maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,277
- 5,513
- Thread starter
- #41
kweli mkuu,Daudi alikua na roho wa MUNGU lakini alikua na displine sana aisee...Nakumbuka wakati anataka kwenda kumuua yule tajiri aliekua anamchungia kondoo zake wakiwa nyikani mke wa tajiri alitoka fasta na kumbembeleza asimuue mumewe,Daudi akamsamehe akaondoka,Nakuhakikishia mkuu Yoabu hana busara hizo angeanza ua mke wafanyakazi kila kitu,kuna Mji Yoabu aliingia hakuacha hata KukuIla hata daudi chuma aisee wakati wake akiwa mpiganaji b4 ufalme nae alitisha vitani ukisoma kitabu cha swamweli!!!