndio yanatokea, ukihadithia tuu, unakuwa umeharibu hayatokei tena!.

Ona sasa umepoteza ufalme wako kwa kosa dogo sana, ila usijali hata usipokuwa mfalme unaweza kuwa rais, waziri au mbunge!.

Paskali
 
duh, yaani wewe umeshindwa kumwuliza huyo bibi amekutabiria nini afu unataka wanajamvi wakusaidie huo utabiri! fantastic
 
0c97bd1a0f438fafa6adb239140610c3.jpg


Leo nimekutana na Bibi kizee anaweza kuwa na miaka kati ya 85-90 kaniambia hivi kwa lugha ya kisukuma, "kijana Wangu Mhere Mwita Mimi nimezeeka niona Mengi sana nimeona jua likichanua nimeona jua likizama nimeona kiangazi nimeona masika nimeona ukame nimeona mafuliko Kijana Wangu ninaomba Mikono yako niitemee mate"

Nikamwambia ; "sawa Bibi" nikampa mikono Akatema mate akasema maneno haya kwenye mikono yangu "nimeona nyota njema kwako utaitwa mfalme, Watu watasimama pembeni kukuona ukipita usiwadharau simama uwape mikono, mjukuu Wangu na baya lolote lisikupate lirudi kwa hao waliletao uishi miaka kama yangu kwa Neema ya Mungu".

Alipomaliza kuongea Mimi nikachukua mikono yangu nikapaka mate yake usoni kwangu ili nionyesha unyenyekevu na heshima kwake. Bibi akaenda zake.

Ninaomba niwaulize Bibi ameona Nyota Ya nini inakuja kwangu. Na je nilikosea kufuta mate yake usoni kwake.
kwa hiyo kibibi kizee au kibabu kizee kikikutemea mate kutoka mdomo wake mchafu ambao hakijawahi piga mswaki miaka au kikikujambia au kukuinyea ndio kukubariki? Mmmmm
 
Mhere, kwani ungeacha msiba uishe ndo ulete hiyo story ingekuwa dhambi???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom