Mjue Jesus Christ Lizard, mjusi aneyeweza kutembea juu ya maji

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,001
9,862
Ni mijusi wanaopatikana kwa wingi Marekani ya Kati na Kusini, ni mijusi aina ya Basiliscus basiliscus, wanatoka katika familia ya Corytophanidae

Mjusi huyu anaweza kutembea/kukimbia juu ya maji hadi mita 20 kwa kutumia miguu yake ya nyuma huku mwili wake ukibaki jua anapokuwa anawakimbia adui zake

Baada ya mita 20 anaweza kuzama, lakini ana uwezo wa kubana pumzi kwa dakika 30, hivyo akizama huogelea ndani ya maji ili kufika nchi kavu

Jina lake la kisayansi ni Basiliscus, lilitokana na neno la kiyunani basilískos linalomaanisha ‘mfalme mdogo’

 
Pia anapatikana kwenye misitu ya Amazon huko Amerika ya Kusini.

Ni mojawapo ya viumbe wachache duniani wenye kuweza kutembea juu ya maji.
 
Mbona hata mi naweza! Yani limjusi linatembea linagusa mawe huko chini mnasema linatembea juu ya maji
 
Nishawahi kuona baadhi ya mijusi hapa Tanzania yetu, wanakuwa na miguu mifano ya bata inayowawezesha kupiga maji kama makasia, so inawezekana ni kweli ila hilo la kukaa ndani ya maji dkk 30 ndo noma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom