Mjue Mungu wa Freemasonry

Daaaah. Nimepata shida sana ya kifikra hapo Ialdabaoth alipomlaani nyoka pale Eden. Kimsingi alimlaani mama yake, na mpaka leo laana ile inaishi kwa sababu mama yake hadi leo anatembelea tumbo na kula mavumbi. So sad

Lakini pia Ialdabaoth aliweka uadui kati ya nyoka na Eva. Kwa sababu Eva ni reincarnation ya Sophia, hivyo Ialdabaoth aliweka uadui kati ya Sophia na Sophia, yaani kati ya mama yake na mama yake!

Balaa sana.

Balaa sana hawa mafirimason wa buza
 
Kweli mkuu, upapa wa Rumi ndiyo ulibuni na kuianzisha dini hii, kama vile ambavyo wazo la kuianzisha BAKWATA lilivyoasisiwa na ukatoliki hapa nchini.

Ufunuo wa Yohana 13:2
"Mnyama huyu alionekana kama chui, miguu yake ilikuwa kama ya dubu. Mdomo wake ulikuwa kama wa simba. Joka akampa huyo mnyama uweza wake"

Mfumo wa kidini utakaoenda kuuanzisha utawala wa mpinga Kristo utarasimiwa na Vatican kwa kupitia usimamizi wa mafundisho ya dini ya Kiislamu (miguu ya dubu yenye asili ya Umedi na Uajemi), mafundisho ya dini za kipagani (mdomo wa Simba unenavyo kama imani ya utawala wa Babeli) muonekano ukiwa mfano wa chui (mfumo wa kidini za Kizungu ndani ya falsafa, sera na theolojia za Kiyunani) ili kutoa mamlaka ya mtu kuchukua mamlaka ya kiroho ya kimungu (mfano wa utawala wa kipapa) kiongozi wa kiroho apate kuabudiwa chini ya kivuli cha ibilisi (joka).

Umeandika ujinga wa kisabato wa kutosha ambao hapa hatuuzungumzi
 
Umeandika ujinga wa kisabato wa kutosha ambao hapa hatuuzungumzi
Sijawahi kuzingatia tafsiri ya Wasabato juu ya unabii wa kitabu cha Ufunuo, zaidi ya ku "unlock codes" ndani ya Biblia yenyewe yenye "interlocking code". Naomba tu utambue ya kwamba, baadhi ya mafunuo yao nakubaliana nao kwa 100% lakini pia mengine huwa sikubaliani nao kwa 0%.
 
Sijawahi kuzingatia tafsiri ya Wasabato juu ya unabii wa kitabu cha Ufunuo, zaidi ya ku "unlock codes" ndani ya Biblia yenyewe yenye "interlocking code". Naomba tu utambue ya kwamba, baadhi ya mafunuo yao nakubaliana nao kwa 100% lakini pia mengine huwa sikubaliani nao kwa 0%.

Sasa hapo ume unlock code ipi msabato
 
Habari hii ni ndefu Sana ila nitaielezea kwa ufupi kwa kadri nitakavyo weza.

Freemasonry Wana amini nini kuhusu Mungu wa Israel?

Freemasonry Wana amini kwamba Mungu wa Israel yupo na ana nguvu lakini sio Mungu mwenye nguvu zote " the Most communication o Wanaamini kwamba juu ya Mungu wa Israel Kuna Mungu Mkuu zaidi mwenye Nguvu zaidi ya Mungu wa Israel na ambae ndio Mungu wa ukweli.

Wao wana mrefer Mungu wa Israel Kama Demiurge yani the fashioner of the material world.

Kwamba Mungu wa Israel ni Mungu aliebuni na kutengenezea ulimwengu wa nyama yani ulimwengu unao onekana ( material world ) na sio ulimwengu usio onekana...

Wana sema Mungu wa Israel hana uwezo wa kuumba roho( kwanini? Endelea kusoma )

Mungu wa Israel alitoka wapi?

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Mungu wa Israel alizaliwa na Mungu Sophia ambae alikuwa ni sehemu ya kike ya Mungu mwenye nguvu zote " God the most high" ambae kwa pamoja huitwa Aeon.

Sasa kwa mujibu wa Freemasonry, huyu Aeon ndio Mungu Mkuu ( God the Most High ) ambae ana sehemu mbili , ya kike na kiume, na sehemu ya kike huitwa Sophia.

Wanaendelea kufundisha kwamba Mungu wa Israel ambae wao wana mrefer kwa jina lake Ialdabaoth au Elihom Tzabaoth ( Demiurge ni sifa yake kuu sio jina lake halisi) alizaliwa kimakosa.

Ni kwamba siku moja Sophia alipita katika eneo ambalo lilikuwa la daraja la chini katika ulimwengu huo wa kiroho na matokeo yake sehemu ya kivuli Cha Sophia ikawa reflected na hatimaye kuwa trapped kwenye eneo hilo.

Baada ya kudetect Hali hiyo , Sophia akahitaji kuondoka katika eneo hilo kwa haraka lakini hakuweza kuondoka na sehemu hiyo iliyokuwa Trapped kwa sababu ilikuwa na utukufu wa chini kuliko utukufu wake, so sehemu hiyo ilikatwa na kubaki yenyewe, sehemu hiyo ndio ilio kuja kuwa IALDABAOTH au Mungu wa Israel according to Freemasonry.

Baada ya kuzaliwa sasa Ialdabaoth akawa na uwezo karibu sana na uwezo wa mama ake ambae ni Sophia

Nature ya Ialdabaoth: Ialdabaoth alikuwa na nature kuu mbili. Kwanza nature ya kiroho ambayo ali irithi kwa mama ake ambae ni Sophia na pili ni material nature ambayo ilizaliwa kwake kupitia muunganiko Kati ya sehemu ya mama ake pamoja na sehemu Ile ya daraja la chini kiutukufu ambayo sehemu ya mama ake ilikuwa trapped. Na hii ndio sababu kwanini Ialdabaoth aliamua kuufashion ulimwengu wa nyama. Alitaka kutengenezea kitu chenye kubeba taswira yake inayo onekana.

Ialdabaoth alitumia uwezo wake kufashion na kuumba vitu vyote vyenye mwili na maumbo yani wanyama ,mimea, mito bahari,nyota, mwezi, binadamu nakadhalika.

Vitu vingi alivyo viumba vilikuwa ni roho yeye alicho kifanya ni kuviumba katika ya mwili.

Mfano Jua, lipo Jua katika ulimwengu wa roho " spiritual sun" ila yeye akaumba Jua linalo onekana ambalo lilireflect Jua lisilo onekana. Simba, TEMBO, chui, nakadhalika.

Kwanza alianza kwa kuwaumba watoto wake Saba ambao aliwapa kumiliki na kutawala Sayari Saba ambazo zinaitawala dunia.
BAADAD IALDABAOTH ALIUASI UFALME WA MUNGU MKUU ALIYE JUU KABISA NA KUAZISHA UFALME WAKE MWENYEWE.

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry Sayari ya dunia inatawaliwa na Sayari Saba.Kila Sayari inatawala siku moja ya wiki katika Sayari hizo Saba.

Baada ya hapo akaumba vitu vyote vinavyo onekana ( material world ) ambavyo aliviumba kwa nyakati saba tofauti ( wakristu na waislamu wanasema ni siku Saba ila Freemasonry wanasema ni nyakati saba.

Siku moja kwa Mungu ni sawa na miaka elfu moja kwa binadamu. Ndio maana Freemasonry wana ziita nyakati ) # halafu majina ya siku kwa mujibu wa Masonic calendar ni tofauti na watu wa Imani zingine.

Kwenye calendar yao hakuna jumamosi wala jumapili.

Kwanza miezi yao Ina siku 28 hakuna mwezi wenye siku 30 Wala 31 pili hawana jumamosi wala jumapili wao wana siku ya Kwanza Hadi siku ya Saba na kila siku Ina jina lake maalumu kulingana na tukio ambalo Ialdabaoth alifanya katika siku hiyo.

Kwa mfano siku ambayo Ninyi mna iita Ijumaa wao Wana iita SIKU YA FAIDA NA THAMANI ambayo kwa mujibu wa calendar yao ni SIKU YA TATU, siku mnayo iita JUMATANO wao ni SIKU YA KWANZA ambayo ni SIKU YA NURU na siku mnayo iita JUMAPILI wao ni SIKU YA TANO ambayo Wana iita SIKU YA MAMBO MAKUBWA. Na kwa mujibu wa mafundisho yao, hii ni SIKU AMBAYO MUNGU Ialdabaoth ALIUMBA VITU VIKUBWA VIKUBWA NA WANYAMA WAKUBWA WAKUBWA MFANO WANYAMA KAMA NYANGUMI WA BAHARINI NA TEMBO WA NCHI KAVU WALIUMBWA KATIKA SIKU HII.

