tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 534
Mjukuu wa Nelson mandela alianza safari Cape town na sasa yupo Njiani kuelekea Kigoma,
na mwisho wa safari yake ni Cairo.Anachangisha hela kusaidia njaa Somalia.
Safari yake ni kusafiri bure,hivyo aliomba tiketi ya bure TRL.
Navyo fikiri mimi,hatasahau maishani kwake jinsi treni zetu na huduma za shirika zilivyokuwa zinatisha.
na mwisho wa safari yake ni Cairo.Anachangisha hela kusaidia njaa Somalia.
Safari yake ni kusafiri bure,hivyo aliomba tiketi ya bure TRL.
Navyo fikiri mimi,hatasahau maishani kwake jinsi treni zetu na huduma za shirika zilivyokuwa zinatisha.