Mjue "Mbokoo" kibaka aliyewahi kuitikisa Kigamboni-Dar kabla ya kudhibitiwa kwa mbinde na Polisi

Siwezi kupigana ngumu na muharifu na hiyo nafasi akitaka kutumia minguvu yake ndio atapotea ukitembea usiku unatakiwa kua full chalii angu sio unatembea night unakua kama unakwenda ukweni!mie ikishafikaga saa 2 usiku nikiwa natoka nakua niko full ikifika saa4 siruhusu mtu nisie mjua kunisogelea njiani ikifika kuanzia saa 6 na kuendelea hua napita ktk ya barabara sasa sogeza matendegu yako usawa wangu ila dar nyie waoga sana amna hazi ya kuoa meru!
Dar tunalindwa na Bwana wa Majeshi aliye juu 🤣🤣🤣
 
Sina connection mkuu.aliyenipa alishakufa.na hata sijui inapatikanaje.

Dah..umenivunja moyo. Ndoto zangu za kuwa bilionea zimepotea! Maana ningempata mtaalam wa hiyo dawa ningekuwa naweka kambi kwenye masoko ya madini.. mwezi tu tayari nitakuwa na jina na heshima hapa mjini.
 
Kuna jamaa mitaa ya mbeya simike huko alikua anaitwa jairo na mwenzie chanda,alafu umkute na semeni hao sasa huyo jamaa wa kigamboni mngekuta kavalishwa kanga na piko kachorwa kabisa.hata waliishia wapi sijui.

Singida huko kuliku na Tembo Senge mtoto wa mtemi Senge na Mdogo wako akaibuka badai Selemani Senge hao watu nyie sikieni tu sijui Nao sijui wako wapi.
Yes nawajua wote hao pia kulikuwa na mwamba mmoja anaitwa ndovu alikuwa anakaa utemini kwao walikuwa wanafuga chui alikuwa ana nguvu balaa wanasema alikuwa kachanjia but hakuwa jambazi na pia kulikuwa na jambazi moja linaitwa kakakuona hilo jambazi limesumbua sana singida hilo jamaa mkilikimbiza likikata kona hamlioni tena huyo kakakuona alichinjwa na msumeno mchana kweupe na Mimi nikishuhidia
 
Usiwe mbishi kuna watu wanafanya mambo ya kimazingara kiasi kwamba risasi ikipigwa haimdhuru.. Uliza story za mtu anaitwa Jack Back, mgodi wa dhahabu(North Mara Gold Mine) Nyamongo ndio utaelewa huyo jamaa anachokisema.. Mpaka askari na bundiki zao walikuwa wakimuona ni mbio za kuokoa maisha.. Alitokea askari mmoja tena wa kike anatokea Kigoma ndie alimuweza huyo mwamba.. Kwanza alikuja eneo la tukio akiwa amegeuza suruali yake na akapitisha bunduki chini ya miguu kutokea nyuma, kilichofuata ni historia kwa huyo mwamba baada ya kutandikwa risasi 5, japo hakufa hapohapo mpaka yeye mwenyewe alipotoa siri kuwa anateseka wamchane mkononi watoe hirizi, ndipo akafa.. So mambo hayo yapo kbsaaa
Alikuwa anazo nguvu na uwezo kama kuliko Tembo? anaweza kupambana na Simba peke yake??, anaweza kuua Nyati kwa mikono mitupu?

Hao wanyama wote, Tembo, Simba na Nyati mbele ya risasi hawakohoi sembuse Mtu mmoja mwenye Sifa kidogo za ajabu (peculiarity) ndiye atambe mbele ya Risasi?

Kuna mnyama mmoja, nadhani ni "honey Badger", huyu ukimpiga mkuki au Panga au kitu chenye ncha kali hakitoboi ngozi yake, huyu ndiye mnyama mwenye ngozi ngumu kupenyezeka kuliko wanyama WOTE,, lakini mbele ya Risasi ngozi yake haifui dafu, Risasi inapenya kama kupenya kwenye karatasi.