Ialdabaoth alimuumba mtu kwa kutumia raw materials kutoka kwenye ardhi ya kwenye sayari hii hii ya dunia( NA SIO KWAMBA ALIMUUMBA MTU KWA UDONGO 100% HELL NO. ALIMUUMBA KWA KUTUMIA MALIGHAFI ZILIZO TOKA KWENYE ARDHI)

Mfano wa MALIGHAFI hizo ni pamoja na aina ya mwamba (rock) huo mwamba umetumika kufashion ama kutengenezea mifupa na meno (KATIKA FREEMASONRY AINA HII YA KWAMBA INAJULIKANA NA WATU WACHACHE SANA TENA WALE WALIO KATIKA DEGREES ZA JUU)

Wanasema Mwamba huu una nguvu za ajabu Sana na unatumika na Mambo mazito mazito. ( KWA WANAO JUA NGUVU YA GEMSTONES WANAWEZA KUJUA NAZUNGUMZIA KITU GANI HAPA)

Mwamba huu wanasema umetolewa hapa hapa duniani.

MALIGHAFI nyingine ni baadhi ya majani (grassess) kwa mfano nywele za binadamu zime kuwa fashioned kutokana na aina Fulani ya majani ambayo inakulikana kwa members wa Freemasonry walio katika madaraja ya juu pekee.

Hayo ni majani ya aina na viwango tofauti tofauti ndio maana Kuna different hair textures kwa waafrika, wazungu, waarabu etc

Ni majani yenye nguvu Sana na ndio hutumiwa na wachawi wa madaraja ya juu kuwaroga waja kwa kutumia nywele.

Hiyo ni mifano michache ya raw materials zilizo tumika kumtengeneza binadamu.

Kwa hiyo Ialdabaoth aka tengeneza mtu kwa sura na mfano wake. Hata hivyo mtu huyo hakuweza kuwa na roho kwa sababu kwa mujibu wa Freemasonry, Ialdabaoth hakuwa na uwezo wa kuumba roho

However, Ialdabaoth alitambua kwamba amerithi pumzi ya uhai " roho" kutoka kwa mama yake na kwamba anaweza kutransmit hiyo pumzi kutoka kwake kwenda katika kiumbe kingine.

So Ialdabaoth akampulizia mtu huyo sehemu ya pumzi yake ambayo ali irithi kutoka kwa mama yake.

Kwa maana nyingine hiyo pumzi aliyopuliziwa binadamu ilikuwa pumzi kutoka kwa Sophia ambae ni mama wa Mungu.
Ialdabaoth hapa alitumika Kama daraja la kupitisha pumzi kutoka kwa Sophia kwenda kwa ADAMU.

Hapo ndipo alipo patikana binadamu.

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Ialdabaoth alipata wazo la kumuumba binadamu katika nyakati ya sita.

Siku hiyo Ialdabaoth alipita karibu na bahari na akiwa mahali hapo alipata kutazama kwenye uso wa bahari na kujiona yeye mwenyewe.

Maandiko yao yanasema kwamba Ialdabaoth alipendezwa Sana na.alicho kiona na akadhamiria kwamba ni lazima atengeneze kiumbe chenye sura na taswira yake.

So Ialdabaoth alikipulizia kiumbe hicho pumzi ya uhai ambao aliurithi kutoka kwa mama yake ambae ni Sophia.

So kivuli hicho cha Ialdabaoth baada ya kupuliziwa pumzi kilitokea na kuanza kuishi.

Kiumbe hicho Freemasonry hukiita Divinely Adam au Skyman yani Adamu wa Mbinguni.

Kiumbe hicho kiliishi na kutawala pamoja na Ialdabaoth huko juu Mbinguni kwenye makao makuu ya Ufalme " Throne" wa Ialdabaoth.

( Dhana hii inafanana na mafundisho ya baadhi ya dini kwa mfano baadhi ya madhehebu ya kikristo na waislamu Wana amini kwamba bustani ya Edeni ilikuwa Mbinguni na kwamba Adamu alishushwa duniani baada ya kumuasi Muumba wake )

KIUMBE KINAMUHASI IALDABAOTH

Kwa sababu kiumbe hiki kilikuwa na sura na taswira ya Ialdabaoth, nguvu zake zilikuwa sawa sawa na nguvu za Muumba wake. Baada ya kujitambua kiumbe hiki kilimuasi Muumba wake kwa kutokutii Tena amri za Muumba wake kwa sababu kilijiona kipo sawa sawa na Muumba wake.

Jambo Hili lilimkasirisha sana Ialdabaoth na akaapa kukiteketeza kiumbe hicho.

SOPHIA ANAINGILIA KATI MPANGO WA IALDABAOTH KUKITEKETEZA KIUMBE CHAKE

Hata hivyo Sophia baada ya kuditect kwamba Ialdabaoth anataka kummaliza ADAMU WA MBINGUNI, ANAINGILIA KATI na kumkinga ADAMU WA MBINGUNI dhidi ya MPANGO wa Muumba wake.

Sophia alifanya hivyo kwa sababu ADAMU WA MBINGUNI alikuwa na pumzi ya uhai ambao unatoka kwake Sophia. Roho ya ADAMU WA MBINGUNI ilikuwa direct connected na Sophia mwenyewe. PILI ADAMU wa Mbinguni hakuwa na kosa lolote . Na Sophia alikuwa Mungu wa Upendo.

Sophia hakuwa tayari kuona kiumbe kilicho beba pumzi yake kinateketezwa.

Ialdabaoth alipojaribu kumteketeza Adamu wa Mbinguni alishindwa kwa sababu kiumbe huyu alikuwa amebeba pumzi ya uhai kutoka kwa Sophia .

In addition to that, Sophia alisimama na Adamu wa Mbinguni.

So baada ya kugundua kwamba Hana mamlaka ya kumteketeza Adamu wa Mbinguni na kwamba Sophia alikuwa ana mkingia kifua Adamu wa Mbinguni, Ialdabaoth alipatwa na dhadhabu kuu...

Taswira ya ghadhabu ya Ialdabaoth ilifika Hadi duniani baharini na kuwa reflected kwenye bahari.

Taswira hiyo ya ghadhabu ikawa trapped kwenye bahari na kutokea kiumbe kilicho jitegemea ambacho kuliitwa Lucifer ambae ndio huyu mnamuita shetani. Kiumbe hiki kiliweka Makazi yake katika sehemu ya dunia chini ya bahari ambayo Ninyi mnaiita kuzimu.

Umbali kutoka duniani na kuzimu ni.kilometa sifuri.

Maana yake ni kwamba umbali wa kutoka hapo ulipo Hadi kuzimu ni kilo meta sifuri.

MUNGU IALDABAOTH ANAMSHUSHA DUNIANI ADAMU WA MBINGUNI..

Baada ya kuona kwamba hawezi kumteketeza Adamu wa Mbinguni, Ialdabaoth anaamua kumshusha duniani.

Kwa sababu wakati ana fashion ulimwengu wa vitu " material world" , Ialdabaoth alifashion pia kanuni za asili za ku uguide ulimwengu wa vitu/ nyama ambazo zilikuwa zina m-bind Hadi yeye mwenyewe ( ZILIKUWA ZINA MBIND HADI YEYE MWENYEWE KWA SABABU NAZO PIA ALIZI COPY KUTOKA ULIMWENGU WA ROHONI AMBAKO NDIKO ASILI YAKE ) ilikuwa ni lazima Ialdabaoth atengeneze mwili kwa kutumia raw materials za hapa hapa duniani

So baada ya kuumba mwili Ialdabaoth alimchukua Adamu wa Mbinguni ( ambae alikuwa ni roho Kama malaika ) na kuupulizia mwili alio ubumba.

Hapo ndipo Adamu wa duniani alipo patikana.

LENGO LA KUMUUMBA ADAMU WA DUNIANI

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Lengo la Ialdabaoth kumuumba Adamu wa duniani ilikuwa ni kumuweka mbali na Ufalme wake .

So Kama nimewaelewa vizuri Freemasonry hapa Wana maanisha kwamba, Adamu aliletwa duniani ili asilete usumbufu kwenye Ufalme wa Mungu huko Mbinguni ( ni Kama madikteta wa Afrika wanavyo wapiga ubalozi wa nchi za mbali watu WANAO onekana threat kwao)

Mwili wa duniani ulitumika Kama gereza la kumfunga Adamu wa Mbinguni na kumsahaulisha asili yake na uwezo wake..

Adamu angeishi miaka yake yote bila KUJUA nini kilitokea Mbinguni.

Akiwa duniani Adamu alikuwa "bribed " kwa kupewa Ufalme wa duniani na mamlaka ya kutawala vitu vyote. Yote hiyo ni kumsahaulisha asili yake...

Pamoja na kwamba Adamu alikuwa roho ya Mungu Mkuu Kabisa ( God the Most High) iliyokuwa Trapped kwenye mwili lakini hakuwa anajua kinacho endelea katika maisha yake ya ROHONI licha ya kupewa ujuzi wa Mambo yote ya mwilini. Ndio maana Adamu alikuwa uchi wa mnyama sawa na wanyama lakini alikuwa hajui Kama Upo uchi. Alijiona yupo sawa na wanyama alio kuwa anawatawala.

SOPHIA ANAINGILIA KATI KWA MARA YA PILI

SOPHIA = NDIE ALIE UMBA ROHO YA ADAMU.

IALDABAOTH = HAKUUMBA ROHO ILA ALIUMBA MWILI. YEYE PIA ALIZALIWA NA SOPHIA AKIWA NA ROHO AMA PUMZI YA UHAI KUTOKA KWA SOPHIA NA NDIO HIYO HIYO ALIMPULIZIA ADAMU..

Haya twende Kazi.

Sophia baada ya kugundua mchezo alio fanyiwa Adamu bado hakupendezwa na suala la roho inayotoka kwake kufungwa kwenye mwili wa kiumbe wa nyama na kunyimwa utashi wa kiungu ambao ungekifanya kiumbe hicho kufurahia maisha ya kiungu hapa duniani. So ana amua kukikomboa kiumbe hicho kutoka kwenye kutokujitambua..

Ikumbukwe kuwa Ialdabaoth baada ya kumuumba Adamu alimpa masharti kadha wa kadha Kama vile kutokutumia baadhi ya miti... Kumbe miti aliyo katazwa kutumia ndio ilikuwa na nguvu na uwezo wa kumfungua minyororo aliyo fungwa ..

Sophia anakuja mwenyewe duniani kwa umbo la nyoka kwa ajili ya kumfungua Adamu

Kupitia nyoka huyo Sophia anamletea Adamu ujumbe kwamba, Muumba wako hataki ule tunda la mti huo kwa sababu anajua ukifanya hivyo utakuwa Kama yeye.

Ndio maana baada ya Adam Kula tunda la.mti ule wa KUJUA mema na mabaya, Ialdabaoth anasema katika.kitabu Cha MWANZO 3:22 " TAZAMA MTU HUYU AMEKUWA KAMA MMOJA WETU NA SASA ASIJE AKANYOOSHA MKONO WAKE JUU AKALA TUNDA LA MTI WA UZIMA AKAISHI MILELE"

Kwa mujibu wa Freemasonry, Hinduism etc nyoka ni kiumbe mtakatifu.

Hata katika dini za kiyahudi Nyoka ni muungu. Soma vizuri habari ya Mussa na Wana wa Israel pale Ialdabaoth mwenyewe alipo waambia Wana wa Israel wachonge sanamu ya nyoka na kuisujudu na walipo fanya hivyo wakapona. ( Kwa mujibu wa Freemasonry, hapo Ialdabaoth mwenyewe aliamua kuwa link up Wana wa Israel na Mungu mkuu mwenyewe ( God the Most High ) ambae ndie ALIUMBA roho zao.

Hata katika Ukristo nyoka ni mnyama mtakarifu .Or is it not in ur Bible where Jesus is telling his Desciples " IWENI WAPOLE KAMA HUA NA WEREVU KAMA NYOKA" ?

Wanasema Alama ya Nyoka ni Alama ya Mungu Mkuu " God the Most High".

Yesu anapo waambia kuweni WEREVU kama nyoka ana maanisha kuweni na hekima Kama Sophia . Sophia hujulikana pia Kama Mama wa Hekima" .
NI nyoka huyu huyu ndio aliekuja kumkomboa Binadamu.

Lengo la Ialdabaoth halikuwa Binadamu kujitambua.

Freemasonry Wana amini kwamba, malaika wa Mungu mkuu kabisa wanaishi katika Constellations ambazo ukiziunganishan zina umbo Kama la nyoka na zinaa jongea Kama nyoka.

Snake is a very very powerful being. Yapo maajabu 40 ya kiroho ya Nyoka ambayo yatakustaajabisha Sana ( this will be a topic for another day ).

BAADA YA ADAMU WA DUNIANI KUMUASI MUUMBA WAKE.

IALDABAOTH anashuka duniani,kinyume na alivyo panga kwamba Adamu asijitambue yeye ni Nani, anamkuta Adamu anae jitambua .

Ialdabaoth ana amua kuachia laana kwa ADAMU na uzao wake wote .

SOPHIA HAPENDEZWI NA UAMUZI WA IALDABAOTH KUTOA LAANA KWA ADAMU NA UZAO WAKE.

Kwa sababu hakuwa tayari kuona kiumbe kilicho beba pumzi yake kinawekwa chini ya laana, Sophia anaamua kuja kukikomboa kiumbe hicho kwa Mara nyingine.

Tatizo linakuja Sophia yeye yupo katika roho tu na sio katika mwili. Na mwanadamu ni roho iliyo fungwa kwenye mwili lakini haijitambui Kama ni roho. " IF TWO QUALITIES CANNOT MEET IN SUBSTANCE, THEY CAN BE BROUGHT TOGETHER ONLY BY EXTENSION"

SO Ili mission yake ikamilike lazima awe katika ulimwengu wa nyama. Na ili mission yake ikamilike Kazi lazima ifanywe na mtoto wake wa KWANZA ambae aliitwa CHRISTOS. Huyu Christos aliishi Mbinguni pamoja na SOPHIA & AEON na.ndio alikuwa mtoto wa pekee wa SOPHIA na AEON. Hawa ndio waliunda utatu mtakatifu yani MUNGU BABA = AEON, MUNGU MWANA = CHRISTOS na MUNGU ROHO MTAKATIFU = SOPHIA.

So Sophia ana re incarnated duniani in the person of MARY THE VIRGIN ( wakatoliki wanavyo komaaga na Bikira Maria msiwaone wamepotea. According to Freemasonry Bikira Maria was the re incarnation of the Holy Spirit of God the Most High.. wao wenyewe wana conjuration zao kuhusu Mary the mother of Jesus ambazo zipo very very powerful... Hii habari ya watoto wa Fatima ni ukweli na Rozary Ina nguvu kweli..

Ndio maana waislamu bila KUJUA , wamempa Hadi sura kwenye kitabu Chao kitakatifu " SURATUL MARIAM". NA SURATUL MARIAM NI MOJA LATI YA SURA ZENYE NGUVU ZA AJABU SANA. KWA MUISLAMU WA KAWAIDA UKIMUULIZA SURA GANI YENYE NGUVU KATIKA.QUR'AAN ATAKWAMBIA " SURATUL YASSIN" BUT AMINI NAKWAMBIA. SURATUL MARIAM IS SOMETHING ELSE. WEKA MAZOEA YA KUWA UNA RECITE SURATUL MARIAM KWA WINGI KILA SIKU USIKU. U WILL THANK ME LATER.)

So Sophia Re incarnated as Mary the Mother Jesus and gave birth to his son CHRISTOS who re incaranate as JESUS.

Huko Mbinguni CHRISTOS ndio aliepewa Kazi ya kufanya uumbaji wa vitu vyote katika ulimwengu wa roho.. hakuna chochote katika ulimwengu wa roho ambacho kiliweza kuwako pasipo huyo Christo.

( IALDABAUTH YEYE ALIUMBA ULIMWENGU WA NYAMA YANI MATERIAL WORLD/ ULIMWENGU WA VITU VINAVYO ONEKANA)

Ndio maana Yesu alisema UFALME WAKE SIO UFALME WA DUNIANI, UFALME WAKE NI WA MBINGUNI.

HAPO ALIMAANISHA LWAMBA YEYE UFALME WAKE SIO UFALME WA MATERIAL WORLD BALI UFALME WA SPIRITUAL WORLD.

ACCORDING TO FREEMASONRY, WHAT WAS THE REAL MISSION OF CHRIST TO THE WORLD. DID HE COME TO DIE FOR OUR SINS?
Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Hell No. Yesu hakuja duniani kwa ajili ya kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu.

Wanasema Yesu alikuja duniani kwa ajili ya kutusanua. Yani kutukumbusha asili yetu kwamba sisi ni Roho kwa Mungu Mkuu Kabisa " God the Most High" na kwamba hapa duniani sio kwetu. Roho zetu zimefungwa kwenye miili ya nyama na damu ili kutusahaulisha kule tunatoka. Kwamba sisi si sawa na N'gombe, Simba nakadhalika.

ANOTHER MISSION OF CHRIST JESUS WAS TO PERMANENTLY DELETE FROM OUR DNAs , INFORMATION ABOUT PHYSICAL DEATH OF WHICH HE FIRST DID TO HIMSELF WHEN HE BEAT THE PHYSICAL DEATH BY RESURRECTION.

(They if u truly blv in Christ Jesus about his real mission to human race u will for sure not die)

Ili tuweze kurudi kwenye asili yetu lazima tuishinde miili yetu kwa maana matendo ya miili yetu yanaweza kuchafua roho zetu na roho zilizo chafua haziwezi kupokelewa Mbinguni. Ukifa na roho yenye dhambi utazaliwa Tena duniani mpaka hapo utakapo jitambua wewe ni Nani na kutenda matendo yakupasayo ili ukifa uende Mbinguni.

Unaweza kuushinda mwili na Mambo ya duniani kwa kufuata amri kuu mpya aliyo itoa Yesu ambayo ni upendo...

Mafundisho ya Yesu yalikuwa ya kipekee Sana na yalikuwa tofauti na mafundisho ya manabii walio pita

Ukiyatazama vizuri mafundisho ya Yesu utagundua kwamba Mungu wa Agano la kale ( Ialdabaoth) na Mungu wa Agano jipya (Sophia/ Aeon) ni miungu wawili tofauti ambao walikuwa na mission mbili tofauti

Mungu wa Agano la kale alikuwa Mungu wa Haki (Just God/ Sharia/ jino kwa jino)

Mungu wa Agano jipya ni MUNGU WA UPENDO NA AMANI.

Infact Masonry wanasema Ialdabaoth anajua kwamba uwezekano wa Binadamu kumjua Mungu wao halisi ( Sophia/Aeon) NI mkubwa ndio maana aliwaambia " MIMI NDIMI BWANA MUNGU WAKO USIABUDU MIUNGU WENGINE)

BAADA YA MAFUNDISHO YA KRISTO YESU KUHUSU UFALME WA MUNGU KUSAMBAA, IALDABAOTH ANAAGIZA WATU WAKE WAMUUE YESU KWA SABABU ALIJUA KWAMBA KAMA YESU ANGE ACHWA HAI BASI ANGEIBADILISHA DUNIA YOTE NA KUWAFANYA WATU WOTE KUJITAMBUA WAO ASILI YAO NI WAPI.

Mafundisho Kama vile : Mimi na Mungu tu kitu kimoja.. watakao amini jina langu watafanyika kuwa Wana wa Mungu Alie juu Mbinguni. Kwamba mkiaminj mnaweza kufanya kuliko Yale niliyo yafanya Mimi Kama vile kufufuka.etc yalimkera Ialdabaoth kwa kuona watu alio waweka mateka Sasa wanaenda kufunguliwa.

( Siku zote Ialdabaoth hataki Binadamu kujitambua wao NI kina Nani. Ndio maana wakati wa Mnara wa Babeli aliwatawanyisha. Ule haukuwa Mnara Kama Mnara Bali watu walikutana na kuunganisha maarifa yao ili wawe na uwezo Kama wa Ialdabaoth na Ialdabaoth aliona wanaelekea kufanikiwa ndio maana akawatawanyisha.. na hii ndio sababu kina dini na madhehebu mengi duniani. Lengo ni kuwafanya wanadamu msiwe na umoja ili msije kujua asili yenu na hatimaye kujua uwezo wenu )

Baada ya mwili wa Yesu kuachana na Roho yake alienda kuzimu zilikokuwa zinashikiliwa roho za watu walio kufa duniani wakiwa hawajitambui wao NI kina Nani na kuzihubiria habari za ukweli kuhusu asili yao.

Yesu anarejea duniani Kama ishara ya kuwaambia wanadamu kwamba hata wao WANAWEZA kukishinda kifo Kama alivyo kishinda yeye.

Then anapaa Mbinguni

ITAENDELEA...

Coming next: kwanini ibada za mizimu zina nguvu Sana? Majibu Yana uhusiano na habari ya asili ya roho ya mwanadamu

2. Kwanini ahlul badr Ina nguvu Sana? Majibu yanahusiana na nguvu ya ibada ya mizimu


UPDATE: UFAFANUZI KUHUSU SUALA LA KIVULI CHA SOPHIA KUWA REFLECTED & TRAPPED KWENYE ENEO LA UTUKUFU WA CHINI NA HATIMAYE KUTOKEA IALDABAOTH..

Baadhi ya watu hawajaelewa kipengele hiki, ngoja niki break down kwa lugha nyepesi na mifano rahisi.

Ni hivi Mungu Sophia ambae ni sehemu ya kike ya DUALITY ya uungu ( SOPHIA & AEON ) , bila ridhaa wala ruhusu ya sehemu yake ya kiume ( AEON ) alipita katika eneo lenye utukufu wa chini . Akiwa katika eneo hilo la utukufu wa chini, kivuli chake kikawa reflected mahali hapo na alama za kivuli chake zikawa trapped katika eneo hilo na matokeo yake akatokea IALDAAOTH.

Mfano wake ni kama huu. Mungu ashuke juu mbinguni aje duniani, akiwa duniani, akanyage juu ya jiwe, kwenye jiwe hilo zibaki alama za nyayo za Mwenyezi Mungu, kisha juu ya alama hizo za nyayo za Mungu kitokee kiumbe.

Au Mungu ashuke duniani, halafu kivuli chake kiakisiwe ( kiwe reflected ) kwenye ardhi ya dunia. Kwa sababu ya nguvu za kiungu za Mungu, kivuli cha Mungu kiwe trapped kwenye ardhi ya duniani na mwisho wa siku hicho kivuli kibadilike kiwe kiumbe.

Au wewe binadamu upite karibu na mto au ziwa , kivuli chako kiwe reflected kwenye mto huo au ziwa hilo, halafu kwa sababu labda una nguvu fulani za ziada kile kivuli chako kigeuke na kuwa kiumbe hai...


Mfano wa chini kabisa : Hujawahi kusikia mtu kaenda sehemu fulani kufanya tukio la uhalifu , akaacha alama za vidole vyake kwa kushika kifaa katika eneo hilo halafu baadae wataalamu wa mambo ya forensic waka trace alama za vidole za mtu huyo na mwisho wa siku wakamkamata mtu huyo? Kama wewe binadamu kwa sababu ya nguvu kidogo ulizo nazo, unaweza kupita sehemu ukaacha alama zako za vidole, vipi kuhusu Mungu Sophia ?


UFAFANUZI ZAIDI.

Baada ya kiumbe hicho ( IALDABAOUTH ) kupatikana stillbado kilikuwa attached na Mungu Sophia kupitia kitu kinaitwa Electrol Chords ama kamba za moto ambazo ni Electro Magnetic by nature. Maana yake ni kwamba Mungu Sophia ange co-exist na kiumbe hiki kipya, kiumbe kilicho zaliwa ama patikana kinyume na mipango ya MUNGU MKUU KABISA ( GOD THE MOST HIGH ambae anaundwa na MUNGU SOPHIA (KE) na MUNGU AEON(ME)

Kwa sababu hiyo basi Mungu Sophia aliamua kuki -detach ( kukikiondoa kiumbe/kivuli hicho kwenye sehemu yake ) na kukitupa mahali pengine ambako ni mbali kabisa na ufalme wa Mungu Mkuu Kabisa ( God the Most High )

KWANINI HAKUKIUA ? KWA SABABU MUNGU SOPHIA NI MUNGU WA UPENDO.

Hakukitupa hivi hivi, alikitengenezea THRONE ( Ufalme wake ). So wakati anakitupa kiumbe hicho kwenye space ya mbali alikitupa kikiwa na afalme wake.


MAISHA YA IALDABAOTH BAADA YA KUTUPWA KWENYE SPACE ( UFALME WAKE )

IALDABAOTH anajikuta tayari yupo kwenye ufalme wake akiwa na uwezo mkubwa sana ambao hajui umetoka wapi wala yeye mwenyewe hajui ametoka wapi. ( HII NDIO SABABU KATIKA BAADHI YA DINI, IALDABAOTH ana nukuliwa akisema " MIMI SIJAZAA WALA SIJAZALIWA . WALA SIJAUMBWA, SINA MWANZO WALA SINA MWISHO) sababu hasa ya yeye kusema hivyo ni hii.

KWANINI IALDABAOTH ANASEMA HAKUZALIWA WALA HAKUUMBWA ( KWA MUJIBU WA MAFUNDISHO YA FREE MASONRY )

Sababu ni kwamba, baada ya yeye kuzaliwa/kutokea, mama yake ( Mungu Sophia ) alimtengenezea ufalme, akampa nguvu kubwa za kiungu kisha akaenda kumtupa katika anga la mbali sana na ufalme wa Mungu Mkuu Kabisa ( God the Most High ) na kisha kuvunja connection nae. IALDABAOTH anajitambua tayari akiwa na nguvu na uwezo wa kufanya mambo makubwa, ambayo ana amini kwamba hakuna awezae kufanya mambo makubwa kama yeye isipokuwa yeye mwenyewe.

MFANO WA KIBINADAMU : Yani ni sawa na mke wa mtu achepuke mahali wakati mumewe yupo safarini kisha apate ujauzito then azaliwe mtoto. Katika kukwepa fedheha ya kupata mtoto nje ya ndoa, mama huyo baada ya mtoto huyo kuzaliwa, amchukue mtoto huyo lets say kutoka Tanzania kisha ampeleke AUSTRALIA na ampe, nguvu na ufalme( mali n.k ) na kuvunja nae connection. Mtoto akikua anaweza asijue mahali anapotoka.

So Freemasons wanasema kwamba, IALDABAOTH ndio baba wa ATHEISM kwa sababu yeye mwenyewe hakubali wala haamini kama amezaliwa au ameumbwa au anatokana na kitu chenye nguvu kuliko yeye.. Uliwahi kujiuliza kwa nini Rapper Jay Z hujiita Young Hova) ( Hova = Jehova )

Binadamu wana maswali mengi sana ambayo hayana majibu yake. Wengi hawajui wametoka wapi, kwanini wapo hapa duniani, wakifa wataenda wapi, uovu umetoka wapi, kwanini kuna mateso na matatizo duniani n.k, kupitia mfululizo wa makala haya tutayajibu yote hayo kulingana na mafundisho ya freemasonry )



Baadae nitaendelea na SEHEMU YA PILI NA KUENDELEA NA KILA SEHEMU ITAKUWA NA PAGE YAKE.

