baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,704
- 4,432
Nimekupa tafsiri ya Aya, ulitakiwa upinge hizo tafsiri na sio uanze personal attack kwa otterhound mimi zinanihusu nini?Bwasheeeee.. Unahitaji therapist,usipuuze iki ninachokuambia.
Mamwezio kakoti kile kitabu chake kinamuambia dhidi ya wasio waislam, nami nimekazia juu ya kilichoandikwa, sijavabadili hata yodi 1,sasa hiyo mipasho iko wapi?.
Hakuna pahari umekanusha kuwa AYA nilizozileta ni batili, ulitaka AYA nikakupa, ujazikanusha, umeishia kuleta tafsiri zako unazozijua wewe wakati maandiko yako wazi.
Haya bhana. Tukomee hapa.
Kama nimeleta tafsiri za uongo kama hizo Aya zinawahusu wakristo kama mabano yako uliyoyaweka ulitakiwa ulete ushahidi na wewe.
Mambo ya ku attack member wengine na vitu vyengine ambavyo haina ushahidi discuss na wengine mimi sipo interested.