Risasi ni habari nyingine, huyo Mbokoo anaweza kutodhuriwa na vitu vingine kama kisu, panga nk, lakini sio Risasi, Risasi inapenya katika mwili wa binadamu yeyote.
 
Sasa hivi anaokota makopo tu, ameluwa fala sana.

Japo muda kidogo sijamuona mdau.
hahaha jamaa nakumbuka enzi hizo alikuwa anakuja na fuko lake la Nazi za wizi anawataiti walimu wote ofisini wanunue Sasa ole wako usinunue,alikuwa pia anatusave Sana wachelewaji tukiwa tunapewa adhabu alikuwa akija anaruhusu wote tusepe na mwalimu anapewa on your aache ukuda wa kutukamata
 
Usiwe mbishi kuna watu wanafanya mambo ya kimazingara kiasi kwamba risasi ikipigwa haimdhuru.. Uliza story za mtu anaitwa Jack Back, mgodi wa dhahabu(North Mara Gold Mine) Nyamongo ndio utaelewa huyo jamaa anachokisema.. Mpaka askari na bundiki zao walikuwa wakimuona ni mbio za kuokoa maisha.. Alitokea askari mmoja tena wa kike anatokea Kigoma ndie alimuweza huyo mwamba.. Kwanza alikuja eneo la tukio akiwa amegeuza suruali yake na akapitisha bunduki chini ya miguu kutokea nyuma, kilichofuata ni historia kwa huyo mwamba baada ya kutandikwa risasi 5, japo hakufa hapohapo mpaka yeye mwenyewe alipotoa siri kuwa anateseka wamchane mkononi watoe hirizi, ndipo akafa.. So mambo hayo yapo kbsaaa


Wewe usikariri hadithi za vijiweni na kuzifanya zionekane ni ukweli.

Usichanganye uhalisia na mazingaombwe!!!---- Mazingaombwe ni hali ya kufanya jambo lionekane sivyo ndivyo, mfano anaweza mtu akapita mbele yako na usimuone, hayo ni mazingaombwe, zipo dawa ambazo watu wanachanja kwa ajili ya kuzuia panga, kisu, Rungu nk ili wasidhurike navyo na inafanya kazi kama vifaa hivyo vitatumiwa na mtu na mkononi kwa sababu nguvu ya mkono ni wastani kwa watu wengi hii ni tofauti na risasi mfano wa risadi ya SmG ambayo inatoka na (KE kinetic energy) kubwa mno kwa mwili wa mtu kuizuia isipenye.

Hakuna mwili wa binadamu katika historia ulioweza kuzuia risasi isipenye, labda iwe ni "Toy bullet".

Babu yako Kinjekitile Ngwale alijaribu na yaliyompata nadhani umesoma historia na unayajua.
 
Wewe usikariri hadithi za vijiweni na kuzifanya zionekane ni ukweli.

Usichanganye uhalisia na mazingaombwe!!!---- Mazingaombwe ni hali ya kufanya jambo lionekane sivyo ndivyo, mfano anaweza mtu akapita mbele yako na usimuone, hayo ni mazingaombwe, zipo dawa ambazo watu wanachanja kwa ajili ya kuzuia panga, kisu, Rungu nk ili wasidhurike navyo na inafanya kazi kama vifaa hivyo vitatumiwa na mtu na mkononi kwa sababu nguvu ya mkono ni wastani kwa watu wengi hii ni tofauti na risasi mfano wa risadi ya SmG ambayo inatoka na (KE kinetic energy) kubwa mno kwa mwili wa mtu kuizuia isipenye.

Hakuna mwili wa binadamu katika historia ulioweza kuzuia risasi isipenye, labda iwe ni "Toy bullet".

Babu yako Kinjekitile Ngwale alijaribu na yaliyompata nadhani umesoma historia na unayajua.
we jamaa ni mbishi Kama Pumb** ....huelewi nadhani unahitaji kueleweshwa zaidi, kinachoshindikana risasi isipotezwe kimazingira ni nini? Kama panga linadunda, jiwe linadunda, mshale unadunda, itashindikanaje kwa risas ? the same procedure will apply
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom