Mjue mzee aliyetabiri kuja kwa wakoloni na utawala

Kwanza Nitamke mie ni Mjita tena Mtimba ambao tumekuwa Wakama/watawala wa eneo la majita tangu kwa Babu Yetu Kusaga, Manyama (alikaimu), Malegesi AKA Nyamadege na mwisho Majinge.
Hao ni Wakama wa kabla ya uhuru.

Habari ya Nabii Mjee na utabiri wake ipo kweli naifahamu tangu utoto.

Tumesimuliwa na na kulithishwa kizazi hadi kizazi. Utabiri ulitokea around katikati ya karne ya 19 miaka ya 1850s.

Wakati huo majita kulikua na migogoro ya kiukoo. Jamii ya ukoo wa Wasilanga wenye nasaba na wakerewe wakichua na jamii ya Wakangara wenye nasaba na Wataturu.

Katika mgogoro huo ukoo mdogo wa Watimba ukafanikiwa kutawala na kuthibiti koo zingine.

Ijapokua mwandishi kaandika utabiri kwa malengo mficho ya kisiasa lakini utabiri upo na katika utabiri huo nchi hii itatawalia na viongozi mafungu mawili tu kabla ya kuingia kwenye giza.

1. Ni kundi la Nyerere. Kundi hili ni Nyerere mwenyewe na kivuli chake kwa Mjee alisema kiongozi wa Kwanza ataondoka lakini kivuli chake kitatawala kwa muda sawa kama alivyotawala yeye mwenyewe.

2. Kunda la pili ni Kiongozi wa mwingine atakuja alama yake ni mkuki huyu akitawala giza litaigia na machafuko yatatokea. Sifa zake atatokea jua linakozama yani Magharibi mwa Majita. Baada ya giza na ghasia ndipo atakuja kiongozi mzuri wa maendeleo na amani.

Nimeandika kwa ufupi.

Binafsi nauamini utabiri kwa asilimia 100 ila siwezi kuutafasiri.

Kwa utabiri huo kiongozi wa ghasia ana sifa tatu

1. Hamjui Nyerere kwa maana hana mtazamo au unasaba au mapenzi na Nyerere.

2. Atakua na alama ya mkuki.

3. Atatoka Magharibi.
 
Kwa utabiri huo kiongozi wa ghasia ana sifa tatu

1. Hamjui Nyerere kwa maana hana mtazamo au unasaba au mapenzi na Nyerere.

2. Atakua na alama ya mkuki.

3. Atatoka Magharibi
1. Nitakuwa nimeelewa mnakoelekea ila nasubiri basi lianze safari ili nijue abiria tuko wangapi

2. Hapa naona kama tunapotezwa fulani hivi ili tusiweze kuunganisha 1 na 3.

3. Hapa anazungumzia mtu ambaye pengine ni mtu ila sio binadamu au vice versa.

Kama na mimi nimechanganya changanya mambo, basi ndio lengo lenyewe.
 
Kwanza Nitamke mie ni Mjita tena Mtimba ambao tumekuwa Wakama/watawala wa eneo la majita tangu kwa Babu Yetu Kusaga, Manyama (alikaimu), Malegesi AKA Nyamadege na mwisho Majinge.
Hao ni Wakama wa kabla ya uhuru.

Habari ya Nabii Mjee na utabiri wake ipo kweli naifahamu tangu utoto.

Tumesimuliwa na na kulithishwa kizazi hadi kizazi. Utabiri ulitokea around katikati ya karne ya 19 miaka ya 1850s.

Wakati huo majita kulikua na migogoro ya kiukoo. Jamii ya ukoo wa Wasilanga wenye nasaba na wakerewe wakichua na jamii ya Wakangara wenye nasaba na Wataturu.

Katika mgogoro huo ukoo mdogo wa Watimba ukafanikiwa kutawala na kuthibiti koo zingine.

Ijapokua mwandishi kaandika utabiri kwa malengo mficho ya kisiasa lakini utabiri upo na katika utabiri huo nchi hii itatawalia na viongozi mafungu mawili tu kabla ya kuingia kwenye giza.

