moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
- Thread starter
- #21
Wivu huuSamahani huyo Komandoo Mabere Marando ndiyo huyu huyu ninayemjua Mimi au labda ni Mabere Marando wa Jimbo linalogombaniwa la Idlib huko nchini Syria? Halafu hapo kwamba alikuwa Luteni mara sijui Nyerere alimpa Pistol ampige ili awe Rais Yeye na akagalagala huku akilia machozi nitakuwa wa mwisho katika Kukuamini. Na mwisho tu niseme kwamba kupitia huu Uzi wako sasa nimeamini rasmi kwamba kumbe Mtunzi Mahiri wa Hadithi nchini Tanzania siyo tu ' Ngosha ' Erick Shigongo. Naomba niishie hapa tafadhali.