Mjue Mungu wa Freemasonry

Freemasons hawa jamaa wanajitahidi sana kusaidia watu na kutoa mapesa mengi sana.

Kwenye vikao/ibada zao wanahamasishana sana kuchangia chama na hakuna mwanachama/muumini fukara hata mmoja.

Hapo ndipo utagundua uongo wa hiyo sijui dini yao, why matajiri au wale wenye uwezo tu!.
 
Freemason wanamwabudu Lucifer aka Satan, Sasa Ibilisi ndio katunga hiyo story ya kuziunganisha dini zote, kamtaja Kristo wa waprotestant, kamtaja Sophia aka Maria wa wakatoliki, kamtaja Huyo jamaa anayesema hakuzaa Wala kuzaliwa aka Allah ili kuwavuta muhamaddans, ili wote wamkubali Lucifer Kama most high God, no no no Shetani ni baba wa uongo, kweli ni Yesu tu
Umemaliza kila kitu mkuu barikiwa sana
 
Ukimtazama Allah wa waislam kwa jicho la biblia unamuona Allah wa waislam ni shetani yaani ni mpinga kristo, maana Qur'an inasema Yesu hajasurubiwa na wala Mungu hana mtoto, sasa kwa mujibu wa biblia haya ni mafundisho ya mpinga kristo au ya kishetani.
Umenena vyema.

Islam ndiye mpinga Kristo anaezungumziwa kwenye BIBLIA.

kile kitabu ni kazi ya yule MUOVU .. Ili kupoteza watu akaamua kuchangia ya KWELI NA UONGO.
 
Hivi hawa wanaotumia majina ya sophia kindly natamani kujua source yake ...
Ila kuna fumbo sana kama utaweka in practice ule msemo " kati ya yai na kuku yupi alitangulia" ....
 
Naona Shetani yuko kazini, umejaribu kushawishi sana kuwa freemasony ni wazuri,nakukumbusha tu kamwe uwezi ubadili ukweli unachoweza ni kuuficha tu, by the way umesema kuwa binadamu wengi hawaelewi wametoka wapi na ni wapi wanakoelekea this is your point of weakness ukijitambulisha kuwa ujielewi that is y ukamezeshwa vya uongo,Natamani utumike vizuri kwa Yesu kwani you have mobilizing power uenda ungetumika ungeokoa wengi, Roho yangu inaumia sana kuona unatumika kupotosha,May God Change you in the Name of Jesus

upo emotional sana ila wewe na yeye nyote hamna tofauti!
 
Back
Top Bottom