Naisujaki Lekangai
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 1,340
- 1,377
- Thread starter
- #21
Wewe uandike "kayamba" halafu mimi niulize maana yake kwa watu wa Tanga! Majanga!Waulize watu wa Tanga.....
Wewe uandike "kayamba" halafu mimi niulize maana yake kwa watu wa Tanga! Majanga!Waulize watu wa Tanga.....
La gas, umeme, mkaa au kuni?
ujemzi wa dizaini hiyo ya kuoanga matofali naupenda sana kwa hapa bongo nadhani nyumba ya mkapa ipo kwa style kama hiyoUPDATES:
Harusi ya hawa wawili imepangwa kufanyika mwezi may 2018, na siyo tena mapema zaidi.Tarehe itatajwa baadae. Sababu ya kusogeza mpaka May ni kwamba kuna matukio mengi ya nyumba ya malkia yatatokea kati ya Jan-April 2018. Hivyo hawataki kugonganisha matukio.
Harusi itafungwa kwenye kanisa la Mt George lililo kwenye kasri ya Windsor.
Kanisa la Mt George
Watu wanaona mbali. Dwa 96-84=12. Kwa miaka 12 mtu kishaona mpenz wake. Huk bongo mtoto wa miaka 12 anawaza kombolela tu. Hahhahaja