Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 36,520
- 76,509
nakufuaatilia vzr na kwa ukaribuKila mtu file lake la kuumbwa kwake lilikuwa na Kila kitu kusudi (utajiri) ikiwemo kumwabudu aliyeumba lakini kwakuwa mafile yote yalitekwa ndani ya Moyo wa mwanzo kukatokea crossmultiplication ya kugeuzwa kusudi Halisi la kuumbwa kwako.
Hujiulizi kwann Yesu Kuna maneno unajiuliza kwann alisema mfano mathayo 10:34-35 "Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga. 35 Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;"
Aliyasema hayo kwakuwa file lake pia lilikuwa ndani ya Moyo wa mwanzo.
Hiyo yote ni kuonyesha jinsi gani vitu vilikuwa vimegeuzwa ndo maana alisema waliomtangulia ni wezi na wanyang'anyi waliomwibia alivyokuja navyo katika mathayo 21:33-39.