Tempus Fugit
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 835
- 2,157
Mtu kuwa majority shareholder ktk kampuni hakumfanyi awe mmiliki wa kampuni kuzidi wanahisa wenzake.
Majority shareholder ana enjoy right ya maamuzi ya wapi kampuni ielekee kibiashara. Ila at the same time, minority shareholders wanakuwa protected na sheria ya makampuni endapo majority shareholder ataathiri interests zao ktk kampuni.
Sheria ya makampuni ya Tz inamruhusu minority shareholder kwenda mahakamani kulinda maslahi yake.
Mtu akiwa minority shareholder, hata akiwa na hisa moja...bado ni mmiliki halali wa kampuni kwa kiwango chake cha hisa anachomiliki. Na anazo haki za kufanya maamuzi yahusuyo kampuni kwenye members meeting.
So uwe majority au minority shareholder, what matters ni kuwa kampuni ikitoa gawio na wewe unapata kulingana na class za shares zako...whether ni ordinary au preferential shares.
So Diamond bado ni mmiliki halali wa Wasafi maana anahisa 45%...yaani kwa maneno mengine yeye anamiliki asilimia 45 ya thamani ya kampuni ya Wasafi Media. Huku mke wa kusaga akimiliki asiliamia 53...na huyo mwanahisa mwingine akimiliki asilimia 2.
Wote watatu kwa pamoja ni owners wa Wasafi media.
Majority shareholder ana enjoy right ya maamuzi ya wapi kampuni ielekee kibiashara. Ila at the same time, minority shareholders wanakuwa protected na sheria ya makampuni endapo majority shareholder ataathiri interests zao ktk kampuni.
Sheria ya makampuni ya Tz inamruhusu minority shareholder kwenda mahakamani kulinda maslahi yake.
Mtu akiwa minority shareholder, hata akiwa na hisa moja...bado ni mmiliki halali wa kampuni kwa kiwango chake cha hisa anachomiliki. Na anazo haki za kufanya maamuzi yahusuyo kampuni kwenye members meeting.
So uwe majority au minority shareholder, what matters ni kuwa kampuni ikitoa gawio na wewe unapata kulingana na class za shares zako...whether ni ordinary au preferential shares.
So Diamond bado ni mmiliki halali wa Wasafi maana anahisa 45%...yaani kwa maneno mengine yeye anamiliki asilimia 45 ya thamani ya kampuni ya Wasafi Media. Huku mke wa kusaga akimiliki asiliamia 53...na huyo mwanahisa mwingine akimiliki asilimia 2.
Wote watatu kwa pamoja ni owners wa Wasafi media.