ChaiHabar hi nzito sanaa huyuuu mwamba alikuwepo duniani enzi ya nani nuhu Hutu ndiye alifanikisha kuleta miti ya kujengea safina ya nuhu someniii jaman habar za mtu Huyu ni nyingi sana jamani Huyu alikuwa hana nyumba ta kulala pia alikuwa akikasirika anaenda kilimani alafu anakojoa yaniii huko anapowamwagia mkojo kijiji kinazama sio poa jaman penden kusoma na sio kubisha wakuu
Mguu mmoja uko Tanzania halafu mwingine uko Congo, sasa akiinama kuomba hayo maji, I bet kifua chake kitakuwa Juba - South Sudan!Mguu mmoja uko Tanzania ..halafu mguu mwingine uko Congo halafu maji ya kunywa aombe?Badala ya kuchota Kwenye mto Congo au mito yeyote ile?
Halafu apite kijijini Kilwa watu wafukuze? Huku huyo mtu ni mkubwa mguu mmoja uko Congo?
Pengine Kim Jong Un, huyo nimemsikia sana.Hivi ushawai sikia story za mtu kiumbe kiitwacho Unju bin Unuk?
Basi ngoja nikusimulie kwa ufupi!
Unju bin Unuk ni mtu aliepata kuishi zamani inakadiriwa aliishi karne ya 16-17 uyu jamaa kuna watu wanamsema ni moja ya manabii, wengine wanasema ni mtu tu wa maajabu.
Unju bin unuk alikuwa na urefu mkubwa sana na mwili mkubwa kuwahi kutokea duniani alikuwa ana uwezo wa kuingia baharini na akaokota samaki kwa mkono akiwa ndani ya maji na akamkausha na jua kwa kunyoosha mkono juu na kurikalibia jua.
Pia jamaa inasemekana alikuwa na uwezo wa kutembea kwa kuruka ruka; jamaa inasemekana hata Tanzania alishawai kuwepo alipata kuishi maeneo ya Kilwa Kivinje na kaburi lake ndo Lipo uko.
Jamaa inasemekana hatua yake moja ya mguu wa kulia ipo Tabora na nyingine ya mguu wa kushoto ipo Kongo.
Pia inasemekana aliwahi pita maeneo fulani ya Kilwa akakuta watu wanachota maji mtoni akawaomba maji wale watu wakamfukuza ila tangu walipomfukuza yale maji ya ule mto yakawa machungu na yanawasha ila maji yale yale ya ule mto katika kijiji cha pili ni mazuri tu yanafaa kwa matumizi.
Je, vipi na wewe ushawai sikia habari za uyu mtu Unju bin Unuk.
Unju bin Unuq (pia: Unju bin Unuku, Unzi Bin Ununuk) ni jina la jitu katika masimulizi ya wakazi wa pwani ya Tanzania. Hadithi zake zasimuliwa kuanzia Bagamoyo hadi Kilwa.Je Unju Bin Unuk ana connection na Uj Bin Anak?
Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu
Mfalme OG anatajwa kwenye vitabu vya dini kuu tatu za mashariki ya kati i.e uislam,ukristo na uyahudi.... Inaelezwa alikuwa ni mfalme aliyetawala eneo la Canaan (palestina/israel ama jordan ya sasa )katika ulimwengu wa kale takriban miaka zaidi ya 6000 iliopita.... Na inaelezwa ndio mwanadamu...www.jamiiforums.com
Hao walikuwa offsprings wa watchers and binti za wanadamu (Mwanzo 6:1-4) known as Nephilim in Hebrew or Anunakis-wana wa anaki in Aramaic/kiaramu.......many lived in antedelluvian world-preflood world (gharika)....walifikia mpaka urefu wa futi 300. Read the book of Enoch and other forgotten/lost books of the Bible.Hivi ushawai sikia story za mtu kiumbe kiitwacho Unju bin Unuk?
Basi ngoja nikusimulie kwa ufupi!
Unju bin Unuk ni mtu aliepata kuishi zamani inakadiriwa aliishi karne ya 16-17 uyu jamaa kuna watu wanamsema ni moja ya manabii, wengine wanasema ni mtu tu wa maajabu.
Unju bin unuk alikuwa na urefu mkubwa sana na mwili mkubwa kuwahi kutokea duniani alikuwa ana uwezo wa kuingia baharini na akaokota samaki kwa mkono akiwa ndani ya maji na akamkausha na jua kwa kunyoosha mkono juu na kurikalibia jua.
Pia jamaa inasemekana alikuwa na uwezo wa kutembea kwa kuruka ruka; jamaa inasemekana hata Tanzania alishawai kuwepo alipata kuishi maeneo ya Kilwa Kivinje na kaburi lake ndo Lipo uko.
Jamaa inasemekana hatua yake moja ya mguu wa kulia ipo Tabora na nyingine ya mguu wa kushoto ipo Kongo.
Pia inasemekana aliwahi pita maeneo fulani ya Kilwa akakuta watu wanachota maji mtoni akawaomba maji wale watu wakamfukuza ila tangu walipomfukuza yale maji ya ule mto yakawa machungu na yanawasha ila maji yale yale ya ule mto katika kijiji cha pili ni mazuri tu yanafaa kwa matumizi.
Je, vipi na wewe ushawai sikia habari za uyu mtu Unju bin Unuk.