Last emperor Babyzuh let the caged bird sings Msanii fearlessfighter JOHNGERVAS Ramo Lucky Star sala na kazi Mzee Wa Tairi @
Huu ni upotoshaji wa kawaida wa Shetani tumeuzoea,
only a fool and loon can believe this nonsense.

The truth is the God of Israel is the creator of everything. Bila yeye hakuna kitu ambacho kingeweza kuwepo.This is the God who created Adam,na kwa kupulizia pumzi yake hai,Adam akawa kiumbe hai with a body,soul and spirit.It is in the Spirit where the mind is located.

Shetani alichofanya ni ku-block mawasiliano kati ya akili ya mwanadamu na roho yake,ambayo ndiyo inayoweza ku-communicate na Mungu. Kwa kufanya hivi aliweza kuteka akili ya Adam through telepathic commmunication.In this way Satan was able to change Mans' faith imuelekee yeye pamoja na maagizo yake.Kumbuka kwamba akili ndiyo inayo control mwili,so if you control the mind you control the body as well.
 
Huu ni upotoshaji wa kawaida wa Shetani tumeuzoea,
only a fool and loon can believe this nonsense.

The truth is the God of Israel is the creator of everything. Bila yeye hakuna kitu ambacho kingeweza kuwepo.This is the God who created Adam,na kwa kupulizia pumzi yake hai,Adam akawa kiumbe hai with a body,soul and spirit.It is in the Spirit where the mind is located.

Shetani alichofanya ni kuteka akili ya Adam through telepathic communication na hivyo kuzuia mawasiliano ya roho ya mwanadamu na Mungu wa Israel.In this way Satan was able to change Mans' faith.
wacha bana
 
Habari hii ni ndefu Sana ila nitaielezea kwa ufupi kwa kadri nitakavyo weza.

Freemasonry Wana amini nini kuhusu Mungu wa Israel?

Freemasonry Wana amini kwamba Mungu wa Israel yupo na ana nguvu lakini sio Mungu mwenye nguvu zote " the Most High God"

Wao Wanaamini kwamba juu ya Mungu wa Israel Kuna Mungu Mkuu zaidi mwenye Nguvu zaidi ya Mungu wa Israel na ambae ndio Mungu wa ukweli.

Wao wana mrefer Mungu wa Israel Kama Demiurge yani the fashioner of the material world.

Kwamba Mungu wa Israel ni Mungu aliebuni na kutengenezea ulimwengu wa nyama yani ulimwengu unao onekana ( material world ) na sio ulimwengu usio onekana...

Wana sema Mungu wa Israel hana uwezo wa kuumba roho( kwanini? Endelea kusoma )

Mungu wa Israel alitoka wapi?

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Mungu wa Israel alizaliwa na Mungu Sophia ambae alikuwa ni sehemu ya kike ya Mungu mwenye nguvu zote " God the most high" ambae kwa pamoja huitwa Aeon.

Sasa kwa mujibu wa Freemasonry, huyu Aeon ndio Mungu Mkuu ( God the Most High ) ambae ana sehemu mbili , ya kike na kiume, na sehemu ya kike huitwa Sophia.

Wanaendelea kufundisha kwamba Mungu wa Israel ambae wao wana mrefer kwa jina lake Ialdabaoth au Elihom Tzabaoth ( Demiurge ni sifa yake kuu sio jina lake halisi) alizaliwa kimakosa.

Ni kwamba siku moja Sophia alipita katika eneo ambalo lilikuwa la daraja la chini katika ulimwengu huo wa kiroho na matokeo yake sehemu ya kivuli Cha Sophia ikawa reflected na hatimaye kuwa trapped kwenye eneo hilo.

Baada ya kudetect Hali hiyo , Sophia akahitaji kuondoka katika eneo hilo kwa haraka lakini hakuweza kuondoka na sehemu hiyo iliyokuwa Trapped kwa sababu ilikuwa na utukufu wa chini kuliko utukufu wake, so sehemu hiyo ilikatwa na kubaki yenyewe, sehemu hiyo ndio ilio kuja kuwa IALDABAOTH au Mungu wa Israel according to Freemasonry.

Baada ya kuzaliwa sasa Ialdabaoth akawa na uwezo karibu sana na uwezo wa mama ake ambae ni Sophia

Nature ya Ialdabaoth: Ialdabaoth alikuwa na nature kuu mbili. Kwanza nature ya kiroho ambayo ali irithi kwa mama ake ambae ni Sophia na pili ni material nature ambayo ilizaliwa kwake kupitia muunganiko Kati ya sehemu ya mama ake pamoja na sehemu Ile ya daraja la chini kiutukufu ambayo sehemu ya mama ake ilikuwa trapped. Na hii ndio sababu kwanini Ialdabaoth aliamua kuufashion ulimwengu wa nyama. Alitaka kutengenezea kitu chenye kubeba taswira yake inayo onekana.

Ialdabaoth alitumia uwezo wake kufashion na kuumba vitu vyote vyenye mwili na maumbo yani wanyama ,mimea, mito bahari,nyota, mwezi, binadamu nakadhalika.

Vitu vingi alivyo viumba vilikuwa ni roho yeye alicho kifanya ni kuviumba katika ya mwili.

Mfano Jua, lipo Jua katika ulimwengu wa roho " spiritual sun" ila yeye akaumba Jua linalo onekana ambalo lilireflect Jua lisilo onekana. Simba, TEMBO, chui, nakadhalika.

Kwanza alianza kwa kuwaumba watoto wake Saba ambao aliwapa kumiliki na kutawala Sayari Saba ambazo zinaitawala dunia.
BAADAD IALDABAOTH ALIUASI UFALME WA MUNGU MKUU ALIYE JUU KABISA NA KUAZISHA UFALME WAKE MWENYEWE.

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry Sayari ya dunia inatawaliwa na Sayari Saba.Kila Sayari inatawala siku moja ya wiki katika Sayari hizo Saba.

Baada ya hapo akaumba vitu vyote vinavyo onekana ( material world ) ambavyo aliviumba kwa nyakati saba tofauti ( wakristu na waislamu wanasema ni siku Saba ila Freemasonry wanasema ni nyakati saba.

Siku moja kwa Mungu ni sawa na miaka elfu moja kwa binadamu. Ndio maana Freemasonry wana ziita nyakati ) # halafu majina ya siku kwa mujibu wa Masonic calendar ni tofauti na watu wa Imani zingine.

Kwenye calendar yao hakuna jumamosi wala jumapili.

Kwanza miezi yao Ina siku 28 hakuna mwezi wenye siku 30 Wala 31 pili hawana jumamosi wala jumapili wao wana siku ya Kwanza Hadi siku ya Saba na kila siku Ina jina lake maalumu kulingana na tukio ambalo Ialdabaoth alifanya katika siku hiyo.

Kwa mfano siku ambayo Ninyi mna iita Ijumaa wao Wana iita SIKU YA FAIDA NA THAMANI ambayo kwa mujibu wa calendar yao ni SIKU YA TATU, siku mnayo iita JUMATANO wao ni SIKU YA KWANZA ambayo ni SIKU YA NURU na siku mnayo iita JUMAPILI wao ni SIKU YA TANO ambayo Wana iita SIKU YA MAMBO MAKUBWA. Na kwa mujibu wa mafundisho yao, hii ni SIKU AMBAYO MUNGU Ialdabaoth ALIUMBA VITU VIKUBWA VIKUBWA NA WANYAMA WAKUBWA WAKUBWA MFANO WANYAMA KAMA NYANGUMI WA BAHARINI NA TEMBO WA NCHI KAVU WALIUMBWA KATIKA SIKU HII.

Ialdabaoth alimuumba mtu kwa kutumia raw materials kutoka kwenye ardhi ya kwenye sayari hii hii ya dunia( NA SIO KWAMBA ALIMUUMBA MTU KWA UDONGO 100% HELL NO. ALIMUUMBA KWA KUTUMIA MALIGHAFI ZILIZO TOKA KWENYE ARDHI)

Mfano wa MALIGHAFI hizo ni pamoja na aina ya mwamba (rock) huo mwamba umetumika kufashion ama kutengenezea mifupa na meno (KATIKA FREEMASONRY AINA HII YA KWAMBA INAJULIKANA NA WATU WACHACHE SANA TENA WALE WALIO KATIKA DEGREES ZA JUU)

Wanasema Mwamba huu una nguvu za ajabu Sana na unatumika na Mambo mazito mazito. ( KWA WANAO JUA NGUVU YA GEMSTONES WANAWEZA KUJUA NAZUNGUMZIA KITU GANI HAPA)

Mwamba huu wanasema umetolewa hapa hapa duniani.

MALIGHAFI nyingine ni baadhi ya majani (grassess) kwa mfano nywele za binadamu zime kuwa fashioned kutokana na aina Fulani ya majani ambayo inakulikana kwa members wa Freemasonry walio katika madaraja ya juu pekee.

Hayo ni majani ya aina na viwango tofauti tofauti ndio maana Kuna different hair textures kwa waafrika, wazungu, waarabu etc

Ni majani yenye nguvu Sana na ndio hutumiwa na wachawi wa madaraja ya juu kuwaroga waja kwa kutumia nywele.

