ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Kweli hizi mahakama zetu huwa zinafunga masikini tu...Mwisho wa cku tutaambiwa Mtuhumiwa hana hatia, au akipatikana na hatia atapigwa faini ya milioni5 Shamba la Bibi na Babu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejiuliza wapo wapi wale akina Masamaki yule mwenye nyumba 70...
Wapi aliyetengeneza milioni 700 kwa SAA?
Wapi waliojiungia pipe ya mafuta toka bomba kuu bandarini?
Hao kina Rugeimarila mbona hawafungwi?
Sent using Jamii Forums mobile app