Mjue Luteni Zachariah Hans Pope wa JWTZ

Samahani huyo Komandoo Mabere Marando ndiyo huyu huyu ninayemjua Mimi au labda ni Mabere Marando wa Jimbo linalogombaniwa la Idlib huko nchini Syria? Halafu hapo kwamba alikuwa Luteni mara sijui Nyerere alimpa Pistol ampige ili awe Rais Yeye na akagalagala huku akilia machozi nitakuwa wa mwisho katika Kukuamini. Na mwisho tu niseme kwamba kupitia huu Uzi wako sasa nimeamini rasmi kwamba kumbe Mtunzi Mahiri wa Hadithi nchini Tanzania siyo tu ' Ngosha ' Erick Shigongo. Naomba niishie hapa tafadhali.
Wivu huu
 
Samahani huyo Komandoo Mabere Marando ndiyo huyu huyu ninayemjua Mimi au labda ni Mabere Marando wa Jimbo linalogombaniwa la Idlib huko nchini Syria? Halafu hapo kwamba alikuwa Luteni mara sijui Nyerere alimpa Pistol ampige ili awe Rais Yeye na akagalagala huku akilia machozi nitakuwa wa mwisho katika Kukuamini. Na mwisho tu niseme kwamba kupitia huu Uzi wako sasa nimeamini rasmi kwamba kumbe Mtunzi Mahiri wa Hadithi nchini Tanzania siyo tu ' Ngosha ' Erick Shigongo. Naomba niishie hapa tafadhali.
Daah
 
Nimefahamu kitu kimoja, Mabere Marando, mwanasiasa na mwanasheria nguli ni afisa wa usalama wa Taifa. (Otherwise niwe nimechanganya majina na watu)

Maana yake tuna wana siasa wapinzani wengi ambao ni kitengo na wamewekwa mahsus ili kulinda maslahi ya chama tawala. Sitashangaa siku itakapo elezwa kuwa Mbowe, Mtatiro, ZZk ni miongoni mwao.


Kwa hali hii, ccm bado ipo saaana
 
Babake hans pope alikua mkuu wa mkoa wa kagera na aliuawa katika vita ya Kagera 1978. ukiangalia ile video ya vita vya kagera wamesimulia na wameonyesha mazishi yake maeneo ya makanyagio Iringa. Babake Hasn pope ndo alikua na asili ya kijerumani pamoja na uhehe
Acha uongo hakuwa mkuu wa mkoa
 
Naona jiwe anaendeleza uhasama wa kihistoria...... Anyway tusubiri tuone, huenda ikatokea bahati.
 
Mtoa mada jaribu tena kupitia vyanzo vyako ili mada yako ijitosheleze maana imeacha sintofahamu badala ya kuiondoa.
 
Afadhali hao walitest mitambo tulio nao kwa sasa hata kupiga chafya tu ni shida.Pamoja na mauaji yote haya kimya wamejifunika blanket
Mijeshi ya sasa hvi misukule tu, inajiua kwa ajili ya mapenzi, alafu utegemee walifanyie kitu taifa!.
 
Kwa wale waliosoma History huyu ndiye Luteni Zachariah Hans Pope wa JWTZ alieshiriki Ktk jaribio la mapinduzi ya kumpindua baba wa Taifa mwl JK Nyerere 1982 akishirikiana na kina kapteni Eugene Maganga, Luteni vitalis Mapunda, Luteni Kajaji Badru, Captain Hatibu Gandhi(Hatty McGee), Luteni Mbogolo, Captain Christopher Kadego, Luteni Pius Lugangila.....maafisa usalama wakiongozwa na comandoo Mabere Nyaucho Marando waliwashambaratisha Kabla hawajawampindua Nyerere.....inasemekana baada ya kukamatwa (isipokuwa Pius Lugangila alietoroka) walipelekwa ikulu na Nyerere alimkabidhi Hans Pope bunduki amuue ile awe rais yy Kama alivohitaji, Hans Pope alilia machoz na kugaragara chini huku akiomba msamaha, Nyerere aliwasamehe lkn walifungwa jela maisha, Hans Pope akiwa Gereza kuu Butimba ndie alieanzisha ligi kuu Gerezani huku akiunda timu ya Simba ya Gerezani......waliachiwa 1995 Wkt rais Ally Hassan Mwinyi akimaliza muda wake......kumbuka Hans Pope babake ni Mgiriki na mamake ni Mhehe wa Ipogoro lringa....ndo maana amekuwa akiidhamini Lipuli FC....


NIMEWEKA HISTORIA SAWAView attachment 867402

Mzee Mabere Marando hakuwahi kuwa mwanajeshi hivyo kumpa cheo cha ukomandoo ni uongo na upotoshaji.

Halafu, hii hadithi wewe na mwenzio Yerikho Nyerere hamjaiweka uzuri ni bora mkakaa kimya kama hamfahamu.

Hii kesi ya uhaini naamini weye na Yerikho Nyerere hamuifahamu kwa uzuri, hivyo rudi na hadithi kamili.
 
Sema sasa tulio lilifanyika wapi na nani aliepewa hio bunduki ni undezi kukanusha kitu bila kusema kile kilichofanyika
bora yeye katupa kwa kupindisha lakini cha ajabu wewe mbona haujaweka hiyo historia iliyonyoooka?

Watundiga bana mnashida sana, una maana link niliyowapeni baada ya comment yangu ni kwamba hamkuiona au kwenu siku haipiti bila ya kutoa comments za aina hizi?
 
Kila mtu anajifanya anajua

Ila hakuna wa kuandika kitu sahihi

Huyu kamkosoa yule na kumuita popoma ila hajamsahihisha

Mara huyu kasema hapana hakuwa mkuu wa mkoa ila ajasema alikuwa nani

Ilimradi fujo tu
ngoja nisaidie babake Hans Pope alikuwa RPC miaka hiyo kagera ikiitwa west lake.naona wengi ni wapya hapa duniani.ila na sikia Hans eti kapitia holili anaelekea huko juu?
 
Kwa wale waliosoma History huyu ndiye Luteni Zachariah Hans Pope wa JWTZ alieshiriki Ktk jaribio la mapinduzi ya kumpindua baba wa Taifa mwl JK Nyerere 1982 akishirikiana na kina kapteni Eugene Maganga, Luteni vitalis Mapunda, Luteni Kajaji Badru, Captain Hatibu Gandhi(Hatty McGee), Luteni Mbogolo, Captain Christopher Kadego, Luteni Pius Lugangila.....maafisa usalama wakiongozwa na comandoo Mabere Nyaucho Marando waliwashambaratisha Kabla hawajawampindua Nyerere.....inasemekana baada ya kukamatwa (isipokuwa Pius Lugangila alietoroka) walipelekwa ikulu na Nyerere alimkabidhi Hans Pope bunduki amuue ile awe rais yy Kama alivohitaji, Hans Pope alilia machoz na kugaragara chini huku akiomba msamaha, Nyerere aliwasamehe lkn walifungwa jela maisha, Hans Pope akiwa Gereza kuu Butimba ndie alieanzisha ligi kuu Gerezani huku akiunda timu ya Simba ya Gerezani......waliachiwa 1995 Wkt rais Ally Hassan Mwinyi akimaliza muda wake......kumbuka Hans Pope babake ni Mgiriki na mamake ni Mhehe wa Ipogoro lringa....ndo maana amekuwa akiidhamini Lipuli FC....


NIMEWEKA HISTORIA SAWAView attachment 867402
Hadithi yako ina punje punje za ukweli lakini vile vile ina mengi ya kufikirika; wengine umewakosea hata majina yao; kwa mfano Badru Kajaja.

Pius Rugakingira (Uncle Tom) hakuwa luteni wa jeshi, bali alikuwa mwalimu wa chemistry kabla. Baada ya kuhamia Uingereza na kuwa mfanya biashara mzuri sana wa gundi ndipo alipofadhili mapinduzi hayo. Huyu Zakaria baba yake alikuwa mkuu wa polisi wa mkoa wa Kagera; aliuawa na majeshi ya Amini na kuzikwa kinyemela lakini serikali ya Nyerere iliamua kufukua mwili wake kutoka huko mbali na kwenda kuuzika kwa heshima za kitaifa nyumbani kwao huko Iringa.

Mabere Marando alihusika katika kuwakama waharifu hao pale Kinondoni akiwa ofisa usalama wa taifa, na mmoja wa hilo grupu aliwawa, nadhani akiitwa Tamimu. HMarando hajawahikuwa manajeshi komandoo kama unavyodai. Halafu siyo kweli kuwa walipelekwa Ikulu bali walipelekwa Keko moja kwa moja; kipindio hicho Ikulu ilikuwa inahangaika na vita ya uhujumu uchumi tu.
 
Huyu jamaa kumbe mafia leo pale taifa mechi simba na as vital katoka zake nje, then kajichanganya na wahuni wamemzonga wala haofii.
 
Back
Top Bottom