LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,111
- 27,096
- Thread starter
- #301
ur still a learnerKwanza ni kurekebishe,Msabato sio mlokole.Mkuu as long as you believe you can be saved by the law,that is the Torah,including keeping the Sabath,uko chini ya laana ya Mungu,na uko mbali na Mungu.This is the situation with the Adventists,wako chini ya laana ya Mungu.Infact sio Wakristo it is a cult.
Mwisho,inashangaza kwamba unashangilia upotoshaji na uovu wako umemfanya mtu amuasi Mungu wa kweli na kushikamana na uovu wako.Huu ni uovu of grand scale.Hata hivyo you still have time,tubu uovu wako,muamini Bwana Yesu na utapokea uzima wa milele.