Mjue mtu aliyemaliza kusoma kitabu kwa muda mfupi zaidi

MalcolM XII

JF-Expert Member
Mar 19, 2019
5,236
14,205
Anaitwa Anne Jones.

Ni katika mwaka wa 2007, baada ya kuachiwa ujazo wa mwisho wa kitabu cha Harry Potter chenye jumla ya Page 784, Anne alifanikiwa kumaliza kusoma kitabu hicho kwa muda wa Dakika 47 tu.

Kwa maana hiyo, Anne aliweza kusoma Maneno 4,200 kwa dakika. Ina maana, alikuwa na wastani wa kusoma kila page moja kwa sekunde 3 tu.

Kwa kuhakikisha kuwa ameweza kufanya hivyo, aliorodhesha point zote zilizopo kwenye kitabu hicho kwa waandishi wa habari na mwishowe wakaridhia.

Pamoja na kuweka rekodi hiyo, Anne alikuwa akishikilia rekodi ya kuwa mshindi wa mashindano ya dunia ya kusoma haraka (World Championship Speed Reading Competition) kwa mara 6.

images (2).jpg
images (1).jpg
 
Inawezekana vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Moja kati ya principle za usomaji vitabu inasema, kuna baadhi ya sehemu zinakuwa hazijatiliwa mkazo au umepata concept halafu ikawa inajirudia, basi ukifika sehemu hizo unaweza kusoma kwa haraka.

Ila utakapofika sehemu zenye concept muhimu au mpya, hapo ndio unatakiwa kupunguza speed kidogo.

Ndio iko hivyo nafikiri!
 
Moja kati ya principle za usomaji vitabu inasema, kuna baadhi ya sehemu zinakuwa hazijatiliwa mkazo au umepata concept halafu ikawa inajirudia, basi ukifika sehemu hizo unaweza kusoma kwa haraka.

Ila utakapofika sehemu zenye concept muhimu au mpya, hapo ndio unatakiwa kupunguza speed kidogo.

Ndio iko hivyo nafikiri!
Hata kama, ndio sekunde tatu????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja kati ya principle za usomaji vitabu inasema, kuna baadhi ya sehemu zinakuwa hazijatiliwa mkazo au umepata concept halafu ikawa inajirudia, basi ukifika sehemu hizo unaweza kusoma kwa haraka.

Ila utakapofika sehemu zenye concept muhimu au mpya, hapo ndio unatakiwa kupunguza speed kidogo.

Ndio iko hivyo nafikiri!
ndo iwe kwa sekunde 3?
 
Back
Top Bottom