1. Ni kundi la Nyerere. Kundi hili ni Nyerere mwenyewe na kivuli chake kwa Mjee alisema kiongozi wa Kwanza ataondoka lakini kivuli chake kitatawala kwa muda sawa kama alivyotawala yeye mwenyewe.

2. Kunda la pili ni Kiongozi wa mwingine atakuja alama yake ni mkuki huyu akitawala giza litaigia na machafuko yatatokea. Sifa zake atatokea jua linakozama yani Magharibi mwa Majita. Baada ya giza na ghasia ndipo atakuja kiongozi mzuri wa maendeleo na amani.

Nimeandika kwa ufupi.

Binafsi nauamini utabiri kwa asilimia 100 ila siwezi kuutafasiri.

Kwa utabiri huo kiongozi wa ghasia ana sifa tatu

1. Hamjui Nyerere kwa maana hana mtazamo au unasaba au mapenzi na Nyerere.

2. Atakua na alama ya mkuki.

3. Atatoka Magharibi.
Mkuu..magharibi ndio wapi..Chato au
Mama yangu ni Mtimba nitaenda kumuuliza.

Ila jina la mjee ni maarufu sana
Utasikia tu yego mjee uliowao owaikamo atiki😂😂😂😂
 
Mkuu..magharibi ndio wapi..Chato au
Mama yangu ni Mtimba nitaenda kumuuliza.

Ila jina la mjee ni maarufu sana
Utasikia tu yego mjee uliowao owaikamo atiki
The tell says Magharibi. Na haisemi magharibi direct inasema juwa linakozamia ukiwa majita juma linazamia wapi hiyo ni issue ingine. Sitaki kutafasiri
 
Mwanzoni nilikuwa nakuona kama kweli ulivyokua unatembea na ukaweza kuuficha ukiitikadi wako, lakini huku mwisho nikama Yesu alivyowaita wale wenzako mafalisaya wanafiki, ukwepi.
Na ninyi vijana naona mnaangaika sana na hii CCM msifikili hata sisi wazee tunaipenda CCM hapana tumeichoka sana na tunajua lakini uwa tunaangalia huo upinzani na watu wanaowaleta kutaka kugombea Urais ndiyo hapa tunapotofautiana na ninyi vijana, yaani mkitaka mmetaka si kweli ,hii ni nchi wajukuu msilazimishe, tunataka tuwaache salama. Yaani kizee tunaona kama mtu anataka kuoa lakini hana maali ya kuolea sasa anataka kubaka. Hayo maji yenu yamaoto yatawachubua ngozi msipoangalia. Kwani sisi hatuoni Huyu Ndugu anavyoteseka na jamaa zake mnafikili hatujui? Mnadhani hatuuoni mkono uliochafuka na rushwa ambao mgumu kusafishika.
Acha kuwa mnafiki na tabiri zako kama za manabii waliojaa mjini kuibia watu na serikali inawaangalia. Acha.
mimi si kijana kama unavofikiri nina miaka 55 kwa sasa bado miaka 5 nastaafu,niliyoyaandika ni kweli tupu niliyosimuliwa MAJJITA MUSOMA,tafuta ukweli uu kwa watu wa Musoma
 
Mkuu..magharibi ndio wapi..Chato au
Mama yangu ni Mtimba nitaenda kumuuliza.

Ila jina la mjee ni maarufu sana
Utasikia tu yego mjee uliowao owaikamo atiki😂😂😂😂
kuna watu wabishi humu nd yangu VON,mimi nilikaa huko nikapenda kujua maana ya mjee ndo hayo pi yakaibuka
 
Uliyoyasema ni kweli lakini uhakika ni kuwa . Kwa lugha ya kikerewe neno Obhugwa manake machweo Yani jua linapozamia atatoka kiongozi .(omukama wa katanu)Yani kiongozi wa tano ambae ujio wake ni kwa ajili ya (KUGOLOLA)Kunyoosha , maanake atakuta nchi imehalibika . Sasa kwa yatokeayo Sasa ivi sisi wazee tilijua Mana yalishatabiliwa . Impact za Kunyoosha mmeziona, kwa mawazo yangu Mheshimiwa aliopo anatengenezea mazingira mazuli kwa tawala zijazo. Huyu anatengeneza njia ili nchi badae ipate maendeleo. Hayo ni mawazo yangu kutokana na utabili ujao. Kuna siku ntaeleza zaid
 
Ukweli ni kwamba kabla ya Ukoloni walikuwepo wazee waliokuwa wakitabiri mambo mengi,ambayo yalikuja kutokea. Hawa walikuwa kama manabii wa Afrika (mfano: akina Kimweri, Ibambangulu, Mwanamalundi, n.k).

Mimi nami ngoja niweke tafsiri yangu kwenye "unabii' wa huyo Mjee;

Liso Tungu = Tundu Lissu.

Jiwe lililoundoa utawala wa Tundu Lisu = Ni ujio wa Yesu Kristo kama Mfalme wa Wafalme, kuna sehemu kwenye Biblia Yesu anajiita/anatajwa kuwa " Mwamba" au "Jiwe kuu la pembeni lililokataliwa na waashi" (Mfalme Nebukadneza wa Babeli ya kale alipata maono ya jiwe lililoujaza ulimwengu, kwa maana ya Yesu Kristo. Soma sura yote ya 2 ya kitabu cha nabii Daniel kwenye Biblia).

Hivyo, sidhani kwamba Jiwe alilolitabiri Mjee ni Magufuli, kwangu ni hapana! Ni kuja kwa Yesu Masihi anayesubiriwa na watu wengi wa imani tofauti tofauti duniani. Na kwa mujibu wa Mjee Rais wa mwisho kutawala Tanzania kabla ya Yesu kuja atakuwa Tundu Lissu.

Hapo vipi wakuu?


Analysis yako inafikirisha Chief! Mno.....
 
Uliyoyasema ni kweli lakini uhakika ni kuwa . Kwa lugha ya kikerewe neno Obhugwa manake machweo Yani jua linapozamia atatoka kiongozi .(omukama wa katanu)Yani kiongozi wa tano ambae ujio wake ni kwa ajili ya (KUGOLOLA)Kunyoosha , maanake atakuta nchi imehalibika . Sasa kwa yatokeayo Sasa ivi sisi wazee tilijua Mana yalishatabiliwa . Impact za Kunyoosha mmeziona, kwa mawazo yangu Mheshimiwa aliopo anatengenezea mazingira mazuli kwa tawala zijazo. Huyu anatengeneza njia ili nchi badae ipate maendeleo. Hayo ni mawazo yangu kutokana na utabili ujao. Kuna siku ntaeleza zaid


Mmezidi kunichanganya....ila ahsante, ni njia katika kuelewa pia!

Binafsi nawafahamu kina Mjee/Mzee wengi (ndugu asilimia 90) inaleta fikra zaidi......
 
Ukweli ni kwamba kabla ya Ukoloni walikuwepo wazee waliokuwa wakitabiri mambo mengi,ambayo yalikuja kutokea. Hawa walikuwa kama manabii wa Afrika (mfano: akina Kimweri, Ibambangulu, Mwanamalundi, n.k).

Mimi nami ngoja niweke tafsiri yangu kwenye "unabii' wa huyo Mjee;

Liso Tungu = Tundu Lissu.

Jiwe lililoundoa utawala wa Tundu Lisu = Ni ujio wa Yesu Kristo kama Mfalme wa Wafalme, kuna sehemu kwenye Biblia Yesu anajiita/anatajwa kuwa " Mwamba" au "Jiwe kuu la pembeni lililokataliwa na waashi" (Mfalme Nebukadneza wa Babeli ya kale alipata maono ya jiwe lililoujaza ulimwengu, kwa maana ya Yesu Kristo. Soma sura yote ya 2 ya kitabu cha nabii Daniel kwenye Biblia).

Hivyo, sidhani kwamba Jiwe alilolitabiri Mjee ni Magufuli, kwangu ni hapana! Ni kuja kwa Yesu Masihi anayesubiriwa na watu wengi wa imani tofauti tofauti duniani. Na kwa mujibu wa Mjee Rais wa mwisho kutawala Tanzania kabla ya Yesu kuja atakuwa Tundu Lissu.

Hapo vipi wakuu?
Vijana hebu punguzeni kula makande usiku.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom