Acha vitisho visivyo na maana. Wachawi wengi huwa mnakuwa na akili ndogo na maisha ya kuunga unga sana.Naomba niwatahadharishe wale msiojua chochote kuhusu uchawi au majini.Yaweza kuwa umezaliwa mjini na hujawahi kumbwa na jambo lolote la ki-mauza uza au la kiuchawi, pengine ulizaliwa kijijini na ukapata bahati ya kutopata msukosuko wowote ktk dunia hii NINAWAOMBA MUMSHUKURU MUNGU NA MKAE KIMYA.
Kama mnabisha kwa7bu ya imani ya dini vitabu vitakatifu Bible &Qur'an vinatambua uwepo wa uchawi, majini etc.
Ninawaomba mchunge ndimi na midomo yenu, usijejikuta unageuzwa kuwa BWABWA na akati wewe ni lijali, msiwadhihaki msiowajua unaweza liwa kiboga ukiwa ofisini au popote.
Yupo mwl wa s/m msingi flani alifika akakuta wanafunzi hawachapwi yeye akaanza kuwatandika huku akitoa maneno ya kejeli kama ninazoziona humu dhidi ya rakims alijikuta kalala mtoni na anaelea juu bila shuka lake kulowana.
Sasa kama hukuwahi kukumbwa na hayo na hujawahi shuhudia hayo ni vema ukakaa kimya usijewalazimisha watu kukutwanga na nyundo ya fatuma akati una ukinzani wa KIROBOTO ukaishia kuyeyuka.