Hiyo ni mifano michache ya raw materials zilizo tumika kumtengeneza binadamu.

Kwa hiyo Ialdabaoth aka tengeneza mtu kwa sura na mfano wake. Hata hivyo mtu huyo hakuweza kuwa na roho kwa sababu kwa mujibu wa Freemasonry, Ialdabaoth hakuwa na uwezo wa kuumba roho

However, Ialdabaoth alitambua kwamba amerithi pumzi ya uhai " roho" kutoka kwa mama yake na kwamba anaweza kutransmit hiyo pumzi kutoka kwake kwenda katika kiumbe kingine.

So Ialdabaoth akampulizia mtu huyo sehemu ya pumzi yake ambayo ali irithi kutoka kwa mama yake.

Kwa maana nyingine hiyo pumzi aliyopuliziwa binadamu ilikuwa pumzi kutoka kwa Sophia ambae ni mama wa Mungu.
Ialdabaoth hapa alitumika Kama daraja la kupitisha pumzi kutoka kwa Sophia kwenda kwa ADAMU.

Hapo ndipo alipo patikana binadamu.

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Ialdabaoth alipata wazo la kumuumba binadamu katika nyakati ya sita.

Siku hiyo Ialdabaoth alipita karibu na bahari na akiwa mahali hapo alipata kutazama kwenye uso wa bahari na kujiona yeye mwenyewe.

Maandiko yao yanasema kwamba Ialdabaoth alipendezwa Sana na.alicho kiona na akadhamiria kwamba ni lazima atengeneze kiumbe chenye sura na taswira yake.

So Ialdabaoth alikipulizia kiumbe hicho pumzi ya uhai ambao aliurithi kutoka kwa mama yake ambae ni Sophia.

So kivuli hicho cha Ialdabaoth baada ya kupuliziwa pumzi kilitokea na kuanza kuishi.

Kiumbe hicho Freemasonry hukiita Divinely Adam au Skyman yani Adamu wa Mbinguni.

Kiumbe hicho kiliishi na kutawala pamoja na Ialdabaoth huko juu Mbinguni kwenye makao makuu ya Ufalme " Throne" wa Ialdabaoth.

( Dhana hii inafanana na mafundisho ya baadhi ya dini kwa mfano baadhi ya madhehebu ya kikristo na waislamu Wana amini kwamba bustani ya Edeni ilikuwa Mbinguni na kwamba Adamu alishushwa duniani baada ya kumuasi Muumba wake )

KIUMBE KINAMUHASI IALDABAOTH

Kwa sababu kiumbe hiki kilikuwa na sura na taswira ya Ialdabaoth, nguvu zake zilikuwa sawa sawa na nguvu za Muumba wake. Baada ya kujitambua kiumbe hiki kilimuasi Muumba wake kwa kutokutii Tena amri za Muumba wake kwa sababu kilijiona kipo sawa sawa na Muumba wake.

Jambo Hili lilimkasirisha sana Ialdabaoth na akaapa kukiteketeza kiumbe hicho.

SOPHIA ANAINGILIA KATI MPANGO WA IALDABAOTH KUKITEKETEZA KIUMBE CHAKE

Hata hivyo Sophia baada ya kuditect kwamba Ialdabaoth anataka kummaliza ADAMU WA MBINGUNI, ANAINGILIA KATI na kumkinga ADAMU WA MBINGUNI dhidi ya MPANGO wa Muumba wake.

Sophia alifanya hivyo kwa sababu ADAMU WA MBINGUNI alikuwa na pumzi ya uhai ambao unatoka kwake Sophia. Roho ya ADAMU WA MBINGUNI ilikuwa direct connected na Sophia mwenyewe. PILI ADAMU wa Mbinguni hakuwa na kosa lolote . Na Sophia alikuwa Mungu wa Upendo.

Sophia hakuwa tayari kuona kiumbe kilicho beba pumzi yake kinateketezwa.

Ialdabaoth alipojaribu kumteketeza Adamu wa Mbinguni alishindwa kwa sababu kiumbe huyu alikuwa amebeba pumzi ya uhai kutoka kwa Sophia .

In addition to that, Sophia alisimama na Adamu wa Mbinguni.

So baada ya kugundua kwamba Hana mamlaka ya kumteketeza Adamu wa Mbinguni na kwamba Sophia alikuwa ana mkingia kifua Adamu wa Mbinguni, Ialdabaoth alipatwa na dhadhabu kuu...

Taswira ya ghadhabu ya Ialdabaoth ilifika Hadi duniani baharini na kuwa reflected kwenye bahari.

Taswira hiyo ya ghadhabu ikawa trapped kwenye bahari na kutokea kiumbe kilicho jitegemea ambacho kuliitwa Lucifer ambae ndio huyu mnamuita shetani. Kiumbe hiki kiliweka Makazi yake katika sehemu ya dunia chini ya bahari ambayo Ninyi mnaiita kuzimu.

Umbali kutoka duniani na kuzimu ni.kilometa sifuri.

Maana yake ni kwamba umbali wa kutoka hapo ulipo Hadi kuzimu ni kilo meta sifuri.

MUNGU IALDABAOTH ANAMSHUSHA DUNIANI ADAMU WA MBINGUNI..

Baada ya kuona kwamba hawezi kumteketeza Adamu wa Mbinguni, Ialdabaoth anaamua kumshusha duniani.

Kwa sababu wakati ana fashion ulimwengu wa vitu " material world" , Ialdabaoth alifashion pia kanuni za asili za ku uguide ulimwengu wa vitu/ nyama ambazo zilikuwa zina m-bind Hadi yeye mwenyewe ( ZILIKUWA ZINA MBIND HADI YEYE MWENYEWE KWA SABABU NAZO PIA ALIZI COPY KUTOKA ULIMWENGU WA ROHONI AMBAKO NDIKO ASILI YAKE ) ilikuwa ni lazima Ialdabaoth atengeneze mwili kwa kutumia raw materials za hapa hapa duniani

So baada ya kuumba mwili Ialdabaoth alimchukua Adamu wa Mbinguni ( ambae alikuwa ni roho Kama malaika ) na kuupulizia mwili alio ubumba.

Hapo ndipo Adamu wa duniani alipo patikana.

LENGO LA KUMUUMBA ADAMU WA DUNIANI

Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Lengo la Ialdabaoth kumuumba Adamu wa duniani ilikuwa ni kumuweka mbali na Ufalme wake .

So Kama nimewaelewa vizuri Freemasonry hapa Wana maanisha kwamba, Adamu aliletwa duniani ili asilete usumbufu kwenye Ufalme wa Mungu huko Mbinguni ( ni Kama madikteta wa Afrika wanavyo wapiga ubalozi wa nchi za mbali watu WANAO onekana threat kwao)

Mwili wa duniani ulitumika Kama gereza la kumfunga Adamu wa Mbinguni na kumsahaulisha asili yake na uwezo wake..

Adamu angeishi miaka yake yote bila KUJUA nini kilitokea Mbinguni.

Akiwa duniani Adamu alikuwa "bribed " kwa kupewa Ufalme wa duniani na mamlaka ya kutawala vitu vyote. Yote hiyo ni kumsahaulisha asili yake...

Pamoja na kwamba Adamu alikuwa roho ya Mungu Mkuu Kabisa ( God the Most High) iliyokuwa Trapped kwenye mwili lakini hakuwa anajua kinacho endelea katika maisha yake ya ROHONI licha ya kupewa ujuzi wa Mambo yote ya mwilini. Ndio maana Adamu alikuwa uchi wa mnyama sawa na wanyama lakini alikuwa hajui Kama Upo uchi. Alijiona yupo sawa na wanyama alio kuwa anawatawala.

SOPHIA ANAINGILIA KATI KWA MARA YA PILI

SOPHIA = NDIE ALIE UMBA ROHO YA ADAMU.

IALDABAOTH = HAKUUMBA ROHO ILA ALIUMBA MWILI. YEYE PIA ALIZALIWA NA SOPHIA AKIWA NA ROHO AMA PUMZI YA UHAI KUTOKA KWA SOPHIA NA NDIO HIYO HIYO ALIMPULIZIA ADAMU..

Haya twende Kazi.

Sophia baada ya kugundua mchezo alio fanyiwa Adamu bado hakupendezwa na suala la roho inayotoka kwake kufungwa kwenye mwili wa kiumbe wa nyama na kunyimwa utashi wa kiungu ambao ungekifanya kiumbe hicho kufurahia maisha ya kiungu hapa duniani. So ana amua kukikomboa kiumbe hicho kutoka kwenye kutokujitambua..

Ikumbukwe kuwa Ialdabaoth baada ya kumuumba Adamu alimpa masharti kadha wa kadha Kama vile kutokutumia baadhi ya miti... Kumbe miti aliyo katazwa kutumia ndio ilikuwa na nguvu na uwezo wa kumfungua minyororo aliyo fungwa ..

Sophia anakuja mwenyewe duniani kwa umbo la nyoka kwa ajili ya kumfungua Adamu

Kupitia nyoka huyo Sophia anamletea Adamu ujumbe kwamba, Muumba wako hataki ule tunda la mti huo kwa sababu anajua ukifanya hivyo utakuwa Kama yeye.

Ndio maana baada ya Adam Kula tunda la.mti ule wa KUJUA mema na mabaya, Ialdabaoth anasema katika.kitabu Cha MWANZO 3:22 " TAZAMA MTU HUYU AMEKUWA KAMA MMOJA WETU NA SASA ASIJE AKANYOOSHA MKONO WAKE JUU AKALA TUNDA LA MTI WA UZIMA AKAISHI MILELE"

Kwa mujibu wa Freemasonry, Hinduism etc nyoka ni kiumbe mtakatifu.

Hata katika dini za kiyahudi Nyoka ni muungu. Soma vizuri habari ya Mussa na Wana wa Israel pale Ialdabaoth mwenyewe alipo waambia Wana wa Israel wachonge sanamu ya nyoka na kuisujudu na walipo fanya hivyo wakapona. ( Kwa mujibu wa Freemasonry, hapo Ialdabaoth mwenyewe aliamua kuwa link up Wana wa Israel na Mungu mkuu mwenyewe ( God the Most High ) ambae ndie ALIUMBA roho zao.

Hata katika Ukristo nyoka ni mnyama mtakarifu .Or is it not in ur Bible where Jesus is telling his Desciples " IWENI WAPOLE KAMA HUA NA WEREVU KAMA NYOKA" ?

Wanasema Alama ya Nyoka ni Alama ya Mungu Mkuu " God the Most High".

Yesu anapo waambia kuweni WEREVU kama nyoka ana maanisha kuweni na hekima Kama Sophia . Sophia hujulikana pia Kama Mama wa Hekima" .
NI nyoka huyu huyu ndio aliekuja kumkomboa Binadamu.

Lengo la Ialdabaoth halikuwa Binadamu kujitambua.

Freemasonry Wana amini kwamba, malaika wa Mungu mkuu kabisa wanaishi katika Constellations ambazo ukiziunganishan zina umbo Kama la nyoka na zinaa jongea Kama nyoka.

Snake is a very very powerful being. Yapo maajabu 40 ya kiroho ya Nyoka ambayo yatakustaajabisha Sana ( this will be a topic for another day ).

BAADA YA ADAMU WA DUNIANI KUMUASI MUUMBA WAKE.

IALDABAOTH anashuka duniani,kinyume na alivyo panga kwamba Adamu asijitambue yeye ni Nani, anamkuta Adamu anae jitambua .

Ialdabaoth ana amua kuachia laana kwa ADAMU na uzao wake wote .

SOPHIA HAPENDEZWI NA UAMUZI WA IALDABAOTH KUTOA LAANA KWA ADAMU NA UZAO WAKE.

Kwa sababu hakuwa tayari kuona kiumbe kilicho beba pumzi yake kinawekwa chini ya laana, Sophia anaamua kuja kukikomboa kiumbe hicho kwa Mara nyingine.

Tatizo linakuja Sophia yeye yupo katika roho tu na sio katika mwili. Na mwanadamu ni roho iliyo fungwa kwenye mwili lakini haijitambui Kama ni roho. " IF TWO QUALITIES CANNOT MEET IN SUBSTANCE, THEY CAN BE BROUGHT TOGETHER ONLY BY EXTENSION"

SO Ili mission yake ikamilike lazima awe katika ulimwengu wa nyama. Na ili mission yake ikamilike Kazi lazima ifanywe na mtoto wake wa KWANZA ambae aliitwa CHRISTOS. Huyu Christos aliishi Mbinguni pamoja na SOPHIA & AEON na.ndio alikuwa mtoto wa pekee wa SOPHIA na AEON. Hawa ndio waliunda utatu mtakatifu yani MUNGU BABA = AEON, MUNGU MWANA = CHRISTOS na MUNGU ROHO MTAKATIFU = SOPHIA.

So Sophia ana re incarnated duniani in the person of MARY THE VIRGIN ( wakatoliki wanavyo komaaga na Bikira Maria msiwaone wamepotea. According to Freemasonry Bikira Maria was the re incarnation of the Holy Spirit of God the Most High.. wao wenyewe wana conjuration zao kuhusu Mary the mother of Jesus ambazo zipo very very powerful... Hii habari ya watoto wa Fatima ni ukweli na Rozary Ina nguvu kweli..

Ndio maana waislamu bila KUJUA , wamempa Hadi sura kwenye kitabu Chao kitakatifu " SURATUL MARIAM". NA SURATUL MARIAM NI MOJA LATI YA SURA ZENYE NGUVU ZA AJABU SANA. KWA MUISLAMU WA KAWAIDA UKIMUULIZA SURA GANI YENYE NGUVU KATIKA.QUR'AAN ATAKWAMBIA " SURATUL YASSIN" BUT AMINI NAKWAMBIA. SURATUL MARIAM IS SOMETHING ELSE. WEKA MAZOEA YA KUWA UNA RECITE SURATUL MARIAM KWA WINGI KILA SIKU USIKU. U WILL THANK ME LATER.)

So Sophia Re incarnated as Mary the Mother Jesus and gave birth to his son CHRISTOS who re incaranate as JESUS.

Huko Mbinguni CHRISTOS ndio aliepewa Kazi ya kufanya uumbaji wa vitu vyote katika ulimwengu wa roho.. hakuna chochote katika ulimwengu wa roho ambacho kiliweza kuwako pasipo huyo Christo.

( IALDABAUTH YEYE ALIUMBA ULIMWENGU WA NYAMA YANI MATERIAL WORLD/ ULIMWENGU WA VITU VINAVYO ONEKANA)

Ndio maana Yesu alisema UFALME WAKE SIO UFALME WA DUNIANI, UFALME WAKE NI WA MBINGUNI.

HAPO ALIMAANISHA LWAMBA YEYE UFALME WAKE SIO UFALME WA MATERIAL WORLD BALI UFALME WA SPIRITUAL WORLD.

ACCORDING TO FREEMASONRY, WHAT WAS THE REAL MISSION OF CHRIST TO THE WORLD. DID HE COME TO DIE FOR OUR SINS?
Kwa mujibu wa mafundisho ya Freemasonry, Hell No. Yesu hakuja duniani kwa ajili ya kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu.

Wanasema Yesu alikuja duniani kwa ajili ya kutusanua. Yani kutukumbusha asili yetu kwamba sisi ni Roho kwa Mungu Mkuu Kabisa " God the Most High" na kwamba hapa duniani sio kwetu. Roho zetu zimefungwa kwenye miili ya nyama na damu ili kutusahaulisha kule tunatoka. Kwamba sisi si sawa na N'gombe, Simba nakadhalika.

ANOTHER MISSION OF CHRIST JESUS WAS TO PERMANENTLY DELETE FROM OUR DNAs , INFORMATION ABOUT PHYSICAL DEATH OF WHICH HE FIRST DID TO HIMSELF WHEN HE BEAT THE PHYSICAL DEATH BY RESURRECTION.

(They if u truly blv in Christ Jesus about his real mission to human race u will for sure not die)

Ili tuweze kurudi kwenye asili yetu lazima tuishinde miili yetu kwa maana matendo ya miili yetu yanaweza kuchafua roho zetu na roho zilizo chafua haziwezi kupokelewa Mbinguni. Ukifa na roho yenye dhambi utazaliwa Tena duniani mpaka hapo utakapo jitambua wewe ni Nani na kutenda matendo yakupasayo ili ukifa uende Mbinguni.

Unaweza kuushinda mwili na Mambo ya duniani kwa kufuata amri kuu mpya aliyo itoa Yesu ambayo ni upendo...

Mafundisho ya Yesu yalikuwa ya kipekee Sana na yalikuwa tofauti na mafundisho ya manabii walio pita

Ukiyatazama vizuri mafundisho ya Yesu utagundua kwamba Mungu wa Agano la kale ( Ialdabaoth) na Mungu wa Agano jipya (Sophia/ Aeon) ni miungu wawili tofauti ambao walikuwa na mission mbili tofauti

Mungu wa Agano la kale alikuwa Mungu wa Haki (Just God/ Sharia/ jino kwa jino)

Mungu wa Agano jipya ni MUNGU WA UPENDO NA AMANI.

Infact Masonry wanasema Ialdabaoth anajua kwamba uwezekano wa Binadamu kumjua Mungu wao halisi ( Sophia/Aeon) NI mkubwa ndio maana aliwaambia " MIMI NDIMI BWANA MUNGU WAKO USIABUDU MIUNGU WENGINE)

BAADA YA MAFUNDISHO YA KRISTO YESU KUHUSU UFALME WA MUNGU KUSAMBAA, IALDABAOTH ANAAGIZA WATU WAKE WAMUUE YESU KWA SABABU ALIJUA KWAMBA KAMA YESU ANGE ACHWA HAI BASI ANGEIBADILISHA DUNIA YOTE NA KUWAFANYA WATU WOTE KUJITAMBUA WAO ASILI YAO NI WAPI.

Mafundisho Kama vile : Mimi na Mungu tu kitu kimoja.. watakao amini jina langu watafanyika kuwa Wana wa Mungu Alie juu Mbinguni. Kwamba mkiaminj mnaweza kufanya kuliko Yale niliyo yafanya Mimi Kama vile kufufuka.etc yalimkera Ialdabaoth kwa kuona watu alio waweka mateka Sasa wanaenda kufunguliwa.

( Siku zote Ialdabaoth hataki Binadamu kujitambua wao NI kina Nani. Ndio maana wakati wa Mnara wa Babeli aliwatawanyisha. Ule haukuwa Mnara Kama Mnara Bali watu walikutana na kuunganisha maarifa yao ili wawe na uwezo Kama wa Ialdabaoth na Ialdabaoth aliona wanaelekea kufanikiwa ndio maana akawatawanyisha.. na hii ndio sababu kina dini na madhehebu mengi duniani. Lengo ni kuwafanya wanadamu msiwe na umoja ili msije kujua asili yenu na hatimaye kujua uwezo wenu )

Baada ya mwili wa Yesu kuachana na Roho yake alienda kuzimu zilikokuwa zinashikiliwa roho za watu walio kufa duniani wakiwa hawajitambui wao NI kina Nani na kuzihubiria habari za ukweli kuhusu asili yao.

Yesu anarejea duniani Kama ishara ya kuwaambia wanadamu kwamba hata wao WANAWEZA kukishinda kifo Kama alivyo kishinda yeye.

Then anapaa Mbinguni

ITAENDELEA...

Coming next: kwanini ibada za mizimu zina nguvu Sana? Majibu Yana uhusiano na habari ya asili ya roho ya mwanadamu

2. Kwanini ahlul badr Ina nguvu Sana? Majibu yanahusiana na nguvu ya ibada ya mizimu


UPDATE: UFAFANUZI KUHUSU SUALA LA KIVULI CHA SOPHIA KUWA REFLECTED & TRAPPED KWENYE ENEO LA UTUKUFU WA CHINI NA HATIMAYE KUTOKEA IALDABAOTH..

Baadhi ya watu hawajaelewa kipengele hiki, ngoja niki break down kwa lugha nyepesi na mifano rahisi.

Ni hivi Mungu Sophia ambae ni sehemu ya kike ya DUALITY ya uungu ( SOPHIA & AEON ) , bila ridhaa wala ruhusu ya sehemu yake ya kiume ( AEON ) alipita katika eneo lenye utukufu wa chini . Akiwa katika eneo hilo la utukufu wa chini, kivuli chake kikawa reflected mahali hapo na alama za kivuli chake zikawa trapped katika eneo hilo na matokeo yake akatokea IALDAAOTH.

Mfano wake ni kama huu. Mungu ashuke juu mbinguni aje duniani, akiwa duniani, akanyage juu ya jiwe, kwenye jiwe hilo zibaki alama za nyayo za Mwenyezi Mungu, kisha juu ya alama hizo za nyayo za Mungu kitokee kiumbe.

Au Mungu ashuke duniani, halafu kivuli chake kiakisiwe ( kiwe reflected ) kwenye ardhi ya dunia. Kwa sababu ya nguvu za kiungu za Mungu, kivuli cha Mungu kiwe trapped kwenye ardhi ya duniani na mwisho wa siku hicho kivuli kibadilike kiwe kiumbe.

Au wewe binadamu upite karibu na mto au ziwa , kivuli chako kiwe reflected kwenye mto huo au ziwa hilo, halafu kwa sababu labda una nguvu fulani za ziada kile kivuli chako kigeuke na kuwa kiumbe hai...


Mfano wa chini kabisa : Hujawahi kusikia mtu kaenda sehemu fulani kufanya tukio la uhalifu , akaacha alama za vidole vyake kwa kushika kifaa katika eneo hilo halafu baadae wataalamu wa mambo ya forensic waka trace alama za vidole za mtu huyo na mwisho wa siku wakamkamata mtu huyo? Kama wewe binadamu kwa sababu ya nguvu kidogo ulizo nazo, unaweza kupita sehemu ukaacha alama zako za vidole, vipi kuhusu Mungu Sophia ?


UFAFANUZI ZAIDI.

Baada ya kiumbe hicho ( IALDABAOUTH ) kupatikana stillbado kilikuwa attached na Mungu Sophia kupitia kitu kinaitwa Electrol Chords ama kamba za moto ambazo ni Electro Magnetic by nature. Maana yake ni kwamba Mungu Sophia ange co-exist na kiumbe hiki kipya, kiumbe kilicho zaliwa ama patikana kinyume na mipango ya MUNGU MKUU KABISA ( GOD THE MOST HIGH ambae anaundwa na MUNGU SOPHIA (KE) na MUNGU AEON(ME)

Kwa sababu hiyo basi Mungu Sophia aliamua kuki -detach ( kukikiondoa kiumbe/kivuli hicho kwenye sehemu yake ) na kukitupa mahali pengine ambako ni mbali kabisa na ufalme wa Mungu Mkuu Kabisa ( God the Most High )

KWANINI HAKUKIUA ? KWA SABABU MUNGU SOPHIA NI MUNGU WA UPENDO.

Hakukitupa hivi hivi, alikitengenezea THRONE ( Ufalme wake ). So wakati anakitupa kiumbe hicho kwenye space ya mbali alikitupa kikiwa na afalme wake.


MAISHA YA IALDABAOTH BAADA YA KUTUPWA KWENYE SPACE ( UFALME WAKE )

IALDABAOTH anajikuta tayari yupo kwenye ufalme wake akiwa na uwezo mkubwa sana ambao hajui umetoka wapi wala yeye mwenyewe hajui ametoka wapi. ( HII NDIO SABABU KATIKA BAADHI YA DINI, IALDABAOTH ana nukuliwa akisema " MIMI SIJAZAA WALA SIJAZALIWA . WALA SIJAUMBWA, SINA MWANZO WALA SINA MWISHO) sababu hasa ya yeye kusema hivyo ni hii.

KWANINI IALDABAOTH ANASEMA HAKUZALIWA WALA HAKUUMBWA ( KWA MUJIBU WA MAFUNDISHO YA FREE MASONRY )

Sababu ni kwamba, baada ya yeye kuzaliwa/kutokea, mama yake ( Mungu Sophia ) alimtengenezea ufalme, akampa nguvu kubwa za kiungu kisha akaenda kumtupa katika anga la mbali sana na ufalme wa Mungu Mkuu Kabisa ( God the Most High ) na kisha kuvunja connection nae. IALDABAOTH anajitambua tayari akiwa na nguvu na uwezo wa kufanya mambo makubwa, ambayo ana amini kwamba hakuna awezae kufanya mambo makubwa kama yeye isipokuwa yeye mwenyewe.

MFANO WA KIBINADAMU : Yani ni sawa na mke wa mtu achepuke mahali wakati mumewe yupo safarini kisha apate ujauzito then azaliwe mtoto. Katika kukwepa fedheha ya kupata mtoto nje ya ndoa, mama huyo baada ya mtoto huyo kuzaliwa, amchukue mtoto huyo lets say kutoka Tanzania kisha ampeleke AUSTRALIA na ampe, nguvu na ufalme( mali n.k ) na kuvunja nae connection. Mtoto akikua anaweza asijue mahali anapotoka.

So Freemasons wanasema kwamba, IALDABAOTH ndio baba wa ATHEISM kwa sababu yeye mwenyewe hakubali wala haamini kama amezaliwa au ameumbwa au anatokana na kitu chenye nguvu kuliko yeye.. Uliwahi kujiuliza kwa nini Rapper Jay Z hujiita Young Hova) ( Hova = Jehova )

Binadamu wana maswali mengi sana ambayo hayana majibu yake. Wengi hawajui wametoka wapi, kwanini wapo hapa duniani, wakifa wataenda wapi, uovu umetoka wapi, kwanini kuna mateso na matatizo duniani n.k, kupitia mfululizo wa makala haya tutayajibu yote hayo kulingana na mafundisho ya freemasonry )



Baadae nitaendelea na SEHEMU YA PILI NA KUENDELEA NA KILA SEHEMU ITAKUWA NA PAGE YAKE.

Last emperor Babyzuh let the caged bird sings Msanii fearlessfighter JOHNGERVAS Ramo Lucky Star sala na kazi Mzee Wa Tairi @
Ndefu mpak sasa bado sijamliza
s
 
nashindwa kuleta muendelezo sababu nipo busy sana halafu naogopa kuna watu wanaweza kuchanganyikiwa. Kitaani kuna jamaa msabato/mlokole kaokoka mwaka 89 baada ya kumpa ufunuo huu sasa anavuta bangi..
Kwanza ni kurekebishe,Msabato sio mlokole.Mkuu as long as you believe you can be saved by the law,that is the Torah,including keeping the Sabath,uko chini ya laana ya Mungu,na uko mbali na Mungu.This is the situation with the Adventists,wako chini ya laana ya Mungu.Infact sio Wakristo it is a cult.

Mwisho,inashangaza kwamba unashangilia upotoshaji na uovu wako ulio-mfanya mtu amuasi Mungu wa kweli na kushikamana na uovu wako wa kuvuta bangi.Huu ni uovu of grand scale.Hata hivyo you still have time,tubu uovu wako,muamini Bwana Yesu na utapokea uzima wa milele.
 
Back
Top Bottom